Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Katika nchi iliyojaa machawa huyu mama lazima tumuone shujaa maana watu wanadhindana kusifu tu mama anaupiga mwingi, inaonekana hajafika hapo kwa bahati mbaya
Sawa...lakini hiyo barua anakataa nini

Kuunga mkono?

Ova
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki

Kusingefanyika kitu
 
Huyu mama Jaji wa mahakama ya rufani Stella E.A. Mugasha anastaili kupongezwa. Mama amepinga uvunjwaji wa katiba ya nchi kwa kumuongezea jaji mkuu muda wa kukaa madarakani kinyume na matakwa ya katiba. Mama ametaka mamlaka ya uteuzi (Rais) kuheshimu katiba ya nchi. Mungu ambariki
Alikua wapi magufuli akiisigina Kariba??,anayafanya haya Kwa Raisi muislamu
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Hawa ndo watu tulio nao!! Wewe unajuaje kuwa huko nako kumeshindikana???? Sio kila njia itafikisha ujumbe kwa wakati!! Hayo mautararibu mnayodai ndo unaandika leo unaweza kujibiwa baada ya mwaka mmoja au usijibiwe kabisa!
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Not only Mkwundu wako una kazi ya kunya but also unakazi nyingne pia

Pumbavu.
 
Anajitambua kwakuwa hata Rais hana power ya kumuadabisha
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Sasa kama wote ni waoga huko afanyeje Haya mambo ya kufanya vitu kisirisiri sio mazuri. Ndio maana bandari ilikuwa inasepeshwa. But kitu kingine nikukumbushe hiyo barua aliipeleka sehemu sahihi Kwa raisi. Pengine kuna mtu kaivujisha kwa umma ulijuuliza hilo au umeandika tu kizembe
 
Hata wakimtisha lakini ametimiza wajibu wake kama mzalendo wa nchi
Sure kabisa huo ndio UZALENDO.

UZALENDO ni kuitetea nchi Yako na maslahi yake mapana. Sio kumtetea Rais au kiongozi yeyote anayevunja KATIBA aliyoapa kuilinda na kuifuata.

Wanadhani uzalendo kuitetea serikali au rais au chama wanakosea.

Kwa wenzetu huko walikoendelea zaidi wanaudefine UZALENDO ni KUITETEA,KUILINDA NCHI NA KATIBA YAKE dhidi ya maadui wa NDANI na wa NJE.

Wanakuambia hata RAIS wa nchi anaweza kuwa ADUI akienda kinyume na katiba au maslahi mapana ya wananchi.

Huku AFRIKA ni kama tumelaanika

Aisee!!!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama wote ni waoga huko afanyeje Haya mambo ya kufanya vitu kisirisiri sio mazuri. Ndio maana bandari ilikuwa inasepeshwa. But kitu kingine nikukumbushe hiyo barua aliipeleka sehemu sahihi Kwa raisi. Pengine kuna mtu kaivujisha kwa umma ulijuuliza hilo au umeandika tu kizembe
sisi wananchi tunacho fahamu ni kwamba Mahakama ni chombo cha haki na kuzingatia nidhamu.

sio kosa kutoa maoni Bali huyu Jaji Mugasha kaandika barua yenye maoni yake na kuisambaza mitandaoni kitendo hicho ni ukosefu wa nidhamu.
 
Facts are missing
Huyu mama Jaji wa mahakama ya rufani Stella E.A. Mugasha anastaili kupongezwa. Mama amepinga uvunjwaji wa katiba ya nchi kwa kumuongezea jaji mkuu muda wa kukaa madarakani kinyume na matakwa ya katiba. Mama ametaka mamlaka ya uteuzi (Rais) kuheshimu katiba ya nchi. Mungu ambariki
 
sisi wananchi tunacho fahamu ni kwamba Mahakama ni chombo cha haki na kuzingatia nidhamu.

sio kosa kutoa maoni Bali huyu Jaji Mugasha kaandika barua yenye maoni yake na kuisambaza mitandaoni kitendo hicho ni ukosefu wa nidhamu.
Maoni yake alipeleka kwa raisi. Hakuileta mitandaoni kuna watu wameivujisha. Soma barua vizuri addressee ni Raisi wa Jamuhuri ya Muungano sio jamii forum, twitter watsup Facebook na kadhalika
 
Sure kabisa huo ndio UZALENDO.

UZALENDO ni kuitetea nchi Yako na maslahi yake mapana. Sio kumtetea Rais au kiongozi yeyote anayevunja KATIBA aliyoapa kuilinda na kuifuata.

Wanadhani uzalendo kuitetea serikali au rais au chama wanakosea.

Kwa wenzetu huko walikoendelea zaidi wanaudefine UZALENDO ni KUITETEA,KUILINDA NCHI NA KATIBA YAKE dhidi ya maadui wa NDANI na wa NJE.

Wanakuambia hata RAIS wa nchi anaweza kuwa ADUI akienda kinyume na katiba au maslahi mapana ya wananchi.

Huku AFRIKA ni kama tumelaanika

Aisee!!!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Africa imelaaniwa haswa
 
Back
Top Bottom