ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nchi imenusurika kutekwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh; nchi hii!Nchi yetu ina viwango, hapa ilipofikia heshma yake kubwa ni kuheshimu vipindi viwili vya miaka mitano, wakianza hawa na miaka 7 huko tunakokwenda siko.
Yule aliyekuwa akimiliki genge la akina Sabaya alikuwa haibi?Duh; nchi hii!
Kwamba ili mradi wanazingatia vipindi viwili hata wakiiba mapesa ya umma kama walivyozoea wataendelea kuheshimiwa.
Halafu yule fisimaji ili kujifanya hayuko nao akawakata!!Mmojawapo aliyetumwa kupima upepo ni juma nkamia
Mafumbo yako wapi hapo, Tanzania imewahi kutawaliwa na shetani mmoja tu Mrundi kutoka Chato.Mbona ameongea kimafumbo? Si amtaje Jina la huyo kiongozi alietaka kuongeza miaka 7 kutoka 5
Kama alitaka kubadili katiba kwa nguvu ilikuwa ni haki yake kuuawa, after all kwani hata yeye aliua wangapi?Hapa ndipo ile hoja ya kwamba aliuawa huwa inatumiwa na SUKUMA GANG
Aliyefuata baada ya kikweteMbona ameongea kimafumbo? Si amtaje Jina la huyo kiongozi alietaka kuongeza miaka 7 kutoka 5
Mfano hii taarifa ikabaki hivi ilivyo (blanked) baada ya miaka 10 wasomaji wataweza kujua mlengwa alikuwa ni nani?Mafumbo yako wapi hapo, Tanzania imewahi kutawaliwa na shetani mmoja tu Mrundi kutoka Chato.
Hiyo Kauli ikiendelea kukaa hivyo wakipita tena MaRais wengine 2 watu watajua aliyelengwa ni nani?Aliyefuta baada ya kikwete
Alimuwahi aisee jamaa huwa ni mjanja huyu dahInawezekana alimuua Mkapa kweli, maana ndiye jamaa lililokuwa na msimamo kukataa upumbavu bila kupepesa macho
JK naye angeweza kufuatia kabla ya 2025
Kwa akili zako unafikiri wazee wangekaa kujadili kitu alichoropoka Juma Nkamia kama kulikuwa hakuna tishio la kweli?Huyo mzee hakutumwa na jiwe, yeye mwenyewe alisema aliropoka ili kujipendekeza maana jiwe alikuwa anamshughulikia
Huo ndio tunaita ujuha pro max.Juma nkamia Kuna siku alitamka maneno haya
"Unajua bwana yule alipenda Sana sifa , na mm Kuna mambo hayakwenda vizuri nikaona njia ya kuepuka n kumsifia "
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Umenielewa kweli mkuu ? Mimi nimeongea kitu tofauti na wewe, nimesema Nkamia aliropoka na hakutumwa na hata yeye alikiri, sijasema huo mpango haukuwepo, yeye aliusikia na kuruka nao tu ila hakutumwaKwa akili zako unafikiri wazee wangekaa kujadili kitu alichoropoka Juma Nkamia kama kulikuwa hakuna tishio la kweli?
That fat old Man alikufa kwa matqtizo ya Moyo kweli,Inawezekana alimuua Mkapa kweli, maana ndiye jamaa lililokuwa na msimamo kukataa upumbavu bila kupepesa macho
JK naye angeweza kufuatia kabla ya 2025
Akiwa kwenye mahojiano na kipindi maalum cha Clouds leo aliyekuwa Rais wa awamu ya Nne Jakaya Kikwete amesema kuwa mchakato uliokuwa mgumu zaidi kwake ni kuzuia uhuni wa kubadili muhula wa uongozi ndani ya CCM kutoka miaka mitano kuwa saba.
Jakaya anasema mjadala ulipoletwa ulikuwa ni moto ila tayarI CCM kulikuwa na utaratibu wa miaka mitano na uamuzi huo uheshimiwe.
======
KUONGEZA MIAKA YA URAIS
Kikwete: Kuna kipindi walianza sana mjadala wa kubadili katiba sijui iwe miaka 7, pale wazee tulishauriana tukasema hapana, huku wanapotaka kutupeleka hawa sipo.
Nchi yetu ina viwango, hapa ilipofikia heshma yake kubwa ni kuheshimu vipindi viwili vya miaka mitano, wakianza hawa na miaka 7 huko tunakokwenda siko.
Nakumbuka tulikutana wazee na siku hizi hamna haja kukutana hata kwa simu mnaunganisha, tukakubaliana hawa lazima tuwaambie vijana hawa.
Waliotaka miaka 7 ni akina nani ?Akiwa kwenye mahojiano na kipindi maalum cha Clouds leo aliyekuwa Rais wa awamu ya Nne Jakaya Kikwete amesema kuwa mchakato uliokuwa mgumu zaidi kwake ni kuzuia uhuni wa kubadili muhula wa uongozi ndani ya CCM kutoka miaka mitano kuwa saba.
Jakaya anasema mjadala ulipoletwa ulikuwa ni moto ila tayarI CCM kulikuwa na utaratibu wa miaka mitano na uamuzi huo uheshimiwe.
======
KUONGEZA MIAKA YA URAIS
Kikwete: Kuna kipindi walianza sana mjadala wa kubadili katiba sijui iwe miaka 7, pale wazee tulishauriana tukasema hapana, huku wanapotaka kutupeleka hawa sipo.
Nchi yetu ina viwango, hapa ilipofikia heshma yake kubwa ni kuheshimu vipindi viwili vya miaka mitano, wakianza hawa na miaka 7 huko tunakokwenda siko.
Nakumbuka tulikutana wazee na siku hizi hamna haja kukutana hata kwa simu mnaunganisha, tukakubaliana hawa lazima tuwaambie vijana hawa.