Kikwete alimdhulumu sana huyu mzee, Kikwete alaaniweJaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwete alimdhulumu sana huyu mzee, Kikwete alaaniweJaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu...
...anasubiri ndugu amalize muda wake aanze kumsema heri ya mchawi kuliko MNAFIKIAmesemaje kuhusu job ndugai anayekiuka na kuhujumu Katiba wazi wazi?!
Hayawezi kubadilika kivipi, kwani huu Uchaguzi ni wa mwisho,kwani Rais Magufuli ni wa milele, kwani Tanzania ndio inaisha baada ya huu utawala....Mzee ameongea maneno ambayo yataishi vizazi na vizazi..hajawaza tumbo lake amewaza hatma ya Taifa letu.Anaongelea Mambo ambayo hayawezi badilika yameshatokea.ongea kuhusu covid 19, na Ndugai acha unafiki babu.ongea kuachiwa waliokamatwa Kama kule liwale wakati na baada ya uchafuzi
Dah! umenikumbusha mbali sanaHuko mbogamboga unafiki ni moja wapo ya sifaView attachment 1646847
Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu...
Kati ya vitu vinavyonifanya nimwone Mahera ni takataka isiyostahili hata kuhifadhiwa kwenye shimo la takataka ni namna alivyouharibu uchaguzi wa mwaka huu.Kila mtu anaishangaa tume sio Warioba pekw yake, labda mazuzu tu ndio wanaoweza kuona sawa lakini wenye akili timamu wanajiuliza hawa viongozi wa tume wana akili gani maana mambo wanayofanya hata mtu wa la saba b hawezi kufanta
Atajibiwa na Ngudai, mwenyekiti wa kamati ya roho mbaya inayosimamia sheria, haki na utawala mbovu.Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu....
Sio kwamba hakutaka kusema mkuu, ila wakati huo angesemea wapi? Ni dhahiri mazingira yote ya habari kwa sasa hapa Tanzania tunayajua.Hana lolote yalipokuwa yanatendeka sialikuwepo? kwanini hakusema ili kuzuia anasema Leo ikiwa athari zimekuwa kubwa
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Hata mimi kwa hili nimemsifu kwani Kwasasa kuikosoa Serikali ya mungu mtu inahitaji roho ngumu Kama ya pakaSio kwamba hakutaka kusema mkuu, ila wakati huo angesemea wapi? Ni dhahiri mazingira yote ya habari kwa sasa hapa Tanzania tunayajua.
Kwa hiyo bora hata huyu alipopata nafasi kaamua kusema ukweli kuliko na yeye angeongea kama ambavyo wangefanya wenzie.
Kwa hili mimi binafsi nampongeza mzee Sinde Warioba.
Too little too late!
Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu.
Ameishangaa kuengua wagombea wa vyama mbalimbali bila kuzingatia katiba badala yake kutumia vigezo dhaifu ktk kumuengua mgombea.
Ameishauri tume kufwata utaratibu mpya badala utaratibu huu Usiokua wa haki.
Pamoja na hayo ameshangaa kuona viongozi wa kisiasa wanashindwa kukaa pamoja kwa ajili ya Taifa badala yake wametanguliza ubinafsi, tamaa ya madaraka na itikadi.
Amewashauri kuachana na itikadi za vyama vyao badala yake waliangalie Taifa.
Ameyasema hayo ktk maadhimisho ya haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Huyu ni Kiongozi wa kwanza mstaafu ambae ameishaanza kuona madhaifu yetu kama nchi ambayo yanaweza kutupeleka kubaya kama nchi na hivyo kutoa tahadhari.
Amevunja ukimya na kujionesha utofauti wake na wengine ambao ni wazalendo maslahi ambao kazi yao kubwa ni kusifu na kuabudu ili kulinda matumbo yao na familia zao.
...hana UBORA wowote mnafki tu....hivi majanga anayofanya jiwe wamekaa kimya akiondoka madarakani watakuja kumponda then utasema Bora wamesema!!!Lkn bora huyu aliyesema kuliko wale walio Kimyaa
Maneno yanasaidia nini?...chaguzi zipo hawataongea mpaka uchaguzi upite so maneno yao ni uselessHayawezi kubadilika kivipi, kwani huu Uchaguzi ni wa mwisho,kwani Rais Magufuli ni wa milele, kwani Tanzania ndio inaisha baada ya huu utawala....Mzee ameongea maneno ambayo yataishi vizazi na vizazi..hajawaza tumbo lake amewaza hatma ya Taifa letu.
Mkuu, kuna mambo yanashangaza sana kwenye hii nchi kiasi kwamba yanatia aibuKati ya vitu vinavyonifanya nimwone Mahera ni takataka isiyostahili hata kuhifadhiwa kwenye shimo la takataka ni namna alivyouharibu uchaguzi wa mwaka huu.
Siku ambayo nchi yetu itapata uongozi mzuri, uongozi unaosimamia haki kwa mujibu wa katiba, Mahera hataonekana mahali popote katika serikali au taasisi, panapohitaji mtu mwenye akili na aliye genuine.
Hao wametuvhelewesha sana tungekuwa mbali kumaendeleo.Hajawazungumzia akina Halima James Mdee na wenzake 18?
Unataka afanyeje kwa nafasi yake kama sio kuongea.Maneno yanasaidia nini?...chaguzi zipo hawataongea mpaka uchaguzi upite so maneno yao ni useless
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app