Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Alimuwahi aisee jamaa huwa ni mjanja huyu dah
Hii tetesi nilisikia pia kwamba jiwe liliazimia kuwaondoa wastaafu wote kwanza na ndipo jambo lake likae sawa hakuwa na shida na mzee ruksa na karata ilianzia lupaso ikachezwa kwa ustadi kweli, kwakweli tetesi zinasema lile tukio lilimtahayarisha sana mzee wa msoga na alishtushwa sana na jambo lile na tatizo mzee wa lupaso hakuwa na ujasusi kivilee sasa mzee wa msoga nae akaanza kuliwa mingo ila kwa vile naye ni jasusi tena jasusi kweli kweli tena jasusi lililo kulia mjini hata Mwl.Nyerere alimfahamu hivyo,hahaaaaa jiwe lika dondoshwa mapema kabla.
 
Hii tetesi nilisikia pia kwamba jiwe liliazimia kuwaondoa wastaafu wote kwanza na ndipo jambo lake likae sawa hakuwa na shida na mzee ruksa na karata ilianzia lupaso ikachezwa kwa ustadi kweli, kwakweli tetesi zinasema lile tukio lilimtahayarisha sana mzee wa msoga na alishtushwa sana na jambo lile na tatizo mzee wa lupaso hakuwa na ujasusi kivilee sasa mzee wa msoga nae akaanza kuliwa mingo ila kwa vile naye ni jasusi tena jasusi kweli kweli tena jasusi lililo kulia mjini hata Mwl.Nyerere alimfahamu hivyo,hahaaaaa jiwe lika dondoshwa mapema kabla.
Huyu mzee huwa ana akili nyingi na machale kibao
 
mzee wa msoga nae akaanza kuliwa mingo ila kwa vile naye ni jasusi tena jasusi kweli kweli tena jasusi lililo kulia mjini .

Ana ujasusi gani huyo fisadi wa msoga?

Mnampa ushujaa feki ambao hana japo kiduchu.

Kikwete ni mwizi wa kawaida sana na hana uwezo wa kupambana na Rais wa nchi aliyeshika mamlaka, achilia mbali hata kujaribu tu kumrushia unyoya wa kuku.

Magufuli aliuwawa na watu wenye nguvu, na sio huyo mkwapuzi wa msoga JK.
 
Ana ujasusi gani huyo fisadi wa msoga?

Mnampa ushujaa feki ambao hana japo kiduchu.

Kikwete ni mwizi wa kawaida sana na hana uwezo wa kupambana na Rais wa nchi aliyeshika mamlaka, achilia mbali hata kujaribu tu kumrushia unyoya wa kuku.

Magufuli aliuwawa na watu wenye nguvu, na sio huyo mkwapuzi wa msoga JK.
Kwa hiyo ukiambiwa utaje list ya watu 5 wenye nguvu TZ kwa ushawishi wa pesa na jina, Kikwete humuweki?
 
Ana ujasusi gani huyo fisadi wa msoga?

Mnampa ushujaa feki ambao hana japo kiduchu.

Kikwete ni mwizi wa kawaida sana na hana uwezo wa kupambana na Rais wa nchi aliyeshika mamlaka, achilia mbali hata kujaribu tu kumrushia unyoya wa kuku.

Magufuli aliuwawa na watu wenye nguvu, na sio huyo mkwapuzi wa msoga JK.
Yawezekana wewe umezaliwa miaka ya juzi juzi hapa huelewi lolote kuhusu hawa viongozi wakuu wa nchi lakini sijasema Mafugufuli aliuawa yawezekana kifo chake nimatokea ya albadir alizosomewa kwa kuuwa watu hovyo.
 
Hapo inatafutwa mbinu ya kuhalalisha wizi unaondelea sasa.

Hakuna jambo litafanyika kuhalalisha matumizi mabaya ya Rasilimali za Watanzania.
Kulikuwa na matumizi mabaya kuliko yale ya kutumia mabilioni kununua wabunge kwa ajili ya kumsifu mtu mmoja? Na kurudia uchaguzi?
Mungu fundi
 
Back
Top Bottom