Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

UVCCM bana, angeipamba Serikali hata kwa mambo ya hovyo - nyie nyie mngesema Mzee anaupiga mwingi apewe walau ushauri pale IKULU.
 
Back
Top Bottom