Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali moja tu.Kwhy maoni yako ni serikali ngapi?
sisi wachache wenye akili zetu tulijua toka mwanzo kwamba CCM hawakuwa na nia ya dhati ya kutupatia katiba mpya;Kuna tetesi kuwa kutokana na kushinikizwa na chama tawala kubadilisha mapendekezo ya rasimu ya katiba, Jaji Warioba yu mbioni kuachia ngazi.
Swali zuri sana. Rasimu imetokana na maoni ya wananchi. Kama vipi tuanze na hili tuone wananchi wanaaamuaje?. Swali liwe hivi: Chagua jibu moja tu, unataka serikali (a) 1 (b) 2 (c) 3?
Serikali moja tu.
Serikali moja tu.
Kweli mkuu maana mzee huyu utamsikia jambo la kisheria ambalo hata asiyeelewa sheria anajua lipo vipi basi mzee huyu atalopoka kama katoka usingizini.Mwenye taaluma yoyote akikimbilia siasa basi ujuwe alishaanguka kitaaluma.
Kama atafanya hivyo atakumbukwa daima kuliko kuendelea kufanya mambo ambayo siyo maoni ya wananchi.
unaelewa maana ya tetesi??? au ndo muendelezo wa kuelekea kusiko julikana?????Umeongea naye lini na ulikutana naye lini.