Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Muhimu katimiza wajibu wake kama mzalendo kwa nchi yake, hata kama watamuua lakini ujumbe umefika vizuri
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings".

By Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Kweli tupu lakini tumeanza kubadilika angalia Rais wa Zambia anachokifanya
 
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.

View attachment 2670759

Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.

Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾

View attachment 2670771
Nimegundua ni Rasmi SASA idara imeamua kutumia wanawake wenzake kumpiga spana!

Juzi tibaijuka leo msabato jaji!!

Asanteni sana!!

Mungu IBARIKI Tanzania nchi yetu niipendayo sana
 
Maoni yake alipeleka kwa raisi. Hakuileta mitandaoni kuna watu wameivujisha. Soma barua vizuri addressee ni Raisi wa Jamuhuri ya Muungano sio jamii forum, twitter watsup Facebook na kadhalika

yeye Jaji Stella Mugasha ndiye mwandishi wa barua hiyo, hivyo yeye ndiye source anajua alicho kifanya na alicho kuwa amedhamiria.
alikusudia kuidhalilisha mamlaka.
kwani kulikuwa na ulazima wa yeye kuandika barua kwa raisi na kutoa nakala kila ofisi?
 
kwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!

nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.

tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Pole
Sasa mnasifia hivi bado mnatumia majina bandia
 
yeye Jaji Stella Mugasha ndiye mwandishi wa barua hiyo, hivyo yeye ndiye source anajua alicho kifanya na alicho kuwa amedhamiria.
alikusudia kuidhalilisha mamlaka.
Sio kuidhalilisha mamlaka kama unavyodai.Ni jitihada za kulinda katiba
 
yeye Jaji Stella Mugasha ndiye mwandishi wa barua hiyo, hivyo yeye ndiye source anajua alicho kifanya na alicho kuwa amedhamiria.
alikusudia kuidhalilisha mamlaka.
kwani kulikuwa na ulazima wa yeye kuandika barua kwa raisi na kutoa nakala kila ofisi?
Acha kuhukumu Watu...
 
Not only Mkwundu wako una kazi ya kunya but also unakazi nyingne pia

Pumbavu.
Moderator hivi siku hizi hakuna discipline master humu. Nadhani uchafu kama huu haustahili hata kuonywa bali nikuondolewa tu kundini
 
sisi wananchi tunacho fahamu ni kwamba Mahakama ni chombo cha haki na kuzingatia nidhamu.

sio kosa kutoa maoni Bali huyu Jaji Mugasha kaandika barua yenye maoni yake na kuisambaza mitandaoni kitendo hicho ni ukosefu wa nidhamu.
Huyu jaji ameweka kwa uwazi ili wananchi waliotangaziwa kwa uwazi kuongezwa kwa muda wa jaji mkuu wajue kuna makosa yaliyofanyika.

Btw, hiyo nidhamu unayosema imekosekana iko kwenye utaratibu gani katika utendaji wa jaji...hebu fafanua.
 
Hakuna sehemu nimeandika mh. Jaji kadeal na badari.

The issue ni je, kama upande huo Jaji kaona katiba inakanywaga na kajitoa mhanga how kwa hii issue ya bandari?
Basi ungeandika vizuri kijana. Ukianza na ile para inayoanza na maneno "Wakati Watanzania wengi ........." ukazungumzia bandari na kuunganisha hapohapo kuhusu barua ya huyo Judge inaweza kuleta maana tofauti na uliyokusudia
 
Huyu mama Jaji wa mahakama ya rufani Stella E.A. Mugasha anastaili kupongezwa. Mama amepinga uvunjwaji wa katiba ya nchi kwa kumuongezea jaji mkuu muda wa kukaa madarakani kinyume na matakwa ya katiba. Mama ametaka mamlaka ya uteuzi (Rais) kuheshimu katiba ya nchi. Mungu ambariki
Huyu anafaa sn kuwa Jaji Mkuu sema mfumo unamtema sababu yamejaa mafisadi tupu kwenye system
 
Back
Top Bottom