Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Hayuko sahihi katiba inampa Rais mamlaka ya kuongeza mda wa Jaji wa rufaa
120.-(1) Every Justice of Appeal shall vacate his office upon attaining the age of sixty-five, but the provisions of this sub article shall apply subject to the subsequent provisions of this Article.

(2) Any Justice of Appeal may vacate office in the service of the Untied Republic at any time on attaining the age of sixty five years except where the President directs that he should not vacate office, and if the President so directs,then the Justice to whom the directions of the President relate shall not vacate office until the expiry of the period specified by the President for that purpose.
(3) In the event that the President considers it to be in the public interest that a Justice of Appeal who has attained sixty-five years of age continue in office,and the Justice of Appeal agrees in writing to continue in office, then the President may direct that the Justice of Appeal continue in office for any period which maybe specified by the President.
(4) Notwithstanding that a Justice of Appeal has attained the age at which he is required by the provisions of this Article to vacate his office, a person who was holding the office of Justice of Appeal may continue to perform the functions of that office after attaining that age until he completes the preparation and delivery of decision or until he completes any other business in connection with matters which he had started hearing before attaining that age.
soma acha uvivu au tafuta legal puritan wakusaidie sio kila mada lazima udakie zingine ni sheria, in short the spirit and letters of the said provision are straight forwad to time enlargement of the Justice of Appeal and not Chief Justice, however, the chief Justice has two capacities, id est, Justice of Appeal (colleague of Justices) and Chief Justice. the Constitution is clear that no enlargement of time for a Chief Justice but the same can be done for Justice of Appeal, should the president need the service of the Chief Justice should choose one, in the event need Professor Juma as Justice of Appeal can enlarge time for him as a Justice of Appeal and not Chief Justice.


kwa kifupi

usichanganye vipengele vya sheria hizo nukuliwa vinazungumzia jaji wa mahakama kuu, na jaji mkuu, jaji mkuu ameelezwa kwenye ibara ya 118 na majaji wa mahakama kuu wameelezwa kwenye ibara ya 120, kwa hiyo tofauti yao ni nafasi zao. wote ni majaji ya mahakama kuu, lakini katiba imempa mamlaka Rais kuongeza muda kwa majaji wa mahakama ya Rufaa na sio wa jaji mkuu.

ni kavunja katiba full stop,

Kingine the most highest Learned Fellow kanya tafiti, kama unadhani uko sahihi toa andiko sio nukuu wa uwelewa finyu za vifungu vya sheria.
 
NInnamuombea baraka tele huyu mama.
Kina mama tumekuwa mashetani kuanzia ngazi ya chumba, nyumba, mtaa, shina, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa. Wanaume chocheeni moto wa maombi kwa ajili yetu. Acheni kuchochea mkongo na mawazo ya chura
unazungumzia chumba! mbali kote huko! kuanzia shuka na kitanda kimoja na mnara hawauoni!
 
Nimeona msafara wake ukiingia Ikulu ya Magogoni.Nadhani ameachia ngazi.Lakini kama alivyosema Ndugu yangu Alex Mgongolwa,anaruhusiwa kikatiba kuendelea Rais akimuandikia barua ya kumuongezea kuendelea kuhudumu na yeye akajibu kwa barua kuwa anakubali kuendelea.

Na kwa nini amuongezee wengine wenye uwezo hawapo?
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Yaani wewe Mzee wako angetumia condom kupunguza wapumbavu duniani.
 
Hapo tunazungumzia jaji wa rufaa au jaji mkuu?

Mfano katiba inasema raisi ataingoza vipindi viwili(miaka 10), lakini hata raisi akimaliza muda wake anaweza kuteuliwa na kuongezewa muda wowote kuwa Chancellor wa vyuo vikuu

Jaji mkuu hatakiwi kuongezewa muda wa zaidi ya miaka 65, lakini anaweza kuendelea kuwa jaji wa rufaa
Jaji Mkuu lazima awe Jaji wa rufaa na kwenye katiba suala la ukomo wa Jaji Mkuu limeongelewa kiujumla kwa majaji rufaa wote
 
Hapo tunazungumzia jaji wa rufaa au jaji mkuu?

Mfano katiba inasema raisi ataingoza vipindi viwili(miaka 10), lakini hata raisi akimaliza muda wake anaweza kuteuliwa na kuongezewa muda wowote kuwa Chancellor wa vyuo vikuu

Jaji mkuu hatakiwi kuongezewa muda wa zaidi ya miaka 65, lakini anaweza kuendelea kuwa jaji wa rufaa
Nipe kifungu mkuu
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
hadi leo siamini kama huu waraka aliutoa yeye kweli au umegushiwa. ila kwa sababu mahakama imekaa kimya hadi sasaivi, kuna vitu viwili naviwaza. cha kwanza, stella ni mama wa kitengo, sisi watu wa mahakamani tunajua hilo, hivyo anaweza kuwa ametumwa atibue maji ili kuzima issue ya DP WORLD. pili, inawezekana kuna watu walihisi ni mpinzani wao atachukua kiti au pengine alishawahi kufanyiwa figisu nafasi hiyo badala ya yeye kuchukua akachukua huyo prof, au prof hakumtendea wema fulani akiwa CJ na ana hasira naye n.k, kwasababu alivyoiandika ni kama ana wivu naye kwasababu yeye hajapata na anaongea kwa uchungu. mtanzania gani ana uchungu na katiba hii iliyopo kama sio unafiki?

na kama issue ni kutibua hali ya hewa kwa faida ya kuzima issue ya dp world, aisee mbona imebuma, watu hata hawana muda na hii story.
 
soma acha uvivu au tafuta legal puritan wakusaidie sio kila mada lazima udakie zingine ni sheria, in short the spirit and letters of the said provision are straight forwad to time enlargement of the Justice of Appeal and not Chief Justice, however, the chief Justice has two capacities, id est, Justice of Appeal (colleague of Justices) and Chief Justice. the Constitution is clear that no enlargement of time for a Chief Justice but the same can be done for Justice of Appeal, should the president need the service of the Chief Justice should choose one, in the event need Professor Juma as Justice of Appeal can enlarge time for him as a Justice of Appeal and not Chief Justice.


kwa kifupi

usichanganye vipengele vya sheria hizo nukuliwa vinazungumzia jaji wa mahakama kuu, na jaji mkuu, jaji mkuu ameelezwa kwenye ibara ya 118 na majaji wa mahakama kuu wameelezwa kwenye ibara ya 120, kwa hiyo tofauti yao ni nafasi zao. wote ni majaji ya mahakama kuu, lakini katiba imempa mamlaka Rais kuongeza muda kwa majaji wa mahakama ya Rufaa na sio wa jaji mkuu.

ni kavunja katiba full stop,

Kingine the most highest Learned Fellow kanya tafiti, kama unadhani uko sahihi toa andiko sio nukuu wa uwelewa finyu za vifungu vya sheria.
Mkuu tupe hicho kifungu- vinginevyo wewe ni kasuku tu unasema uliyokaririshwa
 
Hii inaonesha kuwa majaji wanaifurahia demokrasia iliyopo nchini.....

Hakika Chifu Hangaya atabaki kuwa alama kuu ya demokrasia Tanzania [emoji2956]


#SiempreJMT[emoji120]
 
hadi leo siamini kama huu waraka aliutoa yeye kweli au umegushiwa. ila kwa sababu mahakama imekaa kimya hadi sasaivi, kuna vitu viwili naviwaza. cha kwanza, stella ni mama wa kitengo, sisi watu wa mahakamani tunajua hilo, hivyo anaweza kuwa ametumwa atibue maji ili kuzima issue ya DP WORLD. pili, inawezekana kuna watu walihisi ni mpinzani wao atachukua kiti au pengine alishawahi kufanyiwa figisu nafasi hiyo badala ya yeye kuchukua akachukua huyo prof, au prof hakumtendea wema fulani akiwa CJ na ana hasira naye n.k, kwasababu alivyoiandika ni kama ana wivu naye kwasababu yeye hajapata na anaongea kwa uchungu. mtanzania gani ana uchungu na katiba hii iliyopo kama sio unafiki?

na kama issue ni kutibua hali ya hewa kwa faida ya kuzima issue ya dp world, aisee mbona imebuma, watu hata hawana muda na hii story.
Mkuu....

Katiba ni msahafu wa nchi....

Majaji wanaapa kuilinda na kuitetea katiba ya nchi....

Lipi baya alilolifanya mh.Jaji Mugasha?!!!

Mbona ndani ya waraka wake ameweka bayana kuwa hana CHUKI na jaji mkuu na akaeleza kuwa wamefanya kazi pamoja kwa miaka 13?!!!

Ametueleza kuwa hana maslahi binafsi kwani amebakisha miaka 3 ya utumishi wake katika mahakama ya rufani.....

Kukumbatia "conspiracy theories" ni kama kutomtendea haki na kutoheshimu TAALUMA yake....

#SiempreJMT[emoji120]


#UndieyingSpiritOfTheNation[emoji120]
 
soma status interpretation and rules for interpretation of constitution. pls
Wewe niambie namna ya kwenda mbinguni au nipe mwenyewe nipome nitapata njia. Interpretation is subjective- TO ME IT SOUND NOT GOOD ENOUGH
 
Kuna msemo UNASEMA HIVI" Mchungaji akisema NG'OMBE kafia machungani, ATAKUWA kafa kweli".jaji Mugasha ni mchungaji na katiba ni........
 
Mnyoofu hatakiw kamwee!! Mtu ambae yupo indirect ndie hupendwa!!
Kuna mzee flani tulikuwa tunajadiliana naye maisha katikati ya story akasema "ndg yangu hii dunia usione watu wana dini, hizi ni geresha tu sababu hawafanyi sawa sawa ma maelekezo ya dini, hivyo wapo kwenye dini kujificha waaminiwe"
 
hadi leo siamini kama huu waraka aliutoa yeye kweli au umegushiwa. ila kwa sababu mahakama imekaa kimya hadi sasaivi, kuna vitu viwili naviwaza. cha kwanza, stella ni mama wa kitengo, sisi watu wa mahakamani tunajua hilo, hivyo anaweza kuwa ametumwa atibue maji ili kuzima issue ya DP WORLD. pili, inawezekana kuna watu walihisi ni mpinzani wao atachukua kiti au pengine alishawahi kufanyiwa figisu nafasi hiyo badala ya yeye kuchukua akachukua huyo prof, au prof hakumtendea wema fulani akiwa CJ na ana hasira naye n.k, kwasababu alivyoiandika ni kama ana wivu naye kwasababu yeye hajapata na anaongea kwa uchungu. mtanzania gani ana uchungu na katiba hii iliyopo kama sio unafiki?

na kama issue ni kutibua hali ya hewa kwa faida ya kuzima issue ya dp world, aisee mbona imebuma, watu hata hawana muda na hii story.
Well said.
 
acha wivu mwanamme, mpe mama maua yake asiseme kama katiaba imevunjwa? she woman of the year
Sawa amepaza sauti kuwa katiba imevunjwa lakini kweli hakuona uvunjaji wa katiba aliokuwa anaufanya mwendazake? Ndiomaana watu wengi wanasema wanaomkosoa rais wengi(sio wote) wanamkosoa kutokana na dini yake,
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Kipengere namba 21 kuna neno limeandikwa "unri" how come msomi aandike hivyo mubadala wa neno "umri"
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Duuh. Tuseme yupo sawa. Na dhamiri yake ipo safi!
Lakini kwanini aandike waraka kuhusu vyeo wakati kuna kubwa la bandari na Katiba?
 
Back
Top Bottom