Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Sawa amepaza sauti kuwa katiba imevunjwa lakini kweli hakuona uvunjaji wa katiba aliokuwa anaufanya mwendazake? Ndiomaana watu wengi wanasema wanaomkosoa rais wengi(sio wote) wanamkosoa kutokana na dini yake,
Mbona anaona uvunjifu kwenye vyeo na muda wa kustaafishwa Jaji Mkuu?
Mbona Kuna mengi ya kuthibitisha uvunjifu w Katiba?
Bandari? Muungano? Ushiriki wa viongozi wa ccm (wakurugenzi) kwenye chaguzi za NEC?
Uteuzi wa maccm kuwa wakuu wa mikoa, wilaya, majiji, halmashauri bila vetting yoyote?
Anyway nimesoma sehemu ameandika "fitina kwake mwiko"... Nikajiongeza
 
Sawa amepaza sauti kuwa katiba imevunjwa lakini kweli hakuona uvunjaji wa katiba aliokuwa anaufanya mwendazake? Ndiomaana watu wengi wanasema wanaomkosoa rais wengi(sio wote) wanamkosoa kutokana na dini yake,
Sawa amepaza sauti kuwa katiba imevunjwa lakini kweli hakuona uvunjaji wa katiba aliokuwa anaufanya mwendazake? Ndiomaana watu wengi wanasema wanaomkosoa rais wengi(sio wote) wanamkosoa kutokana na dini yake,
akili za udini ni upuuzi wa kijinga sana ndugu yangu na ufinyu wa mawazo, hebu jiulize, kwani rais samia pale ikulu anatangaza anahubiri uislam? au ni agents wa waislamu, anatetea maslai ya waislam?, kiasi kwamba ukimsokoa Samia unakosoa Uislamu?

acha mada mada zisizo za akili, hoja ni kavunja katiba au hajavunja, kwa hiyo kama magu alitenda makosa na Samia atende makosa hayo hayo? yeye ni rais wa wote walio wa dini yake na wasio na dini yake, na pengine alipaswa kujiepusha kabisa na dhana na chembe chembe za udini hasa wa dini yake, na kama hayo ndio mawazo yako na mtazamo wa walio udini kama wewe, basi Samia ana agenda za siri za kidini dhidi ya watu wasio wa dini yake, ndio maana mnakimbilia udini, basi yeye ndio mdini namba moja kama uo ndio tafsiri yako wewe.

kwa Hiyo watanzania wasimkosoe rais kisa mwislamu, wakimkosoa tunakosoa uislam, na zaidi ukiwa mkristo ndio umekosoa uislam. ni ujinga sana rais ni wa wote na anakosolewa kwa makosa anayotenda.

remember he who excuses himself, accuses himself
 
Anayevunja Katiba alotumia kuapa kwayo, hastahili kuendelea kuongoza Kwa kutumia Katiba.

Ajitangaze tu dikteta aeleweke kirahisi.

Turudi kwenye mjadala wa BANDARI,

KATIBA ya nchi pia imevunjwa, maana kama Katiba yenyewe inaweza kubadilisha ikaandikwa mpya, iweje Mkataba wa DP usivunjwe?

Hatutanyamaza kamwe ktk hili.

Spana ziendelee tafadhali 🙏🙏🙏
 
Kuna mzee flani tulikuwa tunajadiliana naye maisha katikati ya story akasema "ndg yangu hii dunia usione watu wana dini, hizi ni geresha tu sababu hawafanyi sawa sawa ma maelekezo ya dini, hivyo wapo kwenye dini kujificha waaminiwe"
Hakika ✔️
 
akili za udini ni upuuzi wa kijinga sana ndugu yangu na ufinyu wa mawazo, hebu jiulize, kwani rais samia pale ikulu anatangaza anahubiri uislam? au ni agents wa waislamu, anatetea maslai ya waislam?, kiasi kwamba ukimsokoa Samia unakosoa Uislamu?

acha mada mada zisizo za akili, hoja ni kavunja katiba au hajavunja, kwa hiyo kama magu alitenda makosa na Samia atende makosa hayo hayo? yeye ni rais wa wote walio wa dini yake na wasio na dini yake, na pengine alipaswa kujiepusha kabisa na dhana na chembe chembe za udini hasa wa dini yake, na kama hayo ndio mawazo yako na mtazamo wa walio udini kama wewe, basi Samia ana agenda za siri za kidini dhidi ya watu wasio wa dini yake, ndio maana mnakimbilia udini, basi yeye ndio mdini namba moja kama uo ndio tafsiri yako wewe.

kwa Hiyo watanzania wasimkosoe rais kisa mwislamu, wakimkosoa tunakosoa uislam, na zaidi ukiwa mkristo ndio umekosoa uislam. ni ujinga sana rais ni wa wote na anakosolewa kwa makosa anayotenda.

remember he who excuses himself, accuses himself
Tunachojiuliza magufuli hajawahi vunja katiba? Huyu mama alikuwa wapi kumstua kuwa hapa umevunja katiba?
 
Kipengere namba 21 kuna neno limeandikwa "unri" how come msomi aandike hivyo mubadala wa neno "umri"
Nimesikitika sana sana yaani.

Nime_scroll top kuangalia avatar info's yako bahati mbaya nimesahau JF hakuna chochote zaidi ya false info's.
 
Duuh. Tuseme yupo sawa. Na dhamiri yake ipo safi!
Lakini kwanini aandike waraka kuhusu vyeo wakati kuna kubwa la bandari na Katiba?
Replies ni nyingi ila kuna mdau flani humu aliandika yawezekana ni kitengo, katumwa kuja kupunguza issue ya bandari au ana chuki na Jaji mwenzake sababu hiyo nafasi ilikuwa yake, nk.
 
Replies ni nyingi ila kuna mdau flani humu aliandika yawezekana ni kitengo, katumwa kuja kupunguza issue ya bandari au ana chuki na Jaji mwenzake sababu hiyo nafasi ilikuwa yake, nk.
Issue ni constitution inasemaje, hizo zingine ni porojo Toka Kwa takataka
 
Huyu mama Jaji wa mahakama ya rufani Stella E.A. Mugasha anastaili kupongezwa. Mama amepinga uvunjwaji wa katiba ya nchi kwa kumuongezea jaji mkuu muda wa kukaa madarakani kinyume na matakwa ya katiba. Mama ametaka mamlaka ya uteuzi (Rais) kuheshimu katiba ya nchi. Mungu ambariki
Maua yake tumempa, ila mbona hili ni dogo tuu!. Mbona kuna makubwa zaidi ya uvunjifu wa katiba Wazalendo kama hawa wako kimya?.
P
 
Back
Top Bottom