Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Muhimu katimiza wajibu wake kama mzalendo kwa nchi yake, hata kama watamuua lakini ujumbe umefika vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings".Africa imelaaniwa haswa
Sahihi kabisa"Tatizo kubwa la ulimwengu wa sasa ni kwamba, watu wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na siasa, hivyo kuwapa mamlaka watu wasiokuwa na akili kuwaongoza watu wenye akili na watu wasiokuwa na akili".
By Donald Trump.
Kweli tupu lakini tumeanza kubadilika angalia Rais wa Zambia anachokifanya"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings".
By Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Nimegundua ni Rasmi SASA idara imeamua kutumia wanawake wenzake kumpiga spana!Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.
View attachment 2670759
Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.
Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾
View attachment 2670771
Maoni yake alipeleka kwa raisi. Hakuileta mitandaoni kuna watu wameivujisha. Soma barua vizuri addressee ni Raisi wa Jamuhuri ya Muungano sio jamii forum, twitter watsup Facebook na kadhalika
... namkumbuka Mh. Jaji Rugakingira; kauli zake zilikuwa zimenyooka kama rula!Wahaya ni wazelendo sana, nakumbuka kesi ya Jaji Rumanyika wamenyooka sana.
Polekwani alishindwa kutoa maoni yake kwenye mamlaka hadi aandike barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamiii?!
nadhani huu ni utovu mkubwa wa nidhamu na anapaswa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kutoa taarifa za kiofisi nje.
tabia hii isiachiliwe ikaendelea, kuna watu wanafiki na wazandiki
Sio kuidhalilisha mamlaka kama unavyodai.Ni jitihada za kulinda katibayeye Jaji Stella Mugasha ndiye mwandishi wa barua hiyo, hivyo yeye ndiye source anajua alicho kifanya na alicho kuwa amedhamiria.
alikusudia kuidhalilisha mamlaka.
Acha kuhukumu Watu...yeye Jaji Stella Mugasha ndiye mwandishi wa barua hiyo, hivyo yeye ndiye source anajua alicho kifanya na alicho kuwa amedhamiria.
alikusudia kuidhalilisha mamlaka.
kwani kulikuwa na ulazima wa yeye kuandika barua kwa raisi na kutoa nakala kila ofisi?
Moderator hivi siku hizi hakuna discipline master humu. Nadhani uchafu kama huu haustahili hata kuonywa bali nikuondolewa tu kundiniNot only Mkwundu wako una kazi ya kunya but also unakazi nyingne pia
Pumbavu.
Huyu jaji ameweka kwa uwazi ili wananchi waliotangaziwa kwa uwazi kuongezwa kwa muda wa jaji mkuu wajue kuna makosa yaliyofanyika.sisi wananchi tunacho fahamu ni kwamba Mahakama ni chombo cha haki na kuzingatia nidhamu.
sio kosa kutoa maoni Bali huyu Jaji Mugasha kaandika barua yenye maoni yake na kuisambaza mitandaoni kitendo hicho ni ukosefu wa nidhamu.
Basi ungeandika vizuri kijana. Ukianza na ile para inayoanza na maneno "Wakati Watanzania wengi ........." ukazungumzia bandari na kuunganisha hapohapo kuhusu barua ya huyo Judge inaweza kuleta maana tofauti na uliyokusudiaHakuna sehemu nimeandika mh. Jaji kadeal na badari.
The issue ni je, kama upande huo Jaji kaona katiba inakanywaga na kajitoa mhanga how kwa hii issue ya bandari?
Meza wembe shoga mwengine wwModerator hivi siku hizi hakuna discipline master humu. Nadhani uchafu kama huu haustahili hata kuonywa bali nikuondolewa tu kundini
Huwa nikiona hivi najikuta natamani kujua wazazi/walezi wako niwalaumu waoNot only Mkwundu wako una kazi ya kunya but also unakazi nyingne pia
Pumbavu.
Watu wengi humu wamejibu tu bila hata kusoma hiyo barua!!!!!😳😉Hii barua ya huyu mama sijaisoma yote, but nlitaka tu kujua inahusu nini? Mkataba wa DPW au Ukomo wa Jaji Mkuu?
Wajinga kama nyinyi ndio nawataka kwahiyo unataka ukitoa maoni kama ni ya hovyo watu wakuchekee.Huwa nikiona hivi najikuta natamani kujua wazazi/walezi wako niwalaumu wao
Inahusu ukomo wa Jaji MkuuHii barua ya huyu mama sijaisoma yote, but nlitaka tu kujua inahusu nini? Mkataba wa DPW au Ukomo wa Jaji Mkuu?
Huyu anafaa sn kuwa Jaji Mkuu sema mfumo unamtema sababu yamejaa mafisadi tupu kwenye systemHuyu mama Jaji wa mahakama ya rufani Stella E.A. Mugasha anastaili kupongezwa. Mama amepinga uvunjwaji wa katiba ya nchi kwa kumuongezea jaji mkuu muda wa kukaa madarakani kinyume na matakwa ya katiba. Mama ametaka mamlaka ya uteuzi (Rais) kuheshimu katiba ya nchi. Mungu ambariki