Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Hivi kumbe ilikuwa kweli wanataka kuongeza muda
 
Itekwe mara mbili!?

CCM imeiteka hii nchi anachofanya huyu jamaa na hao anaowaita wazee ni kiini macho tu ili watu waone kuna wazee na wahuni ilihali wote ni ccm hao hao.

Bila wananchi kujitambua na kuiondoa madarakani tutajuta kuzaiwa Tz.
Tuiondoe ccm tuweke chama gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…