Jaji Warioba aomba jengo la Maabara Jumuishi SUA kuitwa Samia, Rais Samia aridhia

Jaji Warioba aomba jengo la Maabara Jumuishi SUA kuitwa Samia, Rais Samia aridhia

Sioni kama ni vibaya kuita vitu vizuri kwa majina ya viongozi wa nchi au waasisi wa nchi yetu au watu maarufu au watu waliofanya kitu muhimu kwenye jamii kwani ni njia nyingine ya kutunza historia za watu mashuhuri nchini kuliko kuendelea na majina ya kikoloni

Mfano, leo hii vijana wengi hawajui historia ya Edward Moringe Sokoine lakini angalau kwa wanaobahatika kusoma au kupita chuo kikuu cha SUA angalau watajishughulisha kutaka kujua SOKOINE alikuwa nani?

Kuita vitu kwa majina ya viongozi ni namna ya kutunza historia ya watu hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My Take
Chadema wataumia sana Kwa hili.

In fact hata Mzumbe wanatakiwa Waite mojawapo ya majengo Yao Jina la Rais Samia kama mwana Alumnai wa Mzumbe.

Ni mbumbumbu tuu ndio anaweza kuhoji mchango wa Rais Samia kwenye sekta ya Kilimo ya Nchi hii,walioko fields na kwenye tafsiri wanajua waliootoka na walipo awamu ya 6.

Rais kama Samia Huwa hawapatikani Kila mahala na Kila mda.
View attachment 3062963

----

RAIS SAMIA ARIDHIA JENGO LA MAABARA JUMUISHI SUA LIITWE KWA JINA LAKE



"Hili jengo liitwe Samia lakini na mimi niwaombe hilo jengo linalomalizika liitwe Chibunda (Prof. Raphael Chibunda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo- SUA) amefanya kazi nzuri sana hapa ndani"- Rais Samia.

Rais Samia ameyasema hayo baada ya kuzindua jengo la Maabara Jumuishi la Chuo Kikuu Cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo Manispaa na wilaya ya Morogoro mkoani Morogoro siku ya Jumanne Agosti 06, 2024.
 

Attachments

  • IMG-20240806-WA0047.jpg
    IMG-20240806-WA0047.jpg
    49.3 KB · Views: 3
Sio jambo baya kufanya hivyo! ila tukumbuke kuwa hilo jengo hajajenga Samia. Na ni jengo la Watanzania sio Samia. Ipo siku mtapeleka mswada bungeni Kuomba Uwanja wa Julius Kambarage Nyerere uitwe Samia.
Na ukiangalia hakuna cha maana anafanya zaidi ya ufisadi wa mali za umma
 
Kwahyo ukishamfikisha mwanamke kileleni ndy atakula kileleni?
Mwanaume ukiwa na pesa hata ukimlamba sikio mkeo anafika kileleni. hapo hapo ,,yaani hutumii nguvu nyingi kwa mwanamke.

Pesa ndy inaleta hisia na hamu ya tendo ,,

Tafuta pesa wacha maneno mengi.
 
My Take
Chadema wataumia sana Kwa hili.

In fact hata Mzumbe wanatakiwa Waite mojawapo ya majengo Yao Jina la Rais Samia kama mwana Alumnai wa Mzumbe.

Ni mbumbumbu tuu ndio anaweza kuhoji mchango wa Rais Samia kwenye sekta ya Kilimo ya Nchi hii,walioko fields na kwenye tafsiri wanajua waliootoka na walipo awamu ya 6.

Rais kama Samia Huwa hawapatikani Kila mahala na Kila mda.
View attachment 3062963

----

RAIS SAMIA ARIDHIA JENGO LA MAABARA JUMUISHI SUA LIITWE KWA JINA LAKE



"Hili jengo liitwe Samia lakini na mimi niwaombe hilo jengo linalomalizika liitwe Chibunda (Prof. Raphael Chibunda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo- SUA) amefanya kazi nzuri sana hapa ndani"- Rais Samia.

Rais Samia ameyasema hayo baada ya kuzindua jengo la Maabara Jumuishi la Chuo Kikuu Cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo Manispaa na wilaya ya Morogoro mkoani Morogoro siku ya Jumanne Agosti 06, 2024.
Mimi naamini kabisa wewe ni tutusa ulietukuka wakenya wanapowaita watanzania ni maiti sio kwamba wanakosea...hivi kuna raisi ambae amewahi kutawala halafu asitoe mchango wowote kwenye sekta ya kilimo?
 
Mimi naamini kabisa wewe ni tutusa ulietukuka wakenya wanapowaita watanzania ni maiti sio kwamba wanakosea...hivi kuna raisi ambae amewahi kutawala halafu asitoe mchango wowote kwenye sekta ya kilimo?
Mojawapo ni Magufuli,eleza mchangi wake kabla ya kumwaga povu za ujinga wako
 
Nchi ya kishamba hii. Kila kitu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia.
Kama nchi pia tujifunze kuwa majina ya vitu wakati mwingine ni utalii tosha.
Na nchi waibadilishe jina iitwe Samia ili wapate usingizi.
 
Kwani mchango wa samia kwenye kilimo ni upi?
-Bajeti Kilimo kutoka Bilioni 230 Hadi 1.2T
-Kununua mazao ya Wakulima kutoka Tani 300k had Tani 1.1Mln
-Kuongeza uzalishaji wa Tumbaku,namba 2 Afrika
-Kuanzisha Mnada wa Chai Dar badala ya Mombasa Kenya
-Kutoa ruzuku ya mbolea na mbegu
-Kuongeza Kilimo Cha Umwagiliaji kutoaj hekta 700k Toka uhuru Hadi hectare 500k ziko kwe ujenzi
-BBT Kilimo na Ufugaji
-Kuongeza Bajeti ya Utafiti wa Kilimo,
-Kufufua mashamba ya Mbegu za Serikali ya Assa, Nchi inajitosheleza.kwa.mbegu Kwa 50% kutoka Kuagiza Nje ya Nchi
-Kuajiri Wahandishi wa Kilimo na maagisa ugani,kuwapa vitendea kazi kama magari,pipiki na vipima udongo
-Kushusha riba za kukopa kwenye mabenki Hadi 9%

Kiufupi mafanikio ni mengi , mengine haya hapa 👇👇

View: https://twitter.com/shambamedia/status/1819025800651231380?t=cArsOEyKaRuQKZEVu7AF8Q&s=19

Hakuna Rais anaeweza mfikia Samia kwa lolote na sekta yeyote 👇👇

View: https://twitter.com/shambamedia/status/1819001482559074320?t=A3v_8CSn6N8Km0AYCGLBDw&s=19
 
-Bajeti Kilimo kutoka Bilioni 230 Hadi 1.2T
-Kununua mazao ya Wakulima kutoka Tani 300k had Tani 1.1Mln
-Kuongeza uzalishaji wa Tumbaku,namba 2 Afrika
-Kuanzisha Mnada wa Chai Dar badala ya Mombasa Kenya
-Kutoa ruzuku ya mbolea na mbegu
-Kuongeza Kilimo Cha Umwagiliaji kutoaj hekta 700k Toka uhuru Hadi hectare 500k ziko kwe ujenzi
-BBT Kilimo na Ufugaji
-Kuongeza Bajeti ya Utafiti wa Kilimo,
-Kufufua mashamba ya Mbegu za Serikali ya Assa, Nchi inajitosheleza.kwa.mbegu Kwa 50% kutoka Kuagiza Nje ya Nchi
-Kuajiri Wahandishi wa Kilimo na maagisa ugani,kuwapa vitendea kazi kama magari,pipiki na vipima udongo
-Kushusha riba za kukopa kwenye mabenki Hadi 9%

Kiufupi mafanikio ni mengi , mengine haya hapa 👇👇

View: https://twitter.com/shambamedia/status/1819025800651231380?t=cArsOEyKaRuQKZEVu7AF8Q&s=19

Hakuna Rais anaeweza mfikia Samia kwa lolote na sekta yeyote 👇👇

View: https://twitter.com/shambamedia/status/1819001482559074320?t=A3v_8CSn6N8Km0AYCGLBDw&s=19

Umewahi kulima?
 
My Take
Chadema wataumia sana Kwa hili.

In fact hata Mzumbe wanatakiwa Waite mojawapo ya majengo Yao Jina la Rais Samia kama mwana Alumnai wa Mzumbe.

Ni mbumbumbu tuu ndio anaweza kuhoji mchango wa Rais Samia kwenye sekta ya Kilimo ya Nchi hii,walioko fields na kwenye tafsiri wanajua waliootoka na walipo awamu ya 6.

Rais kama Samia Huwa hawapatikani Kila mahala na Kila mda.
View attachment 3062963

----

RAIS SAMIA ARIDHIA JENGO LA MAABARA JUMUISHI SUA LIITWE KWA JINA LAKE



"Hili jengo liitwe Samia lakini na mimi niwaombe hilo jengo linalomalizika liitwe Chibunda (Prof. Raphael Chibunda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo- SUA) amefanya kazi nzuri sana hapa ndani"- Rais Samia.

Rais Samia ameyasema hayo baada ya kuzindua jengo la Maabara Jumuishi la Chuo Kikuu Cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo Manispaa na wilaya ya Morogoro mkoani Morogoro siku ya Jumanne Agosti 06, 2024.
Wewe pia ni mshamba.
Unachonganisha watu.
 
Mpaka Mzee ameona hivyo naunga mkono hoja! Ni moja ya Wazee katika nchi yetu naowaheshimu sana!
Kwa hili Samia oyeee!
 
Back
Top Bottom