Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa.Mzee Warioba aliheshimika kwa Watanzania na bado Anaheshimika na Ataendelea kuheshimika zaidi kutokana na misimamo yake ilivyo mpaka sasa !
Au nasema uongo ndugu zanguni !!! 🙏🙏
Jingalao hawezi kuwa na akili timamu. Mwenyezi mungu akuchukue wewe upumzikeNikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshimike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Duuu sema Kwa kua ww ndo jinga lao kama jina lako hata Haina haja ya kubishabna na "jinga lao" Kwa iyo hamtak kusema? Naomba askae kmya na hakuna wa kumfunga mdomo kipind kile mlimtuma kijana wa yuvisisiemu akampiga huyu mzee mateke na mkampandisha kijana akapata cheo kikubwa sana nchi hii... Sasa kama mnataka kumpiga mpigen Tena maana naona amepiga kweny mshono na mmeshndwa kujibu hoja kuntu za mzeeNikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshimike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ndiyoo ivyo na tutamheshmu sana hao yuvisisiemu wasipo mheshimu bas maana waliwahi mpiga mateke sana huyu mzee ,na Hawa vijana nadhan wajitafakar kabla mzee hajaondoka Duniani waombe msamaha kama yuvisisiemu asje akafa akawaachia laana walah naapa ,,Mzee Warioba aliheshimika kwa Watanzania na bado Anaheshimika na Ataendelea kuheshimika zaidi kutokana na misimamo yake ilivyo mpaka sasa !
Au nasema uongo ndugu zanguni !!! 🙏🙏
AmenNenda kuzimu ewe adui wa msalaba na taifa
Hahaha mkuu umenichekeshaAmen
Hivi wa Tz tunaongozwa na wahuni ktk serikali yetuBasi tuseme jaji Warioba sio Mzalendo.
Mzalendo ni Makonda.
Hapo si utakuwa umeridhika na kufurahi mjinga wao ?
View attachment 3172461
Unataka afe!!!! Pumbavu zako.Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshimike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Serikali tatu ni muhimu kwa ustawi wa nchiRasimu ya Warioba ina mapungufu mengi tu. Mzee alikuwa ana nia ovu ya kuuvunja muungano.
💯%Wewe ni mjinga
Hana lolote huyu amepewa heshima kubwa bure tu bora awe makini sana kuja na mambo ya kuvuruga taifa.Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshimike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Shetanijaji warioba tunamjua
wewe ni nani nchi hii?
Mafisadi hamwezi kubali mambo ya Warioba kamweHana lolote huyu amepewa heshima kubwa bure tu bora awe makini sana kuja na mambo ya kuvuruga taifa.
Mfano mzuri ni pale gharama kubwa alipoteza alipoaminiwa kuongoza tume ya katiba. Kitu gani mwisho alileta kama sio katiba ya kulivunja taifa. Huwezi kua mwanamapinduzi na mliberali wakati mmoja. Alikuja na katiba ya kipuuzi kabisa haifai kulinda umoja na usalama wa taifa. Ingetekelezwa nchi ingeishia kua na marais watatu kila rais na masharubu. Rais wa muungano mwenye mambo 9 kusimamia angekua na wizara kuongoza labda 20...mzigo mkubwa wa bure. Mwisho wake yeye angekatwa sharubu na wenzake muungano ungekufilia mbali.
Ndio na wamegeuzwa jina kuitwa wazalendo.Hivi wa Tz tunaongozwa na wahuni ktk serikali yetu