Pi Network
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 290
- 319
Matahira huwa yanaamini kila yanachosimuliwa! Shida sana![emoji36]Bora kakufa zake. Lingetuletea machafuko bureeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matahira huwa yanaamini kila yanachosimuliwa! Shida sana![emoji36]Bora kakufa zake. Lingetuletea machafuko bureeee.
Nyie vyeti feki mna matatizo sana
Jiwe kwa kuwa sio rais tena ...afufuliwe kila mtanzania amtie kwenzi moja kwenye kipara chake kisha afe tena...😁
Wenye akili hutafakari kwanza, wapumbavu wao huamini kila wanalosimliwa!Alitaka apewe miaka 14 ya uongozi, yule mzee jamani, Bora katangulia tu.
Hivi kumbe ilikuwa kweli wanataka kuongeza mudaAkiwa kwenye mahojiano na kipindi maalum cha Clouds leo aliyekuwa Rais wa awamu ya Nne Jakaya Kikwete amesema kuwa mchakato uliokuwa mgumu zaidi kwake ni kuzuia uhuni wa kubadili muhula wa uongozi ndani ya CCM kutoka miaka mitano kuwa saba.
Jakaya anasema mjadala ulipoletwa ulikuwa ni moto ila tayarI CCM kulikuwa na utaratibu wa miaka mitano na uamuzi huo uheshimiwe.
======
KUONGEZA MIAKA YA URAIS
Kikwete: Kuna kipindi walianza sana mjadala wa kubadili katiba sijui iwe miaka 7, pale wazee tulishauriana tukasema hapana, huku wanapotaka kutupeleka hawa sipo.
Nchi yetu ina viwango, hapa ilipofikia heshma yake kubwa ni kuheshimu vipindi viwili vya miaka mitano, wakianza hawa na miaka 7 huko tunakokwenda siko.
Nakumbuka tulikutana wazee na siku hizi hamna haja kukutana hata kwa simu mnaunganisha, tukakubaliana hawa lazima tuwaambie vijana hawa.
Ikiwa hivyo mie nitaomba nimkojolee mkojo kichwani mbwa yuleJiwe kwa kuwa sio rais tena ...afufuliwe kila mtanzania amtie kwenzi moja kwenye kipara chake kisha afe tena...[emoji16]
Alikaa maisha. Kifo ndo kilimtenganisha.Magu hata angekaa maisha alistahili
Alitawala maisha. Alifia madarakaniMagu hata angekaa maisha alistahili
Aisee kweli kbsa[emoji16][emoji16][emoji16]Jiwe kwa kuwa sio rais tena ...afufuliwe kila mtanzania amtie kwenzi moja kwenye kipara chake kisha afe tena...[emoji16]
Nchi hi haiwezi kureact kwa lolote kwani wtzd Ni waoga mno hate ukiwambia leo hi Samia atawla had 2040 wao kwao sawa tuBora kakufa zake. Lingetuletea machafuko bureeee.
[emoji2] [emoji2] Kumbe ndio maana yule muhuni alianza kurekodi mazungumzo yao.
Itekwe mara mbili!?Nchi imenusurika kutekwa
Nyuma ya comment yako naona maandishi hafifu 'aliwahishwa'Nasikia mr clean ndo hakutaka hata kusikia,, alikuwa very firm against it🤫
Tuiondoe ccm tuweke chama gani?Itekwe mara mbili!?
CCM imeiteka hii nchi anachofanya huyu jamaa na hao anaowaita wazee ni kiini macho tu ili watu waone kuna wazee na wahuni ilihali wote ni ccm hao hao.
Bila wananchi kujitambua na kuiondoa madarakani tutajuta kuzaiwa Tz.
Eeh ni kweli kabisa kifo cha Lupaso kiliinginiwa na Chato kama vile kifo cha Butiama kilivyokandalasiwa LupasoNyuma ya comment yako naona maandishi hafifu 'aliwahishwa'