Jaji Warioba anazungumza na vyombo vya habari

Jaji Warioba anazungumza na vyombo vya habari

Rais Samia Hassan - Wakuu wa Vyombo vya Usalama Mpo Hapa, lakini Mifumo ya .....


View: https://m.youtube.com/watch?v=x3KVwydUM88

Rais Dr. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali kabla ya kuzindua Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi, Ikulu Jijini Dar es Salaam Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Oktoba 2024 ...

1728062696097.png

Picha : Wakuu wa Vyombo vya Usalama
 
04 October 2024

JAJI WARIOBA AZUNGUMZA KUHUSU KUELEKEA UCHAGUZI 2024 / 2025 , HALI YA KISIASA, MFUMO WA HAKI JINAI, KUWEPO MAJESHI MENGI, 4R ...

View: https://m.youtube.com/watch?v=Y5z3HSDrAP4

Jaji Joseph Sinde Warioba anazungumzia uchaguzi unaokuja wa November 2024 TAMISEMI na ule uchaguzi mkuu 2025

Jaji Warioba uchaguzi wa 2019 na 2020 ulikuwa wa kipekee kwa kuwa ulipangwa uwe na dosari nchini nzima tena dosari kubwa za makusudi tofauti na miaka ya 2015 kwenda nyuma hadi 1995 ambapo kulikuwa na dosari ndogo ndogo sehemu chache za nchi.

Baada ya kusema hayo (Jaji Warioba) nataka sasa tuangazie uchaguzi wa serikali za mitaa November 2024 naona kuna taarifa za makusudi kuwakanganya wananchi wasiweze kushiriki kikamilifu uchaguzi wa November 2024.

Elimu inayosemekana inatolewa kwa mpiga kura ni potofu, inachanganya ... mfano serikali ndiyo inasimamia kupitia TAMISEMI uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ambapo wananchi hawapewi elimu kuwa ili uweze kupiga kura November kuna daftari la mtaani ukajiandikishe ama sivyo hutaweza kushiriki November 2024 kuchagua au kuchaguliwa... hii ni kazi ya Serikali siyo Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa INEC

Tuna wasiwasi yale ya 2019 kuhusu wapiga kura, wagombea na mawakala kuenguliwa, kutoruhusiwa kuingia vituoni, kutoshirikishwa kuhesabu kura pia kushindwa kushirikishwa wakati wa kutangaza matokeo ..

Sheria ya kuwakamata na kuwatia ndani watu, inatumiwa vibaya na wakuu wa wilaya, nakumbuka waziri wa mambo ya ndani ya nchi jenerali Kimaro alipata pressure alitaka kuwatia ndani kina mchungaji Christopher Mtikila waliokuwa wanatofautiana na serikali wakati wa utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Sisi tulikataa na kupiga kelele. Sheria ya DC kutia watu ndani, sheria hiyo bado ipo na watu wanaitafuata sana wanataka waitumie, sasa tunaelekea ktk uchaguzi sheria hiyo kandamizi bado ipo ...

Mtindo wa DC kuongozana na viongozi wa majeshi yote hayo kwa kisingizio cha kuwa mkuu wa Kamati za Ulinzi na Usalama za wilaya, ni kujaribu kuliigiza jeshi la polisi na majeshi mengine mengi ya Tanzania. Pia ni kuwapotezea muda wakuu wa Polisi wa wilaya kushindwa kufanya majukumu yao kwa kuwa wanalazimishwa kuambataba na maDC kila mahali.

Nchi ina majeshi mengi kuanzia Polisi, Misitu, TAKUKURU, UHAMIAJI, MAGERAZA, TISS n.k , Tume ya Haki Jinai imependekeza nchi iwe na jeshi moja tu yaani TPDF / JWTZ na majeshi mengi yavunjwe badala yake yawe Taasisi za Huduma.

Sasa hivi majeshi haya yasiyo TPDF yanakamata, kufunga, kutesa kutokana na muundo wao kuwa wa kijeshi jeshi na kutumika vibaya ... watuhumiwa wakikamatwa hawajulikani wapo wapi na nani kawakamata ...

Utawala bora yaani mfumo wazi unaoeleweka wa haki na mifumo ya usalama ndiyo huzaa demokrasia, bila utawala bora wa kujua nani anafanya nini, mamlaka yake ni yepi na anawajibika kwa nani basi demokrasia inakuwa haipo ...

Mzee anazeeka na akili yake smart kabisa hakika mungu fundi wengine wanamiaka 45:60 lakini wakiongea ni kama darasa la vii
 
Rais Samia Hassan - Wakuu wa Vyombo vya Usalama Mpo Hapa, lakini Mifumo ya Haki .


View: https://m.youtube.com/watch?v=x3KVwydUM88

Rais Dr. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali kabla ya kuzindua Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi, Ikulu Jijini Dar es Salaam ...

Huyu kamanda wa police angepewa gwanda la jw halafu huyo wa TPDF angepewa soft lethar ya police namana police kaiva kweli kweli kimuonekano
 
04 October 2024

JAJI WARIOBA AZUNGUMZA KUHUSU KUELEKEA UCHAGUZI 2024 / 2025 , HALI YA KISIASA, MFUMO WA HAKI JINAI, KUWEPO MAJESHI MENGI, 4R ...

View: https://m.youtube.com/watch?v=Y5z3HSDrAP4

Jaji Joseph Sinde Warioba anazungumzia uchaguzi unaokuja wa November 2024 TAMISEMI na ule uchaguzi mkuu 2025

Jaji Warioba uchaguzi wa 2019 na 2020 ulikuwa wa kipekee kwa kuwa ulipangwa uwe na dosari nchini nzima tena dosari kubwa za makusudi tofauti na miaka ya 2015 kwenda nyuma hadi 1995 ambapo kulikuwa na dosari ndogo ndogo sehemu chache za nchi.

Baada ya kusema hayo (Jaji Warioba) nataka sasa tuangazie uchaguzi wa serikali za mitaa November 2024 naona kuna taarifa za makusudi kuwakanganya wananchi wasiweze kushiriki kikamilifu uchaguzi wa November 2024.

Elimu inayosemekana inatolewa kwa mpiga kura ni potofu, inachanganya ... mfano serikali ndiyo inasimamia kupitia TAMISEMI uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ambapo wananchi hawapewi elimu kuwa ili uweze kupiga kura November kuna daftari la mtaani ukajiandikishe ama sivyo hutaweza kushiriki November 2024 kuchagua au kuchaguliwa... hii ni kazi ya Serikali siyo Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa INEC

Tuna wasiwasi yale ya 2019 kuhusu wapiga kura, wagombea na mawakala kuenguliwa, kutoruhusiwa kuingia vituoni, kutoshirikishwa kuhesabu kura pia kushindwa kushirikishwa wakati wa kutangaza matokeo ..

Sheria ya kuwakamata na kuwatia ndani watu, inatumiwa vibaya na wakuu wa wilaya, nakumbuka waziri wa mambo ya ndani ya nchi jenerali Kimaro alipata pressure alitaka kuwatia ndani kina mchungaji Christopher Mtikila waliokuwa wanatofautiana na serikali wakati wa utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Sisi tulikataa na kupiga kelele. Sheria ya DC kutia watu ndani, sheria hiyo bado ipo na watu wanaitafuata sana wanataka waitumie, sasa tunaelekea ktk uchaguzi sheria hiyo kandamizi bado ipo ...

Mtindo wa DC kuongozana na viongozi wa majeshi yote hayo kwa kisingizio cha kuwa mkuu wa Kamati za Ulinzi na Usalama za wilaya, ni kujaribu kuliigiza jeshi la polisi na majeshi mengine mengi ya Tanzania. Pia ni kuwapotezea muda wakuu wa Polisi wa wilaya kushindwa kufanya majukumu yao kwa kuwa wanalazimishwa kuambataba na maDC kila mahali.

Nchi ina majeshi mengi kuanzia Polisi, Misitu, TAKUKURU, UHAMIAJI, MAGERAZA, TISS n.k , Tume ya Haki Jinai imependekeza nchi iwe na jeshi moja tu yaani TPDF / JWTZ na majeshi mengi yavunjwe badala yake yawe Taasisi za Huduma.

Sasa hivi majeshi haya yasiyo TPDF yanakamata, kufunga, kutesa kutokana na muundo wao kuwa wa kijeshi jeshi na kutumika vibaya ... watuhumiwa wakikamatwa hawajulikani wapo wapi na nani kawakamata ...

Utawala bora yaani mfumo wazi unaoeleweka wa haki na mifumo ya usalama ndiyo huzaa demokrasia, bila utawala bora wa kujua nani anafanya nini, mamlaka yake ni yepi na anawajibika kwa nani basi demokrasia inakuwa haipo ...

Huyu mzee japo amechelewa Mwenyezi Mungu amlinde na kumpa mwisho Mwema.
 
Ukisikia wazee ni hazina usipate tabu kuelewa. Msikilize mzee Warioba. Wazee kama hawa utakuta wale vijana machawa na makuwadi wa wanasiasa wanawatukana mitandaoni.
 
Ukisikia wazee ni hazina usipate tabu kuelewa. Msikilize mzee Warioba. Wazee kama hawa utakuta wale vijana machawa na makuwadi wa wanasiasa wanawatukana mitandaoni.
Kuna wazee wengine ni tumbo tu ndio lina umri mkubwa kla kichwani hamna kitu.
 
Unaweza ukafikiri jaji warioba no mpinzani yaani chadema Kwa hotuba hii aliyoitoa !!

CCM yeti ya Sasa imeshindwa kutengeneza watu professional wenye uwezo wa kuitetea kweli na haki ya kisheria zaidi ya chawa waliotengenezwa hakuna wenye maono kabisa!!!

NIAMINI HOTUBA HII NI UJUMBE WA DOLA ISIYOONEKANA IFANYAYO KAZI KUPITIA MNF!

NIAMINI NEXT STAGE YA DOLA INAENDELEA KUTEKELEZWA KWA STYLE YA KIPEKEE!!
 
..tatizo la Mzee Warioba ni kuona kwamba 2019/2020 kulikuwa na " dosari za uchaguzi ", badala ya dhuluma na na uporaji. Na bado Mzee Warioba anazungumza kwa lugha laini ambayo haifikishi ujumbe kwa wahusika kwamba wanayofanya yanaiumiza nchi.
 
04 October 2024

JAJI WARIOBA AZUNGUMZA KUHUSU KUELEKEA UCHAGUZI 2024 / 2025 , HALI YA KISIASA, MFUMO WA HAKI JINAI, KUWEPO MAJESHI MENGI, 4R ...

View: https://m.youtube.com/watch?v=Y5z3HSDrAP4

Jaji Joseph Sinde Warioba anazungumzia uchaguzi unaokuja wa November 2024 TAMISEMI na ule uchaguzi mkuu 2025

Jaji Warioba uchaguzi wa 2019 na 2020 ulikuwa wa kipekee kwa kuwa ulipangwa uwe na dosari nchini nzima tena dosari kubwa za makusudi tofauti na miaka ya 2015 kwenda nyuma hadi 1995 ambapo kulikuwa na dosari ndogo ndogo sehemu chache za nchi.

Baada ya kusema hayo (Jaji Warioba) nataka sasa tuangazie uchaguzi wa serikali za mitaa November 2024 naona kuna taarifa za makusudi kuwakanganya wananchi wasiweze kushiriki kikamilifu uchaguzi wa November 2024.

Elimu inayosemekana inatolewa kwa mpiga kura ni potofu, inachanganya ... mfano serikali ndiyo inasimamia kupitia TAMISEMI uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ambapo wananchi hawapewi elimu kuwa ili uweze kupiga kura November kuna daftari la mtaani ukajiandikishe ama sivyo hutaweza kushiriki November 2024 kuchagua au kuchaguliwa... hii ni kazi ya Serikali siyo Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa INEC

Tuna wasiwasi yale ya 2019 kuhusu wapiga kura, wagombea na mawakala kuenguliwa, kutoruhusiwa kuingia vituoni, kutoshirikishwa kuhesabu kura pia kushindwa kushirikishwa wakati wa kutangaza matokeo ..

Sheria ya kuwakamata na kuwatia ndani watu, inatumiwa vibaya na wakuu wa wilaya, nakumbuka waziri wa mambo ya ndani ya nchi jenerali Kimaro alipata pressure alitaka kuwatia ndani kina mchungaji Christopher Mtikila waliokuwa wanatofautiana na serikali wakati wa utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Sisi tulikataa na kupiga kelele. Sheria ya DC kutia watu ndani, sheria hiyo bado ipo na watu wanaitafuata sana wanataka waitumie, sasa tunaelekea ktk uchaguzi sheria hiyo kandamizi bado ipo ...

Mtindo wa DC kuongozana na viongozi wa majeshi yote hayo kwa kisingizio cha kuwa mkuu wa Kamati za Ulinzi na Usalama za wilaya, ni kujaribu kuliigiza jeshi la polisi na majeshi mengine mengi ya Tanzania. Pia ni kuwapotezea muda wakuu wa Polisi wa wilaya kushindwa kufanya majukumu yao kwa kuwa wanalazimishwa kuambataba na maDC kila mahali.

Nchi ina majeshi mengi kuanzia Polisi, Misitu, TAKUKURU, UHAMIAJI, MAGERAZA, TISS n.k , Tume ya Haki Jinai imependekeza nchi iwe na jeshi moja tu yaani TPDF / JWTZ na majeshi mengi yavunjwe badala yake yawe Taasisi za Huduma.

Sasa hivi majeshi haya yasiyo TPDF yanakamata, kufunga, kutesa kutokana na muundo wao kuwa wa kijeshi jeshi na kutumika vibaya ... watuhumiwa wakikamatwa hawajulikani wapo wapi na nani kawakamata ...

Utawala bora yaani mfumo wazi unaoeleweka wa haki na mifumo ya usalama ndiyo huzaa demokrasia, bila utawala bora wa kujua nani anafanya nini, mamlaka yake ni yepi na anawajibika kwa nani basi demokrasia inakuwa haipo ...

Lukas Mwashambwa kasikia hayo?!!
 
04 October 2024

JAJI WARIOBA AZUNGUMZA KUHUSU KUELEKEA UCHAGUZI 2024 / 2025 , HALI YA KISIASA, MFUMO WA HAKI JINAI, KUWEPO MAJESHI MENGI, 4R ...

View: https://m.youtube.com/watch?v=Y5z3HSDrAP4

Jaji Joseph Sinde Warioba anazungumzia uchaguzi unaokuja wa November 2024 TAMISEMI na ule uchaguzi mkuu 2025

Jaji Warioba uchaguzi wa 2019 na 2020 ulikuwa wa kipekee kwa kuwa ulipangwa uwe na dosari nchini nzima tena dosari kubwa za makusudi tofauti na miaka ya 2015 kwenda nyuma hadi 1995 ambapo kulikuwa na dosari ndogo ndogo sehemu chache za nchi.

Baada ya kusema hayo (Jaji Warioba) nataka sasa tuangazie uchaguzi wa serikali za mitaa November 2024 naona kuna taarifa za makusudi kuwakanganya wananchi wasiweze kushiriki kikamilifu uchaguzi wa November 2024.

Elimu inayosemekana inatolewa kwa mpiga kura ni potofu, inachanganya ... mfano serikali ndiyo inasimamia kupitia TAMISEMI uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ambapo wananchi hawapewi elimu kuwa ili uweze kupiga kura November kuna daftari la mtaani ukajiandikishe ama sivyo hutaweza kushiriki November 2024 kuchagua au kuchaguliwa... hii ni kazi ya Serikali siyo Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa INEC

Tuna wasiwasi yale ya 2019 kuhusu wapiga kura, wagombea na mawakala kuenguliwa, kutoruhusiwa kuingia vituoni, kutoshirikishwa kuhesabu kura pia kushindwa kushirikishwa wakati wa kutangaza matokeo ..

Sheria ya kuwakamata na kuwatia ndani watu, inatumiwa vibaya na wakuu wa wilaya, nakumbuka waziri wa mambo ya ndani ya nchi jenerali Kimaro alipata pressure alitaka kuwatia ndani kina mchungaji Christopher Mtikila waliokuwa wanatofautiana na serikali wakati wa utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Sisi tulikataa na kupiga kelele. Sheria ya DC kutia watu ndani, sheria hiyo bado ipo na watu wanaitafuata sana wanataka waitumie, sasa tunaelekea ktk uchaguzi sheria hiyo kandamizi bado ipo ...

Mtindo wa DC kuongozana na viongozi wa majeshi yote hayo kwa kisingizio cha kuwa mkuu wa Kamati za Ulinzi na Usalama za wilaya, ni kujaribu kuliigiza jeshi la polisi na majeshi mengine mengi ya Tanzania. Pia ni kuwapotezea muda wakuu wa Polisi wa wilaya kushindwa kufanya majukumu yao kwa kuwa wanalazimishwa kuambataba na maDC kila mahali.

Nchi ina majeshi mengi kuanzia Polisi, Misitu, TAKUKURU, UHAMIAJI, MAGERAZA, TISS n.k , Tume ya Haki Jinai imependekeza nchi iwe na jeshi moja tu yaani TPDF / JWTZ na majeshi mengi yavunjwe badala yake yawe Taasisi za Huduma.

Sasa hivi majeshi haya yasiyo TPDF yanakamata, kufunga, kutesa kutokana na muundo wao kuwa wa kijeshi jeshi na kutumika vibaya ... watuhumiwa wakikamatwa hawajulikani wapo wapi na nani kawakamata ...

Utawala bora yaani mfumo wazi unaoeleweka wa haki na mifumo ya usalama ndiyo huzaa demokrasia, bila utawala bora wa kujua nani anafanya nini, mamlaka yake ni yepi na anawajibika kwa nani basi demokrasia inakuwa haipo ...

Kumbe Tiss ina jeshi?
 
Back
Top Bottom