Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Mkapa,kikwete,magu...nani mzanzibar hapo!?
 
Wazee wengine ni Aibu ya Taifa.
 
Hapo inatafutwa mbinu ya kuhalalisha wizi unaondelea sasa.

Hakuna jambo litafanyika kuhalalisha matumizi mabaya ya Rasilimali za Watanzania.
Hivi huo wizi uko wapi, au lini ulikua haupo?

hebu tuanze na wewe, unafanya shughuli gani hivi sasa?
 
Sawa, sasa kama alifanya mambo mazuri ya maendeleo yanayukubaliwa na Wananchi, alikuwa na hofu gani hata akafikiri kujiongezea muda na kuwanyamizisha vyama siasa kwa mtutu.

Na hata uchaguzi ulipofika alitumia nguvu nyingi kununua wapinzani, kutisha watu kufunga watu na wengine kupigwa risasi.
 
Na ile iliyojadiliwa kwa kuundwa bunge maalum la katiba ilikuwa ni nini kama siyo hiyo rasimu unayosema aliipiga teke?
 
Kwa tamko hili ni bayana sasa ni kweli ana mkono kwenye serikali hii na kwamba walimzima mwamba kwa kujifanya wao ni wamiliki nchi..............................days are chronologically numbered when time materializes, he will denounce his statement
Inashangaza sana...Daah public confession, duuh Mungu fundi!
 
Duh.waliomudedisha mpambanaji wameanza kujitokeza.mdogomdogo tutawajua wote tu
Hakuna nafshi inayoweza kuitoa nafshi ingine pasipo matakwa ya maulana,tujifunze kuheshimi mapenzi ya maulana maana yeye ndio kila kitu,asipotaka haiwi,akihitaji chake huwa.
 
Kwa tamko hili ni bayana sasa ni kweli ana mkono kwenye serikali hii na kwamba walimzima mwamba kwa kujifanya wao ni wamiliki nchi..............................days are chronologically numbered when time materializes, he will denounce his statement
Kwa tangazo lipi?

Sasa wewe ulikuwa huelewi kama Kikwete yupo kwenye jopo la wazee wanaofanya maamuzi mazito ya CCM, inapobidi?

Wengine huwa mnaandika utumbo tu.
 
Kwa tangazo lipi?

Sasa wewe ulikuwa huelewi kama Kikwete yupo kwenye jipo la wazee wanaofanya maamuzi mazitonya CCM inapobidi?

Wengine huwa mnaandika utumbo tu.
Endelea ku bold madam, si yetu macho na masikio...
 
Endelea ku bold madam, si yetu macho na masikio...
"Ku bold" ndiyo mdudu gani? Sikuelewi.

Ulifikiri hayo "macho na nasikio" ni yenu tu? Watu wengine hamueleweki kabisa.
 
Reactions: Ame
Alitumia nguvu za kishetani akimtumaini shetani kama kinga mwokozi wake infact ali bi partisan his soul half to Satan and half to Almighty as public mirror! (complex issue)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…