Jaji Warioba aishangaa Tume ya Uchaguzi kwa kitendo cha kuengua Wagombea wa Vyama mbalimbali vya upinzani bila kufuata utaratibu

Jaji Warioba aishangaa Tume ya Uchaguzi kwa kitendo cha kuengua Wagombea wa Vyama mbalimbali vya upinzani bila kufuata utaratibu

Huyu ni mzalendo wa kweli na ndio maana hapewi ulaji yeye na familia yake kama walivyo wenzake akina Jakaya na Pinda.

Wakati fulani ukweli ni bora zaidi kuliko pesa.
Kwa sasa siwaamini wale wanao sifia wenye mawazo mbadala hats kama wapo kwenye mfumo uleule yawezekana wanafanya hivyo hulu wakiuma meno.
 
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba ametaja kasoro 4 zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu wa 2020.

Jaji Warioba ametaja kasiro hizo wakati akiongea na viongozi wa dini na miongoni mwa kasoro hizo ni:
1. Vyama vya siasa kuwaengua baadhi ya wagombea wanaokubalika kwa wananchi.

2. Tume ya uchaguzi kuwaengua basdhi ya wagombea wa vyama vya upinzani.

3.Tume ya uchaguzi kutokuwa na uwazi nk

Source Eatv habari!
Na ya 4 ni nini? Mbona umekurupuka, ulikuwa unakimbilia kunya nini?
 
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba ametaja kasoro 4 zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu wa 2020.

Jaji Warioba ametaja kasiro hizo wakati akiongea na viongozi wa dini na miongoni mwa kasoro hizo ni:
1. Vyama vya siasa kuwaengua baadhi ya wagombea wanaokubalika kwa wananchi.

2. Tume ya uchaguzi kuwaengua basdhi ya wagombea wa vyama vya upinzani.

3.Tume ya uchaguzi kutokuwa na uwazi nk

Source Eatv habari!
Leo mkuu umeandika,so baraka zote zilizopoea KWA mda zirudi ndani ya siku 14 na ukiendelea hivi ziludi zaidi,maana taharifa zako za mzee mgaya zilisha tuchosha ,ongera KWA hili
 
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba ametaja kasoro 4 zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu wa 2020.

Jaji Warioba ametaja kasiro hizo wakati akiongea na viongozi wa dini na miongoni mwa kasoro hizo ni:
1. Vyama vya siasa kuwaengua baadhi ya wagombea wanaokubalika kwa wananchi.

2. Tume ya uchaguzi kuwaengua basdhi ya wagombea wa vyama vya upinzani.

3.Tume ya uchaguzi kutokuwa na uwazi nk

Source Eatv habari!
Jamani huyu mzee mwambieni atulie.
Atasitishiwa kiimua mgongo .
 
Hizi akili za bashite...

Unakosoa maoni ya mtu ili iweje? Toa maoni yako watu wapime na kuyatathimin.

Huyo mzee yupo sahihi kwa mawazo yake
Mkuu wewe ndio sifuri kwani kila mtu lazima akubaliane na mawazo yako,. Usilazimishe kila mtu awaze kama unavyowaza,. wewe kama unaona yuko sawa nimawazo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wakati hayo yanafanyika alikuwa kimya?... Au alikuwa anasubiri aulizwe?
Tatizo lako lipo upande upi, kama anasema ukweli haijalishi amesema wakati gani....wa kulaumiwa ni wale waliamua kukaa kimya milele.
 
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba ametaja kasoro 4 zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu wa 2020.

Jaji Warioba ametaja kasiro hizo wakati akiongea na viongozi wa dini na miongoni mwa kasoro hizo ni:
1. Vyama vya siasa kuwaengua baadhi ya wagombea wanaokubalika kwa wananchi.

2. Tume ya uchaguzi kuwaengua baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani.

3.Tume ya uchaguzi kutokuwa na uwazi nk

Source Eatv habari!
Anawashwawashwa.....
 
Huyu ni mzalendo wa kweli na ndio maana hapewi ulaji yeye na familia yake kama walivyo wenzake akina Jakaya na Pinda.

Wakati fulani ukweli ni bora zaidi kuliko pesa.
Bora ufe umesimama kuliko kuishi umepiga magoti kama vibaraka wengi wa Zanzimana wanavyoishi awamu hii kiunafiki kwelikweli .
 
Amesema vyema.

Lakini kuna tatizo kubwa la hiyo kauli niliyoinukuu. Ni budi tuelewe maana sahihi ya neno "itikadi". Ni kama vile tunafikiri itikadi ni majina ya vyama; kwamba kuna itikadi ya CCM, CHADEMA, ACT, CUF, n.k. WRONG.

Tofauti za kiitikadi ndio utambulisho wa vyama; ndio msingi wa vyama vya siasa. Ukiondoa itikadi basi hakuna sababu ya kuwa na "vyama vya siasa". Inabidi kiwe kimoja tu. US kuna Republicans wenye itikadi ya mlengo wa kulia na Democrats wenye itikadi ya mlengo wa kushoto. UK kuna Conservatives wenye itikadi ya mlengo wa kulia na Labour wenye itikadi ya mlengo wa kushoto. Pia kuna vyama vingine vinavyocheza kati ya itikadi hizo kuanzia kushoto mwisho (extreme left) hadi Kulia mwisho (extreme right).

Umoja wa kitaifa unatokana na katiba ya nchi inayolazimisha vyama vya siasa kujadiliana kupitia Bunge na Utawala (serikali) na kufikia MUAFAKA wa kiitikadi katika vipaumbele vya maendeleo ya kiuchumi na kijamii vya taifa. Kura za wananchi huwezesha hilo kutokea kupitia chaguzi halali. Bungeni ndipo itikadi na sera mbalimbali ushindanishwa kwa mijadala na taratibu za maamuzi.

Ukiwaambia viongozi wa kisiasa waachane na itikadi zao na kuliangalia taifa ni kama unawataka kuwanyima wananchi fursa ya kuchagua mwelekeo wa uongozi wanaoutaka na kuruhusu utawala wa aina moja tu (totalitarianism) kama ilivyo Korea ya Kaskazini na, kwa kiasi fulani, China, Urusi na madikteta wengine waliojificha.
ndugu yangu hiyo jamaa ni muongo Sana na anaonekana ni wale mataga wa ccm. waryoba Hukusema kuwa waachane na itikadi sababu itikadi ndio muelekeo wa Chama, na watu wanajiunga ktk vyama mbalimbali sababu ya itikadi zao, sasa unaposema viachane na itikadi, utambulisho wake utakua wapi?
huyo anajitahidi kubadilisha ukweli kuwa uwongo na uwongo kuwa ukweli kuhusu alichosema waryoba
 
Back
Top Bottom