Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Ndio maana tunahitaji Katiba ili uhuni kama huo ukomeshwe.
Wengi wao wanatafuta cha kulamu baada ya kushindwa. Baadhi ya form zilizoenguliwa ziliwekwa hapa JF na walalamikaji, na kweli zilikuwa na makosa, ila wao walisema kuwa makosa hayo yalikuwa madogo. Normally ukishafanya kosa, lazima hukumu ifuatie. Usipokubaliana nayo, unakata rufaa. Wengi wao walikata rufaa na kuhurumiwa, lakini siyo kuwa walikuwa wameonewa bali ni kweli kulikuwa na makosa katika kujaza fomu zao. Mmoja aliandika kuwa chama chake ni ACT, lakini kisheria hakuna chama kinaitwa ACT bali kuna ACT-Wazalendo. Ni kosa dogo, lakini ni kosa.
 
Kwanini hawakuenda mahakamani?

Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
Hakimu simba yule wa kisutu ungeweza kusikiliza na kutoa maamuzi gani ya haki kuhusu uchaguzi zidi ya mpinzani? Jaji tiganga angeweza kutoa haki ipi zidi ya mpinzani?
Nani alimuua Akwilin na kwann? Hukumu ilikuaje?
Acha kujitoa AKILI kama changudoa wewe! Ivi unafikiri wewe una akili nyingi kuliko warioba?
 
Yaani nikikumbuka uchaguzi wa 2020 ..nafikiri kwa Africa nzima Tanzania ni kiboko..
Kuna jamaa alikuwa anarudisha fomu za udiwani.. njiani akadakwa na watu waliojitambulisha Askari.. akapelekwa Polisi akakuta malalamiko ya mtu asiyemfahamu kwamba anatembea na Mwanafunzi..
Mgombea Udiwani alikaa mahabusu siku 3 ..alipotoka anakutana na shangwe kubwa sana.. CCM wamepita udiwani bila shida..
Kesi ilifutwa alipotoka mahabusu..
Uchaguzi wa Tanzania.. Mgombea hasa wa upinzani sio kujaza fomu tuu..
  • Kuna kutekwa ukirudisha fomu
  • Kuna kukamatwa na Polisi au Takukuru unakaa mahabusu mpaka muda upite ukose sifa
  • Mkurugenzi kukimbia ofisi au anapokea fomu za CCM nyumbani kwake.. Utakaa unamsubiri..
  • Kura zikihesabiwa kule ndani ni full watu wa usalama.. Ole wako wewe wakala ujidai sijui nimeongoza kura.. Unaweza ukapotezwa..
 
Yaani nikikumbuka uchaguzi wa 2020 ..nafikiri kwa Africa nzima Tanzania ni kiboko..
Kuna jamaa alikuwa anarudisha fomu za udiwani.. njiani akadakwa na watu waliojitambulisha Askari.. akapelekwa Polisi akakuta malalamiko ya mtu asiyemfahamu kwamba anatembea na Mwanafunzi..
Mgombea Udiwani alikaa mahabusu siku 3 ..alipotoka anakutana na shangwe kubwa sana.. CCM wamepita udiwani bila shida..
Kesi ilifutwa alipotoka mahabusu..
Uchaguzi wa Tanzania.. Mgombea hasa wa upinzani sio kujaza fomu tuu..
  • Kuna kutekwa ukirudisha fomu
  • Kuna kukamatwa na Polisi au Takukuru unakaa mahabusu mpaka muda upite ukose sifa
  • Mkurugenzi kukimbia ofisi au anapokea fomu za CCM nyumbani kwake.. Utakaa unamsubiri..
  • Kura zikihesabiwa kule ndani ni full watu wa usalama.. Ole wako wewe wakala ujidai sijui nimeongoza kura.. Unaweza ukapotezwa..
 
Yaani nikikumbuka uchaguzi wa 2020 ..nafikiri kwa Africa nzima Tanzania ni kiboko..
Kuna jamaa alikuwa anarudisha fomu za udiwani.. njiani akadakwa na watu waliojitambulisha Askari.. akapelekwa Polisi akakuta malalamiko ya mtu asiyemfahamu kwamba anatembea na Mwanafunzi..
Mgombea Udiwani alikaa mahabusu siku 3 ..alipotoka anakutana na shangwe kubwa sana.. CCM wamepita udiwani bila shida..
Kesi ilifutwa alipotoka mahabusu..
Uchaguzi wa Tanzania.. Mgombea hasa wa upinzani sio kujaza fomu tuu..
  • Kuna kutekwa ukirudisha fomu
  • Kuna kukamatwa na Polisi au Takukuru unakaa mahabusu mpaka muda upite ukose sifa
  • Mkurugenzi kukimbia ofisi au anapokea fomu za CCM nyumbani kwake.. Utakaa unamsubiri..
  • Kura zikihesabiwa kule ndani ni full watu wa usalama.. Ole wako wewe wakala ujidai sijui nimeongoza kura.. Unaweza ukapotezwa..
Hiyo ilikuwa balaa hahaha! Ndiyo maana Mnyika huwa anauita ule uchaguzi ni UCHAFUZI
 
Jaji Warioba akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma, amenena haya

Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna

Msitazame Wajumbe wa Tume pekee, angalieni Mfumo mzima wa Uchaguzi. Wizi wa kura unaanzia mbali. Unaanzia kwenye Kuandikisha wapiga kura, wakati wa kupiga kura na kutangaza matokeo

Siasa inataka kuingia kwenye dini, zamani viongozi tulikuwa tunakwenda kwenye vyumba vya ibada kama waumini, unasikiliza neno la Mungu. Siku hizi viongozi wakienda wanaombwa kutoa salamu za kisiasa, hii inaweza iingiza siasa katika dini tukapata matatizo

Vyama vingi vimekuwa kama makabila, vinaanza kugawa wananchi. Wananchi walikuwa kama jumuiya lakini siku hizi mambo mengi ya kijamii tunaingiza siasa, mfano msiba ni wa jamii lakini baadhi ya misiba unakuta sare za vyama,"

Katika vyama jumuiya zetu nazo zinakuwa kama za uhasama, badala ya kutuleta pamoja. Hali tuliyo nayo sasa utamaduni umetikiswa kidogo na tunapozungumzia maridhiano, nia yake kuturudisha kwenye utamaduni tuliokuwa nao

Viongozi wa kisiasa wangehubiri amani kama walivyofanya viongozi wa dini miaka michache iliyopita, nchi isingekuwa na malalamiko yanayolalamikiwa hivi sasa “kama wangetenda kama viongozi wa dini, nadhani matatizo haya tunayozungumza tusingekuwa nayo.

Siasa inataka kuingia kwenye dini, zamani viongozi tulikuwa tunakwenda kwenye vyumba vya ibada kama waumini, unasikiliza neno la Mungu. Siku hizi viongozi wakienda wanaombwa kutoa salamu za kisiasa, hii inaweza iingiza siasa katika dini tukapata matatizo[emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Mzee Warioba anazungumza kama Mzee na ni kweli

Ujinga wa viongozi wa dini kukaribishwa kwa salamu umepandwa na kupaliliwa na John P. Magufuli
Tabia ya kuita viongozi wa dini Ikulu imetengenezwa na JPM.

Hivi kuna ulazima gani wa viongozi hao kwenda Ikulu! na imekuwa utamaduni sasa

Marais waliopita walijitahidi sana kuepuka hilo, siku hizi hata kuapishwa kwa katibu mkuu lazima wawepo viongozi. Viongozi wa dini ofisi zao zipo makanisani, misikitini, masinagogi na hekaluni
Tuwaache viongozi wa dini na taasisi zao! Ikulu ni eneo la serikali

Shughuli za kawaida za Ikulu serikali yote inahamia hapo kuanzia Mahakama, Jeshi , Uhamiaji, Polisi n.k. Haya mambo hayana mantiki kabisa .

Tunahitaji viongozi wafanye kazi si kwenda kushuhudia Balozi Slow anaapishwa! ni upotezaji wa muda usio na ulazima


JokaKuu Pascal Mayalla
Naunga mkono hoja
P
 
Mtu muovu sana alipita nchi hii.. Anthony Diallo alisema miaka 5 iliyopita ni doa jeusi katika history ya nchi yetu
Ni kweli na kwa kuwa ni kawaida kwa mtu mwenye reasoning capacity kubwa kama ya hayati JPM kuonekana kama adui sehemu yeyote ile kwenye jamii iwe ofisini au mtaani na kuitwa kiherehere ama mjuaji!

JPM alimzidi akili mno ana haki ya kuongea utumbo. Sababu wote waliotegemea kula kwa mgongo wa chama walilambishwa moto basi mimba za chuki zilitamalaki hatushangai.

Waendelee kumshangilia bibi tozo sasa maana ndiye katanguliza maslahi ya wana CCM mbele kama walivyozoea wao na si maslahi ya taifa.
 
Ni kweli na kwa kuwa ni kawaida kwa mtu mwenye reasoning capacity kubwa kama ya hayati JPM kuonekana kama adui sehemu yeyote ile kwenye jamii iwe ofisini au mtaani na kuitwa kiherehere ama mjuaji!

JPM alimzidi akili mno ana haki ya kuongea utumbo. Sababu wote waliotegemea kula kwa mgongo wa chama walilambishwa moto basi mimba za chuki zilitamalaki hatushangai.

Waendelee kumshangilia bibi tozo sasa maana ndiye katanguliza maslahi ya wana CCM mbele kama walivyozoea wao na si maslahi ya taifa.
Hahaha, hizi stories zinamfaa Tajiri Bashite, mtu aliyetajirika kwa miaka 3 tu ya ukuu wa mkoa, na watu wengine wachache waliochaguliwa na mtu mwenye reasoning capacity kubwa kutafuna wapendavyo, na kutesa wale asiowapenda/waliompinga
 
Hahaha, hizi stories zinamfaa Tajiri Bashite, mtu aliyetajirika kwa miaka 3 tu ya ukuu wa mkoa, na watu wengine wachache waliochaguliwa na mtu mwenye reasoning capacity kubwa kutafuna wapendavyo, na kutesa wale asiowapenda/waliompinga
Sasa kwani hao vibaraka wa Jakaya wao hawakutajirika mkuu? Nani ambaye anatumia mgongo wa CCM kwenye mambo yake hatajiriki? Huo ni wivu wa kike mkuu sababu hata wewe ukipewa nafasi leo hutazubaa ili ufe maskini.

February Marope hana hata miezi 6 ofisini ila jiulize amesaini deal ngapi za mabilioni? Ana michongo mpaka ya matrillion kasainisha. Unajua share yake ni ngapi kwenye kufanikisha hizo deals? Unatarajia akitolewa hata leo ataenda kuishi maisha ya majungu ya kigogo2014 yale?
 
Sasa kwani hao vibaraka wa Jakaya wao hawakutajirika mkuu? Nani ambaye anatumia mgongo wa CCM kwenye mambo yake hatajiriki? Huo ni wivu wa kike mkuu sababu hata wewe ukipewa nafasi leo hutazubaa ili ufe maskini.

February Marope hana hata miezi 6 ofisini ila jiulize amesaini deal ngapi za mabilioni? Ana michongo mpaka ya matrillion kasainisha. Unajua share yake ni ngapi kwenye kufanikisha hizo deals? Unatarajia akitolewa hata leo ataenda kuishi maisha ya majungu ya kigogo2014 yale?
Una ushahidi wa hayo uliyoandika kuhusu Marope? Ni vizuri kuandika na kuambatanisha ushahidi!! Hao wengine wanaonekana wazi!! Bashite wa 2016 siyo wa leo!! Mnyeti wa 2016 siyo wa leo, eti ndani ya miaka 5 tu mnyeti kawa tajiri hadi kuweza kumiliki timu ya mpira!

Nikipewa nafasi nitakuwa kama wakuu wa mikoa wengine ambao wamekuwa kwenye hicho cheo zaidi ya miaka 10 na hali zao tunaziona wote mtaani, ni za kawaida! Leo hii Bashite anamzidi utajiri hata mtu kama Lukuvi ambaye amekaa kwenye hivyo vyeo miaka na miaka, and wewe unaona sawa tu.

Jamaa yako alikuwa na upendeleo na ukabila uliovuka mipaka, na unafiki ndani yake! mtu anavamia kituo cha redio huru na masilaha usiku usiku, kisa hawajarusha yale anayoyapenda, halafu Rais kesho yake anamsifu ni mchapa kazi na kumtumbua waziri ambaye alilikomalia hilo swala, then wewe unasifia ishu kama hiyo na kucompare na akina marope???!!! Aisee una mahaba Chief
 
Una ushahidi wa hayo uliyoandika kuhusu Marope? Ni vizuri kuandika na kuambatanisha ushahidi!! Hao wengine wanaonekana wazi!! Bashite wa 2016 siyo wa leo!! Mnyeti wa 2016 siyo wa leo, eti ndani ya miaka 5 tu mnyeti kawa tajiri hadi kuweza kumiliki timu ya mpira!

Nikipewa nafasi nitakuwa kama wakuu wa mikoa wengine ambao wamekuwa kwenye hicho cheo zaidi ya miaka 10 na hali zao tunaziona wote mtaani, ni za kawaida! Leo hii Bashite anamzidi utajiri hata mtu kama Lukuvi ambaye amekaa kwenye hivyo vyeo miaka na miaka, and wewe unaona sawa tu.

Jamaa yako alikuwa na upendeleo na ukabila uliovuka mipaka, na unafiki ndani yake! mtu anavamia kituo cha redio huru na masilaha usiku usiku, kisa hawajarusha yale anayoyapenda, halafu Rais kesho yake anamsifu ni mchapa kazi na kumtumbua waziri ambaye alilikomalia hilo swala, then wewe unasifia ishu kama hiyo na kucompare na akina marope???!!! Aisee una mahaba Chief
Wewe nikikuita mpumbavu inabidi ule kobisi tu sababu unaliishi hilo neno.

Unaombaje ushahidi kwa mambo yalioko dhahiri au unataka mpaka uone dogo anajipigia kampeni kwa hela zake mnamo 2030? Unayajua maisha yake binafsi kwa sasa?
 
Jaji Warioba akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma, amenena haya

Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna

Msitazame Wajumbe wa Tume pekee, angalieni Mfumo mzima wa Uchaguzi. Wizi wa kura unaanzia mbali. Unaanzia kwenye Kuandikisha wapiga kura, wakati wa kupiga kura na kutangaza matokeo

Siasa inataka kuingia kwenye dini, zamani viongozi tulikuwa tunakwenda kwenye vyumba vya ibada kama waumini, unasikiliza neno la Mungu. Siku hizi viongozi wakienda wanaombwa kutoa salamu za kisiasa, hii inaweza iingiza siasa katika dini tukapata matatizo

Vyama vingi vimekuwa kama makabila, vinaanza kugawa wananchi. Wananchi walikuwa kama jumuiya lakini siku hizi mambo mengi ya kijamii tunaingiza siasa, mfano msiba ni wa jamii lakini baadhi ya misiba unakuta sare za vyama,"

Katika vyama jumuiya zetu nazo zinakuwa kama za uhasama, badala ya kutuleta pamoja. Hali tuliyo nayo sasa utamaduni umetikiswa kidogo na tunapozungumzia maridhiano, nia yake kuturudisha kwenye utamaduni tuliokuwa nao

Viongozi wa kisiasa wangehubiri amani kama walivyofanya viongozi wa dini miaka michache iliyopita, nchi isingekuwa na malalamiko yanayolalamikiwa hivi sasa “kama wangetenda kama viongozi wa dini, nadhani matatizo haya tunayozungumza tusingekuwa nayo.

Zile fomu zilitaka zijazwe kwa usahihi na sio vinginevyona ndio maana wengi mliangukia pua na uzuri vithibitisho vilikuwepo kila aoiyeenguliwa fomu yake ilionyeshwa alipokosea sasa ataanzaje kupinga?

Shukrani kwa vijana wa vyuo vingi hapa Tanzania, ambao walojitolea kwenda kuwasaidia wagombea wa Chama tawala namna ya kujaza fomu kwa usahihi mwaka 2019 na 2020. Siasa inataka kujitoa na akili ukipaparuka lazima ule za kichwa
 
Kabisa sasa, ni wakati sasa kama nchi kuungana na kuirudisha sehemu nzuri democracy yetu! Si kwamba ilikuwa nzuri sana before 2015, but tulikuwa tunaelekea pazuri!! Wapinzani kupata 40% kura za urais ile 2015 ilikuwa ni muelekeo chanya, jamaa likaja likatibua!
Tunahitaji Katiba Mpya itakayo weka utaratibu wa kupata Tume Huru ya Uchaguzi.
 
Hahahaha, watu wake wanataka atajwe kwa mazuri tu, as if alikuwa Mungu, kwamba hakosei
Ipo wazi kwamba kila binaadamu ana mabaya yake na mazuri yake, sasa likitokea kundi linamfanya binaadamu mwenzao kuwa hana mazuri ana mabaya tu na kundi lengine linamfanya binaadamu mwenzao hana mabaya ana mema tu basi hapo linapokuja tatizo.
 
Wewe nikikuita mpumbavu inabidi ule kobisi tu sababu unaliishi hilo neno.

Unaombaje ushahidi kwa mambo yalioko dhahiri au unataka mpaka uone dogo anajipigia kampeni kwa hela zake mnamo 2030? Unayajua maisha yake binafsi kwa sasa?
Hahahaha! Unashangaza sana Chief! So wewe unajua maisha binafsi ya Makamba kwa sasa!! Hivi utamfananisha Makamba na huyo Mwizi wako Bashite? Makamba kaanza kufanya kazi Ikulu na Mkapa awamu ya 3, wakati huo wewe ulikuwa Namtumbo huko, leo hii utasema maisha yake yamebadilika kisa uwaziri?? Acha ushamba bwa mdogo
 
Hahahaha! Unashangaza sana Chief! So wewe unajua maisha binafsi ya Makamba kwa sasa!! Hivi utamfananisha Makamba na huyo Mwizi wako Bashite? Makamba kaanza kufanya kazi Ikulu na Mkapa awamu ya 3, wakati huo wewe ulikuwa Namtumbo huko, leo hii utasema maisha yake yamebadilika kisa uwaziri?? Acha ushamba bwa mdogo
February kazaliwa kwenye utawala na baba yake kapitia ukuu wa mkoa mzee staki zungumzia dili chafu alizokuwa akipiga ndani ya dsm katika zama zake. Huwezi kumtenganisha February na ufisadi kama unabisha we kunya boga mzee. Ushahidi ukiutaka nenda mahakamani mie sipaswi kukupa ushahidi wowote ikiwa una akili timamu otherwise uwe mpumbavu labda
 
Makamba kazaliwa na baba yake kapitia ukuu wa mkoa mzee. Hilo sikatai ila huwezi kumtenganisha Makamba na ufisadi kama unabisha we kunya boga mzee. Ushahidi ukiutaka nenda mahakamani mie sipaswi kukupa ushahidi wowote ikiwa una akili timamu otherwise uwe mpumbavu labda
Huna ushahidi, mropokaji tu, usichafue watu sababu tu huwapendi, mtu MWENYE AKILI huwa anaambatanisha USHAHIDI na TUHUMA, Bila kufanya hivyo unaonekana Tahira tu na mropokaji hovyo, mpiga zoga kwenye vibanda vya magazeti na kahawa! Weka ushahidi, acha kutapatapa
 
Back
Top Bottom