We kibwengu acha kujinyeaPopulism maana yake siyo sifa, acha kujiokotea maneno ambayo wala hauelewi maana yake, ungeacha tu neno sifa peke yake, kwa maana,,populism“ ina maana nyingine kabisa na wala haifit kwenye ujumbe wako, ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kibwengu acha kujinyeaPopulism maana yake siyo sifa, acha kujiokotea maneno ambayo wala hauelewi maana yake, ungeacha tu neno sifa peke yake, kwa maana,,populism“ ina maana nyingine kabisa na wala haifit kwenye ujumbe wako, ...
Huwez kuelewa uwezo wako ni ulozi tu....by the way Lissu umemuona we kibwengu muuajiLakini populism tafsiri yake siyo ,,kupenda sifa“ angeweza kutumia tu neno sifa bila ya populism, ...
Hayo kama wepi raia wema waliuawa ukawa na taarifa zao.Polisi 99%huuwaraia wema
Sio gas tu, mauaji ya tembo, vifaru,albino, ukosefu wa maji, huduma mbaya na rushwa kwenye hospital na ofisi za serikali.Hu
huyo ndugu aliyesema populism alikuwa anataka kurudia kujimwambafai hakuna tatizo kiongozi kuwa popular ila hatakiwi kuwa famous kajifunzeni leadership pamoja na leadership styles na muache wivu wakike kwa JPM fuatilieni gas kwanza alafu ndio mrudi na populism
Kwenye political context is all about seeking cheap popularity from ordinary citizen.This contemplate jiwez character...he is after poor people just to eager his political sentimentsPopulism maana yake siyo sifa, acha kujiokotea maneno ambayo wala hauelewi maana yake, ungeacha tu neno sifa peke yake, kwa maana,,populism“ ina maana nyingine kabisa na wala haifit kwenye ujumbe wako, ...
Huyu JK sijajua ana shida gani na JPM.Jamani Jk alijifananisha yeye na BWM si mtu mwingine kwani JK ni mr Misifa nani asiyemjua
Hata yeye kaachwa uchi na MwinyiJK amewaacha uchi sana msiba huu, mnatamani asingepata fursa ya kuongea!
Tatizo lako laanzia kwa aliyekukaririshaWewe ndio urudi shuleni, populism ina maana nyingine kabisa labda unachanganya na popularity ambapo ni vitu viwili tofauti, ungetumia tu neno kupenda sifa ingeleta maana uliokusudia, ...
Unaweza kusifiwa ili uharibu Jakaya Mrisho Kikwete amewashutukia ccm wanafiki.
Mkapa alikuwa na elimu na huyu wa sasa ana vyeti kwani Ben Saa nane Yuko wapi?Kwa mujibu wa hii speech (eulology) aliyoitoa JK kwenye msiba wa BWM, imetusaidia kujua Mkapa alikuwa ni mtu wa namna gani. Licha ya kufanya mambo makubwa katika nchi lakini hakutumia kabisa vyombo vya habari vya Taifa kujipigia mapromo kama tunavyoona kwenye utawala wa sasa.
Ifahamike Mkapa ndiye rais wa kwanza aliyekataa title ya "Mtukufu"
Na ni rais wa kwanza wa nchi yetu aliyekataa picha yake kukaa kwenye fedha
Huyo ndiye rais aliyekuwa hapigi mayowe, bali aliacha watu waone wenyewe.
Na kweli mwanaume yule alipiga kazi ya maana kwa nchi.
Namkumbusha rais wa sasa na wapambe wao, chema chajiuza kibaya chajitembeza, acheni kupiga mayowe, tuacheni tuone wenyewe.
"Na hiyo ndo tatizo la kustukizwa"
Video hapa chini:
Hii speech ndo iliyoharimu mood ya jamaa- jamaa kasahau kuwa wote wamechaguliwa na Watanzania na ni haki yao kuchagua wanachotaka
Na Azory GwandaMkapa alikuwa na elimu na huyu wa sasa ana vyeti kwani Ben Saa nane Yuko wapi?
Sijui mkuuHivi ni kwanini Covid 19 hapa Tanzania haipo fear?
Sasa hivi tumempa nchi mhujumu uchumiMkapa was loyal to his country
Wakati huo magu alikuwa wapi? Hakuwa akiunga mkono na kupiga meza? Sasa Kama si kutaka sifa kitu gani kinamfanya ajitoe ufahamu Sasa?hii inasaidia nini kwenye ustawi wa nchi? hebu tuacheni kusifia vitu visivyokuwa na tija. mikataba yote mibovu ya madini kaingia yeye, ufisadi ulikuwa juu sana, radar, ubinafsishaji holela etc. hivi ndio vitu vya kuongea sio huo upuuzi sijui wa kutaka sifa kwenye media
Kwa kuwa magu hana heshima Wala ustarabuHuyu JK sijajua ana shida gani na JPM.
Hizi vurumai hajazianza leo. Kinachonishangaza watu wanajenga nyumba moja ila hawaishi kugombea fito.
Kwa wenye akili hiki ni kipindi cha kuacha tofauti zao na kukipigania chama chao.
Essentially huwezi kuwa populist bila kupenda sifa.
Populism ni siasa za kupenda kupendwa bila kujali kama kupendwa huko kunatokana na mambo yenye manufaa au yasiyo manufaa.
Kwa mfano. Serikali ya Rais Magufuli haitengi bajeti kupeleka huduma za jamii vijijini.
Rais anajua hilo.
Lakini anapenda sifa, anapenda kupendwa, ni populist.
Anachofanya ni kwenda hizo sehemu, kuita watendaji kwenye mikutano, kuwatia jambajamba na kuwatumbua kwenye mikutano ya hadhara.
Watu wanafurahia. Magufuli kidume.
Rais mpenda sifa kuliko tija. Populist.
Wananchi wajinga wanapenda show za tumbua tumbua kuliko maendeleo ya kweli wanazidi kumsifia na kumpenda rais wao.
Hapo unaunganisha populist na mpenda sifa.
.
Kwenye political context is all about seeking cheap popularity from ordinary citizen.This contemplate jiwez character...he is after poor people just to eager his political sentiments