Jaji wa Mahakama ya Rufaa, mbobezi wa kuhukumu muda mrefuNiambieni ni nani huyu mama
Nijuzeni nielewe
Jesus is Lord
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaji wa Mahakama ya Rufaa, mbobezi wa kuhukumu muda mrefuNiambieni ni nani huyu mama
Nijuzeni nielewe
Jesus is Lord
Yote hii ni kutaka kututoa kwenye reli kuhusu bandari. Tunataka marekebisho kwenye huo mkataba,uwe na manufaa kwa nchi na wananchi.AmenHuyu ndiye anastahili heshima ya kuitwa mama na si huyu muuza Tanganyika.
Hongera Mama yetu Stella Mugasha
Kura yàngu ya urahisi nakupa bila mashaka
Tutakwenda nayo yote sambambaYote hii ni kutaka kututoa kwenye reli kuhusu bandari. Tunataka marekebisho kwenye huo mkataba,uwe na manufaa kwa nchi na wananchi.Amen
Sasa ndio kafanyeje, nini sababu za ku trend sasaJaji wa Mahakama ya Rufaa, mbobezi wa kuhukumu muda mrefu
Shithole comment! Ulitaka asitoe maoni yake kama Jaji kama ameona kuna kosa limetendeka kutokana na washauri wa rais kupotoka!!?Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia