Jaji Warioba kujiuzulu tume ya mabadilko ya katiba

Jaji Warioba kujiuzulu tume ya mabadilko ya katiba

Serikali 3 ndiyo jibu.Nchi moja inaweza kuwa na serikali 2. Nchi mbili zinaweza kuungana kuwa na seikali 1 ,3 ,4,5....... na kuendelea. Kama nchi mbili zimeungana na kubaki na seikali mbili? Ni kwa nini zimeungana in the first place? Kwa sababu hata kabla ya kuungana kwa ujumla nchi hizi mbili zilikuwa na seriali 2! Muungano wa nchi mbili au kumi unaweza kuleta serikali 1 au serikali 3 kwa nchi 2 na 11 kwa nchi 10
Formula ikiwa n+1, n ikiwa ni idadi ya nchi zinazo ungana na katika special conditions n inaweza kuwa 0 sifuri
Kiuzushi nchi 2 zinaungana n kuleta serikali mbili moja ya nchi mojawapo na nyingine ya muungano. Hii ni aina ya muungano wenye nia ya kugandamiza watu,kuleta mifarakano na kuzuia maendeleo ya wananchi wake walio wengi ili kujenga TABAKA LA VIONGOZI MASULTANI ZAMU
 
Hawezi kujiuzulu maana amekubali kucheza game hili na kuzungusha akili zetu wadanganyika!hii itapita tu itapoa itarudi tena kujadiliwa kwa serikali 2 sasa na CCM wataikubali!ni mchezo tu!
 
Warioba kwa 'busara zake' ndiye mwenye kutaka serikali tatu.Mwacheni huyu mzee aende zake.. Msimamo rasmi wa 'mzee' Nyerere baada ya dhahama ya G55 ilikuwa serikali mbili kuelekea serikali moja na hili halijawahi kubadilishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) hadi leo.Wakati wenzetu wanajitahidi kuwa wamoja sisi tunataka kujitenga..

Mkuu kama Warioba ndiye anayetaka Serikali tatu kuna haja gani Tume ya mabadiliko ya katiba kupita nchi nzima kuomba maoni ya wananchi?
 
Asijiudhulu kwa sababu ya mabaraza ya CCM. Achukue maoni sehemu nyingine na akomalie mapendekezo ya wengi.
 
kwa hili nyerere muhimu mengine no,imefikia mahali hata kumuita baba wa taifa hamtaki lkn kwenye mambo ya maslahi kwenu mnamtumia kuficha maovu,
Unafahamu maana hasa ya serikali tatu? Ni nini inataka kutatua? Ni lazima kubeba gharama zote hizo za kuendesha serikali tatu? Hakuna njia nyingine 'muafaka kwa wote' ya utatuzi isipokuwa serikali tatu?
 
Mkuu kama Warioba ndiye anayetaka Serikali tatu kuna haja gani Tume ya mabadiliko ya katiba kupita nchi nzima kuomba maoni ya wananchi?
Maoni ya 'wananchi' yalikuwa serikali tatu? Kwa hiyo 'wananchi' wanauelewa mkubwa sana wa mifumo ya utawala duniani? 'Let us wake up..'
 
bora ajiuzulu kuliko kufanya fyongo. watakao kuja wataanzia alipo ishia. mia
 
Bora ajiuzulu kulinda nafasi yake asije kufananishwa na kina Kipenka na Nyalali.
 
Mi napenda iwe kweli na isiishie kwenye tetesi tu kama ilivyokuwa ya Magufuli... CCM imekuwa ikifanya mambo ya aina hii kwa watu wengi tu, sema hao watu huwa si wakweli kwa wanayoyapitia

Sijakusoma! unapenda iwe kweli serikali tatu au iwe kweli Warioba ajiuzuru Tume ya Mabadiliko ya Katiba?
 
Back
Top Bottom