Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Aiseeeeee hii kitu hata mimi nimesikia watu wanaongea kwenye daladalaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tetesi kuwa kutokana na kushinikizwa na chama tawala kubadilisha mapendekezo ya rasimu ya katiba, Jaji Warioba yu mbioni kuachia ngazi.
Huyo mzee naye ameshanichosha tunashukuru kwa kazi waliyoifanya lakini juzi itendo cha kuzungumzia tume isivunjwe badala ya kwenda mbele zaidi kuzungumzia mapungufu mengine yaliopo kwenye sheria ya mabadiliko ya katiba alinishangaza sana.
kuna tetesi kuwa kutokana na kushinikizwa na chama tawala kubadilisha mapendekezo ya rasimu ya katiba, jaji warioba yu mbioni kuachia ngazi.
kuna tetesi kuwa kutokana na kushinikizwa na chama tawala kubadilisha mapendekezo ya rasimu ya katiba, jaji warioba yu mbioni kuachia ngazi.
haya majanga, hukumchagua wewe, humlipi wewe. Akuchoshe wewe?