Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia

Magufuli hajawahi kuvunja Katiba hata siku kwanza kama kuna chochote aliwafanya watu wengi waelewe mambo mengi sana juu ya nchi yetu na ndiyo mwamko unaouona sasa hivi wa kuipigania nchi yetu, haijawahi kutokea hata fisadi papa lenyewe limejitokeza na kujitetea hadharani unafikiri huu mwamko umekuja tu?

Moto aliouwasha Magufuli hauzimi, na hautazima, …
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Safi sana.
 
Magufuli hajawahi kuvunja Katiba hata siku kwanza kama kuna chochote aliwafanya watu wengi waelewe mambo mengi sana juu ya nchi yetu na ndiyo mwamko unaouona sasa hivi wa kuipigania nchi yetu nchi yetu, haijawahi kutokea hata fisadi papa lenyewe limejitokeza na kujitetea hadharani unafikiri huu mwamko umekuja tu?

Moto aliouwasha Magufuli hauzimi, na hautazima, …
Alinunua ndege bila idhini ya bunge nje ya utaratibu wakatiba
 
NInnamuombea baraka tele huyu mama.
Kina mama tumekuwa mashetani kuanzia ngazi ya chumba, nyumba, mtaa, shina, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa. Wanaume chocheeni moto wa maombi kwa ajili yetu. Acheni kuchochea mkongo na mawazo ya chura
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Amefungua njia wapo wengi nyuma yake
 
Alinunua ndege bila idhini ya bunge nje ya utaratibu wakatiba
Acha kukurupuka. Unaijua katiba wewe? Kama unaijua tueleze inavyosema kuhusu manunuzi ya umma.
Halafu unaona kuna utofauti gani kati ya kununua ndege kwa manufaa ya nchi na kuuza bandari za nchi kwa manufaa binafsi?

Najua huna majibu. Kwa kukusaidia tu bora ijikite kwenye mjadala, sio kukurupuka.
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Inaonekana kama una mke au mpenz basi unattttombwa sana maana una makasiriko yasiyo na maana dhidi ya mwanamke tena ambaye hakujui...
 
NInnamuombea baraka tele huyu mama.
Kina mama tumekuwa mashetani kuanzia ngazi ya chumba, nyumba, mtaa, shina, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa. Wanaume chocheeni moto wa maombi kwa ajili yetu. Acheni kuchochea mkongo na mawazo ya chura
Nje ya mada binti yangu JeM.

Kinachosababisha wanaume kuchochea hayo uliyoandika ni tabia yenu wenyewe, naendelea kujifunza jinsi maisha yanavyokimbia kwa vijana kugeuza jiwe kuwa mkate na nyoka kuwa samaki.

Vinginevyo mngefuata kile Mwenyeezi Mungu alitaka kifanyike nanyi hayo yote unayotaka usingekuwa unalia kama hivi.
 
Amefungua njia wapo wengi nyuma yake
But kumbuka tabia yetu watanzania, usije ukaisahau, tupo kumshangilia mtu kama huyu anayetetea kile tunachopaswa kukisimamia watanzania wote ila, likitokea la kutokea akafukuzwa utaona mada zitakavyo tililika hapa JF, ooh ameyataka mwenyewe, ngoja akalee wajukuu sasa, nk...
 
Magufuli hajawahi kuvunja Katiba hata siku kwanza kama kuna chochote aliwafanya watu wengi waelewe mambo mengi sana juu ya nchi yetu na ndiyo mwamko unaouona sasa hivi wa kuipigania nchi yetu, haijawahi kutokea hata fisadi papa lenyewe limejitokeza na kujitetea hadharani unafikiri huu mwamko umekuja tu?

Moto aliouwasha Magufuli hauzimi, na hautazima, …
vipi kwa Prof.Assad
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
na sauti ipazwe mkuu
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo [emoji1484]

View attachment 2670771
Bado tunahitaji CDF wa kujitoa muhanga. Tunahitaji CGP wa kujitoa muhanga kufungulia wafungwa wote walioonewa. Tunahitaji IGP wa kujitoa muhanga.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Inachanganya kidogo.

Nilipoanza kusoma kichwa cha mada, na habari ya barua iliyowekwa chini yake, nilikuwa nshaamua kumpigia vigelegele mama Jaji, hadi nilipoona kuwa kumbe anazungumzia jambo tofauti ya hili ulilomwelwa wewe, na mimi nilivyodhania toka manzo.

hata hivyo, hakuna lililoharibika,"uvunjwaji wa Katiba" mahali popote pale na mtu yeyote yule siyo jambo la kushabikia kwa sababu yoyote ile.

Kwa hiyo, mama anastahili maua yake; hata kama lililomtoa mbele na kusikika ni jambo tofauti na hili linalowaka moto sasa hivi.
 
Kwenye suala la Prof Juma. Mheshimiwa Rais alishauriwa vibaya. Niliandika uzi humu sio vizuri sana Rais kuonekana anavunja katiba waziwazi hivi. Jaji Mugasha yupo sahihi kwenye hili
"Alishauriwa Vibaya", nasi tupige vigelegele kushangilia umahiri huu uliougundua hapa kwa mara ya kwanza!

Wewe ni mwanasheria kanjanja.
 
Back
Top Bottom