Jakaya Kikwete huwa unaupeleka wapi umeme wa Tanzania?

Jakaya Kikwete huwa unaupeleka wapi umeme wa Tanzania?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Neno "Megawatt" lilikuwa halijulikani kwa ngwini wengi mpaka Kikwete alipokuwa madarakani kama Rais.

Kipindi cha JK ndiyo tukajua kumbe TANESCO ni shirika linalotegemea makampuni mengine kutupatia umeme. Ndiyo tukajua kumbe bila Dowans, Symbion, IPTL, Richmond hakuna umeme Tanzania.

Magufuli akatuprove wrong. Sasa nasikia Kikwete una ushawishi na Serikali hii, wengine wakisema wewe ndiyo Rais na Mama ni Malkia. Umeme umepotea tena.

Unaupeleka wapi umeme wa Tanzania?
 
Kipindi cha Mkwere 2005 mpaka 2015 kulikuwa na ukame,schedule maintenance na maboresho ya vutuo chakavu vilikuwa vikifanyika mara kwa mara na ndio maana kulikuwa na mgao wa mpaka masaa 12.

Ila 2015-2020 kulikuwa hamna ukame na mvua zilikuwa zina muogopa Mwendanzake kwani alikuwa anazinyima uhuru wa kunyesha.
 
Kipindi cha Mkwere 2005 mpaka 2015 kulikuwa na ukame,schedule maintenance na maboresho ya vutuo chakavu vilikuwa vikifanyika mara kwa mara na ndio maana kulikuwa na mgao wa mpaka masaa 12.

Ila 2015-2020 kulikuwa hamna ukame na mvua zilikuwa zina muogopa Mwenzake kwani alikuwa anazinyima uhuru wa kunyesha.
Na ile gesi aliyoivuna Jk kule kwetu mtwara iko wapi
 
Kipindi cha Mkwere 2005 mpaka 2015 kulikuwa na ukame,schedule maintenance na maboresho ya vutuo chakavu vilikuwa vikifanyika mara kwa mara na ndio maana kulikuwa na mgao wa mpaka masaa 12.

Ila 2015-2020 kulikuwa hamna ukame na mvua zilikuwa zina muogopa Mwenzake kwani alikuwa anazinyima uhuru wa kunyesha.
Bora hayo maboresho yasifanyike tu kama awamu ya tano ili kusiwe na umeme wa mgao, maana hayo maboresho yamefanyika sana awamu ya nne na kikubwa tulichokipata ni mgao wa umeme tu sijui kilichoboresheka ni nini.
 
Back
Top Bottom