point yangu watu waongelee vitu vyenye tija sio mambo kama hyo ya sijui kutaka sifa. toa ushahidi kama magu alikuwa anaunga mkono ufisadi, ubinafsishaji usiokuwa na tija, mikataba mibovu ya madini.Wakati huo magu alikuwa wapi? Hakuwa akiunga mkono na kupiga meza? Sasa Kama si kutaka sifa kitu gani kinamfanya ajitoe ufahamu Sasa?
Kama alikuwa haungi mkono kwa nini hajawaburuza mahakamani waliohusika, yeye si ndo ameshika dola hivi sasa?point yangu watu waongelee vitu vyenye tija sio mambo kama hyo ya sijui kutaka sifa. toa ushahidi kama magu alikuwa anaunga mkono ufisadi, ubinafsishaji usiokuwa na tija, mikataba mibovu ya madini.
Mkuu hivi magu ndo alikuwa Filikunjombe au Mpendazoe?point yangu watu waongelee vitu vyenye tija sio mambo kama hyo ya sijui kutaka sifa. toa ushahidi kama magu alikuwa anaunga mkono ufisadi, ubinafsishaji usiokuwa na tija, mikataba mibovu ya madini.
Mkuu hivi magu ndo alikuwa Filikunjombe au Mpendazoe?
Kwa hiyo kupinga ufisadi ccm ni penda sifa kwa kuwa ufisadi ni sera ya ccm si ndiyo?kwani ni hao tu ndio walikuwa wanapinga. kwa mujibu wa mtoa mada hao bdio wale wapenda sifa. watu kama kina magu walikuwa hawapendi sifa
Kwani ombi la Mtukufu Raisi kutawala milele limekataliwa?Watu waoga utawaona tu wanapenda kutumia mgongo wa watu kujaribu kufkisha hoja zao.
Wewe ni kati ya watu walozibiwa mrija awamu hii.
Jamaa unaumia na kuteseka sana, subiri miaka 5 siyo mingi tuombe uzima labda atakuja atakaye kufungulia mrija.
alikuwa anapinga lakini si kwa kujonyesha kwenye media kama filikunjombeKwa hiyo kupinga ufisadi ccm ni penda sifa kwa kuwa ufisadi ni sera ya ccm si ndiyo?
Was he a great man kwa kusema majimbo yatakayochagua wapinzani hayatapata hela za maendeleo?Mkapa was a great man, may his soul continues to R.I.P
Watu waoga utawaona tu wanapenda kutumia mgongo wa watu kujaribu kufkisha hoja zao.
Wewe ni kati ya watu walozibiwa mrija awamu hii.
Jamaa unaumia na kuteseka sana, subiri miaka 5 siyo mingi tuombe uzima labda atakuja atakaye kufungulia mrija.
Kwamba wakati anachangia Bungeni Tv zilikuwa zinazimwa si ndiyo?alikuwa anapinga lakini si kwa kujonyesha kwenye media kama filikunjombe
Huku kuweweseka ni dalili ya kutotegemea Kama JK angesema ukweli!Hata yeye kaachwa uchi na Mwinyi
“Mkapa ndiye amefanya kazi kubwa sana kukuza uchumi baada ya kuchukua nchi kutoka kwa Rais Mwinyi ikiwa na uchumi goigoi sana. Alipambana,” -J.M.Kikwete
___________________________
"MAGUFULI Ni wa kipekee Sana, aliikuta nchi iko vibaya Sana kiuchumi yeye ndio katufikisha kwenye uchumi huu mzuri wa Kati"
Rais A.H.Mwinyi.
*Hii inaitwa ukimwaga mboga......🤣*
Usijirushe akiliHayo kama wepi raia wema waliuawa ukawa na taarifa zao.
Yule mbwa alifanya Kufuru kubwa snNasikia kuna mpuuzi mmoja aliwahi kumfananisha Magufuli na Yesu
Kwa kazi ya ku shape uchumi uwe private sector driven na ku set pace ya ukuaji wa GDP na per capita, hayo mengine ni yakibinadamu ataenda kuhukumiwa huko alikofikaWas he a great man kwa kusema majimbo yatakayochagua wapinzani hayatapata hela za maendeleo?
Was he a great man kwa kudanganya kuwa Temeke kunavurugu maduka yanachomwa moto? Baada ya Mrema kushinda ubunge alipobanwa akaruka, ooh hamkunielewa.
Was he a great man kwa kusema wapinzani ni mabwege na marofa?
Walio upande wake wanafurahia kauli hizi lakini wa upande wa pili ni shubiri.
Sawa mkuu lakini kwa sasa vumilia tu miaka iliyobaki ya uongozi wa huyu mwamba michache zamu yenu itakuja kama atakayemfuatia atakuwa mtu wenu au mwenye misimamo tofauti na huyu wa sasa.Misamiati kama vile mirija, unyonyaji, mabwanyenye, makabaila ni misamiati ya miaka hiyo ya enzi za ujamaa, tumeshatoka huko
Unajua mzungumzaji alikua kwenye mazingira gan na alimaanisha...tatizo ni spirit ya uwakala wako kwa shetan unayemtumikia....Unaweza ukapenda sifa na usiwe populist, ...
Sio gas tu, mauaji ya tembo, vifaru,albino, ukosefu wa maji, huduma mbaya na rushwa kwenye hospital na ofisi za serikali.
Yule bwana kwa kufanya kufuru ile, amefanikiwa kupata alichotaka kwani kesi iliyokuwa inamkabili ya ufisadi imefutwa!!!Yule mbwa alifanya Kufuru kubwa sn