Jaji Warioba na Tundu Lissu wanazungumza lugha moja kuhusu Muungano na Katiba. Kwanini tumshambulie Lissu na kumwacha Warioba?

Jaji Warioba na Tundu Lissu wanazungumza lugha moja kuhusu Muungano na Katiba. Kwanini tumshambulie Lissu na kumwacha Warioba?

Tunaposema tuunde mfumo wa serikali 3 ni hoja nzuri sana, nina maswali hapa:

Litakuwa jukumu la nani kuendesha gharama za serikali ya tatu ya Muungano?

Je, serikali ya Z'bar wataweza kusimama wenyewe?

Au zigo lote litaiangukia serikali ya Tanganyika?

..Serikali ya muungano itakuwa na vyanzo vyake vya mapato.

..Serikali za Tanganyika na Zanzibar zitakuwa na vyanzo tofauti vya mapato.

..Nchi kama USA ambayo ni mikusanyiko wa serikali nyingi za majimbo serikali kuu ina vyanzo vyake, na majimbo yana vyanzo tofauti. Kunapotokea maafa makubwa serikali kuu inaweza kuingilia na kusaidia serikali ya jimbo. Utaratibu huo unaweza kutumika kwa Zanzibar, na Tanganyika.
 
muarbaini wa huu muungano ni kuvunjika tu, hizo serikali tatu sijui haziwezi kumaliza matatizo.
 
Serikali ya Muungano itakuww na vyanzo gani?

..hakuna serikali duniani isiyokuwa na vyanzo vya mapato.

..sehemu ya kodi itakuwa inakwenda kwenye serikali ya muungano, na nyingine inabaki kwa serikali washirika.

..mfano mwingine ni kama tukiamua bandari ziwe za muungano, basi makusanyo yote bandarini yatakuwa mapato ya muungano.

NB:

..kwani sasa hivi serikali ya muungano, na ya Zanzibar, zinatoa wapi mapato yake?
 
..hakuna serikali duniani isiyokuwa na vyanzo vya mapato.

..sehemu ya kodi itakuwa inakwenda kwenye serikali ya muungano, na nyingine inabaki kwa serikali washirika.

..mfano mwingine ni kama tukiamua bandari ziwe za muungano, basi makusanyo yote bandarini yatakuwa mapato ya muungano.

NB:

..kwani sasa hivi serikali ya muungano, na ya Zanzibar, zinatoa wapi mapato yake?
Serikali ya Mapinduzi ya Z'bar wana budget yao

Lakini kwenye hiyo budget kuna Z'bar's General Budget Support (GBS) kutoka serikali ya muungano au mfuko wa muungano (The United Republic of Tanzania)

Ina maana tukiwa na serikali tatu Z'bar hawatafaidika tena na huo mpango wa GBS. Itabidi wasimame wao kama wao.

Na kama haitoshi itabidi pia wachangie kwa kushirikiana na serikali ya Tanganyika kufanikisha uendeshaji wa serikali ya muungano

Unaona mambo yanavyokuwa magumu kwa Z'bar
 
Serikali ya Mapinduzi ya Z'bar wana budget yao

Lakini kwenye hiyo budget kuna Z'bar's General Budget Support (GBS) kutoka serikali ya muungano au mfuko wa muungano (The United Republic of Tanzania)

Ina maana tukiwa na serikali tatu Z'bar hawatafaidika tena na huo mpango wa GBS. Itabidi wasimame wao kama wao.

Na kama haitoshi itabidi pia wachangie kwa kushirikiana na serikali ya Tanganyika kufanikisha uendeshaji wa serikali ya muungano

Unaona mambo yanavyokuwa magumu kwa Z'bar

..kutakuwa na GBS kwa Tanganyika na kwa Zanzibar.

..serikali 3 zitaweka mambo yote ktk uwazi na kuzingatia taratibu.

..kitakachobadilika kwa kiwango kikubwa ni huku Tanganyika ambako itabidi tuvue koti la muungano.
 
..kutakuwa na GBS kwa Tanganyika na kwa Zanzibar.

..serikali 3 zitaweka mambo yote ktk uwazi na kuzingatia taratibu.

..kitakachobadilika kwa kiwango kikubwa ni huku Tanganyika ambako itabidi tuvue koti la muungano.
Kutakuwaje na GBS kwa Z'bar na Tanganyika wakati tayari ni serikali 2 tofauti?
 
Kutakuwaje na GBS kwa Z'bar na Tanganyika wakati tayari ni serikali 2 tofauti?

..serikali za Tanganyika na Zanzibar zitapokea msaada wa kibajeti toka serikali ya muungano ikiwa zitahitaji msaaada huo.

..kwasababu Tanganyika imevaa koti la muungano hatuwezi kujua inapokea nini, au inatoa nini kwa serikali ya muungano.
 
..serikali za Tanganyika na Zanzibar zitapokea msaada wa kibajeti toka serikali ya muungano ikiwa zitahitaji msaaada huo.

..kwasababu Tanganyika imevaa koti la muungano hatuwezi kujua inapokea nini, au inatoa nini kwa serikali ya muungano.
Kwa hiyo serikali ya Muungano itakuwa na nguvu za kiuchumi kuliko za Tanganyika na Z'bar?
 
Kwa hiyo serikali ya Muungano itakuwa na nguvu za kiuchumi kuliko za Tanganyika na Z'bar?

..itategemea vyanzo vya mapato vya serikali kuu.

..kutakuwa na kutegemeana kati ya serikali kuu na serikali washirika.

..zaidi kutakuwa na uwazi, na uwajibikaji, ktk uendeshaji wa muungano wetu.
 
..itategemea vyanzo vya mapato vya serikali kuu.

..kutakuwa na kutegemeana kati ya serikali kuu na serikali washirika.

..zaidi kutakuwa na uwazi, na uwajibikaji, ktk uendeshaji wa muungano wetu.
Serikali kuu itakuwa ipi?

Sasa hivi tu uwazi na uwajibikaji ni changamoto
 
Serikali kuu itakuwa na muundo gani?

..nadhani mahala pazuri pa kuanzia ni kwenye makubaliano original ya muungano.

..yaliyotajwa humo ndiyo yataelekeza serikali ya muungano itakuwa na muundo gani, na majukumu yake yatakuwa ni yapi.
 
..nadhani mahala pazuri pa kuanzia ni kwenye makubaliano original ya muungano.

..yaliyotajwa humo ndiyo yataelekeza serikali ya muungano itakuwa na muundo gani, na majukumu yake yatakuwa ni yapi.
Hilo suala ni changamoto sana msilichukulie kirahisi hivyo
 
Back
Top Bottom