Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea naye lini na ulikutana naye lini.Kuna tetesi kuwa kutokana na kushinikizwa na chama tawala kubadilisha mapendekezo ya rasimu ya katiba, Jaji warioba yu mbioni kuachia ngazi.
Huyu anawaangusha wanasheria wenzake.Bora na atakumbukwa daima!
Sio kina Sitta kazi kulalama tu badala ya kujiuzulu
Mkuu kwani Warioba ndiye anayetaka Serikali tatu au ni wananchi?
Wewe hujasikia tetesi nyingine wananchi wanataka kujiuzu?
Mkuu kwani Warioba ndiye anayetaka Serikali tatu au ni wananchi?