Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ndio maana tunahitaji Katiba ili uhuni kama huo ukomeshwe.
Wengi wao wanatafuta cha kulamu baada ya kushindwa. Baadhi ya form zilizoenguliwa ziliwekwa hapa JF na walalamikaji, na kweli zilikuwa na makosa, ila wao walisema kuwa makosa hayo yalikuwa madogo. Normally ukishafanya kosa, lazima hukumu ifuatie. Usipokubaliana nayo, unakata rufaa. Wengi wao walikata rufaa na kuhurumiwa, lakini siyo kuwa walikuwa wameonewa bali ni kweli kulikuwa na makosa katika kujaza fomu zao. Mmoja aliandika kuwa chama chake ni ACT, lakini kisheria hakuna chama kinaitwa ACT bali kuna ACT-Wazalendo. Ni kosa dogo, lakini ni kosa.