Pre GE2025 Jaji Warioba: Jeshi la Polisi limeingizwa kwenye Siasa, linatoa matamko ya Kisiasa, liachwe lifanye kazi yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
warioba alishindwa ubunge akiwa waziri mkuu masuala ya uchaguzi atuache
 
..Nani amewazuia Amiri Jeshi Mkuu, na Igp, kulitoa jeshi la Polisi kwenye siasa?
 
"Lisije kuingizwa kisiasa" aliyemwambia linaingizwa kisiasa nani? kwa hiyo taasisi zote hazina maadili? hebu anukuu hayo matamko ya polisi ya kisiasa. Mchawi anawanga mchana. Ndio mwana chama pekee wa CCM anayeomba chama chake kishindwe. Anaongea kama nani huyu mzee.
 
JK alishatoa taadhari tena akiwa rais kuwaambia wenzie wasiwategemee kuna siku watawakataa
 
Toka aanze kuongea public matukio ya aina hii..s there any impact recorded??? mwenye mtindio wa akili ndio anasikiliza hizi garbbage, na juha anakimbia kupost hapa!
Beneficiary at work, ujinga ni mzigo!!

Siku UKIBINYWA PUMBU ndo utakuja kuelewa,
 
Miaka 30 ijayo nchi itakuwa haikaliki ,tufuate ushauri wa mzee Warioba
 
Mzee wa Walioba ameongea kweli. Lakini naona humu watu wengi mnamjaza mzee uwogo, unafikili yeye hajui kuwa na kuminywa ukiikosea serikali. Mzee yuko real . MUNGU amlinde ndio mzee aliyepaki kulipambania taifa. Wazee wengine wote wamekaa kimya wanakula pension. Tumuombee mzee wetu aendelee na afya njema na ulinzi wa MUNGU uwe juu yake azidi kutema cheche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…