Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Kwani yeye 'mama' hata angshikwa t**o na jiwe angefungua mdomo. Mkiambiwa yule alikuwa nduli muelewe.
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Mbona hiyo barua has nothing to do with masuala ya Bandari????!!!
 
[emoji845]NISAIDIE KUPATA MCHONGO[emoji845]
Nina degree ya
COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT.
[emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi.
Nisaidie hata Internship tu.
Location :KIGOMA ila kokote kama kuna uhakika mimi nitafika.
[emoji736]Msaada waungwana, mniinue
[emoji736]Taasisi
[emoji736]Social Work
[emoji736]Mashirika(NGOS)
kokote kule aisee
0628849189
 
Inasemekana huyu ndiye mmojawapo wa waliotengua maamuzi ya kuwazuia ma DED kuwa wasimamizi wa uchaguzi!
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
JPM hakuvunja katiba; alikuwa na staili mbaya ya kuongoza lakini hakuvunja katiba. Waliochukia staili yake hiyo ya ya uongozi ndio walikuwa wanasema amevunja katiba lakini hakuwahi kuvunja katiba. Hata ile kesi ya kutomuongezea CAG miaka mitano tena, katiba haikuvunjwa bali sheria ya bunge iliyokuwa inatumika wakati huo ndiyo iliyokuwa inakizana na katiba.

Ninasubiri filimbi sasa.
 
Tunakwenda wapi?
Kule kule kwenye watu wabobezi wa kutafsiri Sheria/katiba ndio kule kule ambao katiba inachezewa Tena kwenye nafasi ya juu kabisa.
Huku mahakama za mwanzo si yatafanyika madudu ??!
 
Acha kukurupuka. Unaijua katiba wewe? Kama unaijua tueleze inavyosema kuhusu manunuzi ya umma.
Halafu unaona kuna utofauti gani kati ya kununua ndege kwa manufaa ya nchi na kuuza bandari za nchi kwa manufaa binafsi?

Najua huna majibu. Kwa kukusaidia tu bora ijikite kwenye mjadala, sio kukurupuka.
Acha kumtetea huyo mbwa wako magufuli muuwaji
 
kwani nani kasema barua inahusiana na bandari ?????
hahahahahahaaaaaaa

hapa hakuna anaejua barua hii inahusiana na nini....
Soma mleta mada ameongelea kuhusu bandari halafu amequote sehemu ambayo Judge amesema hataki kusaliti nchi. Barua inaongelea huyo Judge kupinga Rais kumuongezea muda Chief Justice kitu ambacho ni kinyume cha Katiba.

Halafu unasema hakuna anayejua barua inahusiana na nini ina maana umejibu tu bila kusoma hiyo barua???
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Hii barua ya huyu mama sijaisoma yote, but nlitaka tu kujua inahusu nini? Mkataba wa DPW au Ukomo wa Jaji Mkuu?
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Umejaza nini kichwani mwako ?
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Badala ya kuokoteza Mashangingi tukayapa Uongozi Wanawake wa Aina hii ndio walitakiwa wawe Viongozi sasa. Achana na wale akina Bibi Mipasho kichwani ni Zerro Brain🤣🤣
 
Back
Top Bottom