Jakaya Kikwete: Mkapa hakupenda sifa (populism)

Jakaya Kikwete: Mkapa hakupenda sifa (populism)

Mkuu yote uliyoyaongea yapo kwenye sheria. Sheria inaongelea utimamu wa akili wa anayefaa kuwa raisi na hairuhu kukojoa sehemu isiyo choo, akikojoa tu huyo keshavunja sheria. Kumpa mjomba ardhi ni wizi wa Mali ya uma, wizi ni kinyume cha sheria.
Unaelewa kwamba rais kama muhifadhi wa mwisho wa ardhi ya nchi hawezi kuiba mali ambayo kapewa yeye kuwa muhifadhi wa mwisho?

Unakubalinkwamba si kika kibaya kisichokubalika kipo katika katiba na sheria, na ndiyo maana tuna Bunge linatunga sheria mpya kila mwaka?

Unaelewa kwamba tungeweza kusema "hizi hapa sheria zote tunazozihitaji, hakuna nyingine zaidi", kungekuwa hakuna haja ya kuwa na Bunge?
 
Kapitie kwanza Political Contract ndio urudi kwenye Social Contract..kinyume na hapo utajichanganya ndugu.
Hujajibu nilichokuuliza na ulichojibu sijakuuliza.

Sheria imemaliza mabaya yote yanayoweza kufanywa na viongozi?
 
Unaelewa kwamba rais kama muhifadhi wa mwisho wa ardhi ya nchi hawezi kuiba mali ambayo kapewa yeye kuwa muhifadhi wa mwisho?

Unakubalinkwamba si kika kibaya kisichokubalika kipo katika katiba na sheria, na ndiyo maana tuna Bunge linatunga sheria mpya kila mwaka?

Unaelewa kwamba tungeweza kusema "hizi hapa sheria zote tunazozihitaji, hakuna nyingine zaidi", kungekuwa hakuna haja ya kuwa na Bunge?
Sidhani kama umenielewa. Nimeongelea uwepo wa uliyoyasema kwenye sheria zetu. Sheria za afya zinakataza MTU kukojoa hovyo, raisi ni msimamizi wa ardhi, akimpa mjomba sheria IPO ya kumwadhibu.
 
Sidhani kama umenielewa. Nimeongelea uwepo wa uliyoyasema kwenye sheria zetu. Sheria za afya zinakataza MTU kukojoa hovyo, raisi ni msimamizi wa ardhi, akimpa mjomba sheria IPO ya kumwadhibu.
Let me grant you that for the sake of argument.

Kwa hiyo sheria imemaliza mabaya yote yanayoweza kufanywa na viongozi/ watu?

Unaelewa kwamba kuna majambazi yanatumia sheria kufanya ujambazi wao?
 
Kila mtu ana namna yake ya kutenda kazi! Unaweza ukawa unapiga mayowe lakini unapiga kazi kisawasawa.
 
Let me grant you that for the sake of argument.

Kwa hiyo sheria imemaliza mabaya yote yanayoweza kufanywa na viongozi/ watu?

Unaelewa kwamba kuna majambazi yanatumia sheria kufanya ujambazi wao?
Ndo maana nakuambia hujanielewa. Mm sijakupinga kuhusu ukamilifu wa sheria, nimezungumzia mifano ya kikojozi na wizi kuwa yapo ndani ya sheria.
 
Ndo maana nakuambia hujanielewa. Mm sijakupinga kuhusu ukamilifu wa sheria, nimezungumzia mifano ya kikojozi na wizi kuwa yapo ndani ya sheria.
That is not the larger point I am making. Although we can debate that too. Ndiyo maana nikasema let me grant you kwamba hiyo mifano ni mibovu haifai, for the sake of furthering the argument.

Je, kila baya limekuwa covered na sheria? Obviously not.

Kwa hiyo kuna mabaya ambayo hayako covered na sheria.

Na ndiyo maana tuna Bunge linatunga sheria mpya.

Kwa hiyo, dhana nzima ya kuuliza "kwani rais kavunja sheria gani?" As if kila baya liko covered na sheria, ina makosa.

Kwa sababu si lazima mtu avunje sheria ili afanye kitu kibaya.

Kuna leadership ethics, kuna utamaduni, kuna basic humanity etc. Mambo mengi tu ambayo hayapo kwenye sheria lakini ni mabaya.
 
Ila huyu wa sasa ni kiboko.. soon atalazikisha kuitwa mtukufu.
Mmmmmh mbna tangu mda anaabudiwa? Hujui kuwa n yesu na n kiongozi wa malaika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hujajibu nilichokuuliza na ulichojibu sijakuuliza.

Sheria imemaliza mabaya yote yanayoweza kufanywa na viongozi?
Unajua unachofanya ni kukuza story. Tunachokijadili ni sifa. Hoja ndogo sana.

Ila naona umeingiza hadi masuala nyeti ya ardhi vitu ambavyo viko wazi. Na nilikuonya toka mwanzo kuwa huwezi fananisha suala la kupenda au kutopebda sifa na kujinyea au kujikojolea. Sasa naona unatoka kwenye mada.

Kama vipi anzisha thread nyingine tunayajadili hayo mengineyo ikiwemo sheria,kanuni, katiba na norms katika utawala.
 
Kwa mujibu wa hii speech (eulology) aliyoitoa JK kwenye msiba wa BWM, imetusaidia kujua Mkapa alikuwa ni mtu wa namna gani. Licha ya kufanya mambo makubwa katika nchi lakini hakutumia kabisa vyombo vya habari vya Taifa kujipigia mapromo kama tunavyoona kwenye utawala wa sasa.

Ifahamike Mkapa ndiye rais wa kwanza aliyekataa title ya "Mtukufu"

Na ni rais wa kwanza wa nchi yetu aliyekataa picha yake kukaa kwenye fedha

Huyo ndiye rais aliyekuwa hapigi mayowe, bali aliacha watu waone wenyewe.

Na kweli mwanaume yule alipiga kazi ya maana kwa nchi.

Namkumbusha rais wa sasa na wapambe wao, chema chajiuza kibaya chajitembeza, acheni kupiga mayowe, tuacheni tuone wenyewe.

"Na hiyo ndo tatizo la kustukizwa"

Popularise so anafanyiwa na wanaotaka kutangaza ayafanyayo, kwani anajipiga 🤳 selfie!? Mambo aliyoyafanya kwa muda mfupi ndio yanawakuna wenye kamera kumuandama na kutotaka kupitwa Jambo! Ww chuki zako utampata taabu Sana!
 
Unajua unachofanya ni kukuza story. Tunachokijadili ni sifa. Hoja ndogo sana.

Ila naona umeingiza hadi masuala nyeti ya ardhi vitu ambavyo viko wazi. Na nilikuonya toka mwanzo kuwa huwezi fananisha suala la kupenda au kutopebda sifa na kujinyea au kujikojolea. Sasa naona unatoka kwenye mada.

Kama vipi anzisha thread nyingine tunayajadili hayo mengineyo ikiwemo sheria,kanuni, katiba na norms katika utawala.
Huwezi kufuatilia hoja.

Kuna swali hapo juu, linahoji, kwani rais kavunja sheria gani?

Na mimi nalihoji hilo swali.

Kwani rais kufanya kitu kibaya ni lazima avunje sheria?
 
Huwezi kufuatilia hoja.

Kuna swali hapo juu, linahoji, kwani rais kavunja sheria gani?

Na mimi nalihoji hilo swali.

Kwani rais kufanya kitu kibaya ni lazima avunje sheria?
Mi bado nastick kwenye thread ya sifa. Hayo masuala mengine ya kitu kibaya au kizuri ni topic mpya. Yaani topic juu ya topic.
 
Mi bado nastick kwenye thread ya sifa. Hayo masuala mengine ya kitu kibaya au kizuri ni topic mpya. Yaani topic juu ya topic.
Sifa imefanyaje? Elezea kikamilifu bila kuacha vitu vikielea hewani.
 
Kwa mujibu wa hii speech (eulology) aliyoitoa JK kwenye msiba wa BWM, imetusaidia kujua Mkapa alikuwa ni mtu wa namna gani. Licha ya kufanya mambo makubwa katika nchi lakini hakutumia kabisa vyombo vya habari vya Taifa kujipigia mapromo kama tunavyoona kwenye utawala wa sasa.

Ifahamike Mkapa ndiye rais wa kwanza aliyekataa title ya "Mtukufu"

Na ni rais wa kwanza wa nchi yetu aliyekataa picha yake kukaa kwenye fedha

Huyo ndiye rais aliyekuwa hapigi mayowe, bali aliacha watu waone wenyewe.

Na kweli mwanaume yule alipiga kazi ya maana kwa nchi.

Namkumbusha rais wa sasa na wapambe wao, chema chajiuza kibaya chajitembeza, acheni kupiga mayowe, tuacheni tuone wenyewe.

"Na hiyo ndo tatizo la kustukizwa"

hii inasaidia nini kwenye ustawi wa nchi? hebu tuacheni kusifia vitu visivyokuwa na tija. mikataba yote mibovu ya madini kaingia yeye, ufisadi ulikuwa juu sana, radar, ubinafsishaji holela etc. hivi ndio vitu vya kuongea sio huo upuuzi sijui wa kutaka sifa kwenye media
 
Jamani Jk alijifananisha yeye na BWM si mtu mwingine kwani JK ni mr Misifa nani asiyemjua
Lakini populism tafsiri yake siyo ,,kupenda sifa“ angeweza kutumia tu neno sifa bila ya populism, ...
Sawa kabisa neno pupolism limetumika sio mahala pake hapo haina uhusiano na misifa. Lakini pia wale tuliosoma Management na leadership zamani miaka ya sabini sijui siku hizi kiongozi bora anatakiwa awe popular yaani (liked, enjoyed, supported by many people) kiongozi ambaye sio bora anapenda kuwa famous ( Known, recognized) etc najua yote inarandama na kujimwambafai tu mwacheni JPM afanye kazi vinginevyo tutahesabu kwamba mmejaa chuki, hofu na wivu wa kike. Hamuwezi kuhutubia bila mafumbo ya kumdhihaki JPM nyinyi mmefanya madudu mangapi mpaka leo gas haijulikani kama ipo Tanzania au hakuna tunasikia gas yote walipewa wachina kufidia gharama za unga sijui unga wa dona, sembe au mtama......
'Kila zama na kitabu chake'

Btw, haipendezi na wala sio afya kuwa na uongozi unaofanana muda wote.

Hata 'nature' hairuhusu.
 
Hu
Ndio maana nikakuambia mifano yako uliotoa ya kujikojolea haiendani kabisa na suala la sifa.

Labda tu nikuambie hakuna kiumbe asiyependa sifa. Hata mkapa alikuwa anapenda kusifiwa. Mwenyezi Mungu mwenyewe anapenda sifa ndio maana kuna watu kama kina Daud walikuwa wafalme sababu tu walitumia muda mwingi kumsifu Mungu.

Ndio maana nikauliza kwa muktadha wa kwamba kuna shida yoyote. Kisheria, kikatiba au kijamii.?

Maana kisiasa ile ni mileage. Ndio maana akisimama anatoa takwimu alipotokea na alipo kimaendeleo. Sasa hapo inabaki kwenu nyie.
huyo ndugu aliyesema populism alikuwa anataka kurudia kujimwambafai hakuna tatizo kiongozi kuwa popular ila hatakiwi kuwa famous kajifunzeni leadership pamoja na leadership styles na muache wivu wakike kwa JPM fuatilieni gas kwanza alafu ndio mrudi na populism
 
Inategemea sasa maana hata polisi wanaua majambazi..sasa kauwaje kafika tu sokoni kaanza kufyatua risasi au kaingia kwenye nyumba ya ibada na kuanza kufyatua risasi?
Polisi 99%huuwaraia wema
 
Back
Top Bottom