Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Hapo sitashangaa wajinga wakimchukia, watamuona ana dharau, kwao kuwa na heshima ni kufumbia macho uvunjifu wa sheria.
 
Sasa kama wote ni waoga huko afanyeje Haya mambo ya kufanya vitu kisirisiri sio mazuri. Ndio maana bandari ilikuwa inasepeshwa. But kitu kingine nikukumbushe hiyo barua aliipeleka sehemu sahihi Kwa raisi. Pengine kuna mtu kaivujisha kwa umma ulijuuliza hilo au umeandika tu kizembe
Barua kwanza siyo ya siri ni ya wazi
 
Mkuu today's

Utasubirije yaje yaseme MAWE yasiyo na mdomo

Nawenye midomo mkawa kimya ,itakua Lana kubwasana na dhambi ya kipekee mbele za Allah/mungu

Tuseme Sasa wenye uelewa na tuunge mkono
 
Uhuru ni uhuru tu mbwa koko hawaelewi uhuru na haki, barua binafsi inasambazwa kwa namna yoyote, hio sio barua ya Mwanaccm
 
Tayari mmetolewa kwenye reli na wataalamu wa stretejia akina RA. Tuendelee na bandari yetu hii ya Jaji ni kitu minor kabisa.
Tusitolewe lerini, tunaitaka bandari yetu.
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Kwa hiyo makosa yaendelee?
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
lazima alikuwepo. na inawezekana ana mu-undermine mwanamke mwenzake-samia. Ndiyo maana ameibuka. Ingekuwa jamaa bado yuko hai wala asingethubutu
 
yeye Jaji Stella Mugasha ndiye mwandishi wa barua hiyo, hivyo yeye ndiye source anajua alicho kifanya na alicho kuwa amedhamiria.
alikusudia kuidhalilisha mamlaka.
kwani kulikuwa na ulazima wa yeye kuandika barua kwa raisi na kutoa nakala kila ofisi?
Ametumia taaluma yake vizuri
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Ulishaambiwa kuwa kulikuwa na SIMBA WA YUDA..!! Kipi hujaelewa hapo?
 
lazima alikuwepo. na inawezekana ana muundermine mwanamke mwenzake-samia. Ndiyo maana ameibuka. Ingekuwa jamaa bado yuko hai wala asingethubutu
Mama Samia alishawaambia kuwa KULIKUWA NA SIMBA WA YUDA.
 
lazima alikuwepo. na inawezekana ana muundermine mwanamke mwenzake-samia. Ndiyo maana ameibuka. Ingekuwa jamaa bado yuko hai wala asingethubutu
Wanawake hawapendani ndo shida huyu ana wivu na utawala wa mama.
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Acha uchawa una ushahidi gani kuwa ni yeye kasambaza kwenye mitandao ya kijamii. Ulitaka atoe maoni yake Kwa njia ipi Ili iwafikie wahusika? Mie Nampongeza Kwa kuiweka kwenye maandishi Ili kuweka records make NOT DOCUMENTED,NOT DONE
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Angekuwa na msimamo kipindi kile, ingempa pointi sana; ila kwa sasa, watajiuliza huyu ni mwenzetu kweli?
 
Hii nchi katiba imekanyagwa mara nyingi sana lakini leo ndio ameona aandike hiyo barua. By the way jaji anakosa stadi za uandishi.
 
Huyu ndio mama Sasa;Nani kama mamaaaa ohohhowo Nani kama mamaaaa itkieni Sasa .Yaani rostam amewatia mfukoni mahakama
Pengine kapata shahada yake au aliajiriwa serikalini baada ya Magufuli kufariki. Maana huyu mama anaonekana ni jasiri asingeweza kaa kimya wakati ule kwani katiba ilvunjwa wazi wazi kila siku. Vinginevyo hana la kujitetea kama alikuwepo serikalini wakat ule. Kwa maneno mengine katumwa au mnafiki.
 
Hii nchi katiba imekanyagwa mara nyingi sana lakini leo ndio ameona aandike hiyo barua. By the way jaji anakosa stadi za uandishi.
Huyu ana chuki zake binafsi na watawala sio uzalendo, angalia jinsi bunge lilivyo vurugwa na JPM jinsi bowe alivyo unewa, jinsi katiba mpya inavyo kandamizwa sasa hivi ndo anajitokeza kwa jambo dogo la bandari sisi tutamuelewa je?
 
Huyu ana chuki zake binafsi na watawala sio uzalendo, angalia jinsi bunge lilivyo vurugwa na JPM jinsi bowe alivyo unewa, jinsi katiba mpya inavyo kandamizwa sasa hivi ndo anajitokeza kwa jambo dogo la bandari sisi tutamuelewa je?

Soma barua vizuri, haiongelei popote kuhusu bandari bali kustaafu kwa jaji Mkuu Ibrahim Juma.
Pia suala la bandari sio jambo dogo, lina umuhimu mkubwa kwa taifa hivyo lichukuliwe kwa ukubwa huohuo.
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Aisee
 
acha wivu mwanamme, mpe mama maua yake asiseme kama katiaba imevunjwa? she woman of the year
CHADEMA wakipenda, wamependa. Tena wanakuwa vipofu wa macho na akili. Hata uongo unabadilika kuwa ukweli. Ukitoa hoja huwa vioja. Du, nyie ndio Dr Slaa anawaweza akigeuza mawe anavyotaka.
Kwa hoja zenu hizi, nchi hampewi.
 
Back
Top Bottom