Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Yawezekana wewe umezaliwa miaka ya juzi juzi hapa huelewi lolote kuhusu hawa viongozi wakuu wa nchi lakini sijasema Mafugufuli aliuawa yawezekana kifo chake nimatokea ya albadir alizosomewa kwa kuuwa watu hovyo.
Kikwete ni kibaka wa kawaida sana. Hana ujasusi wowote.

Anawalaghai mandondocha wake tu mnaomtetea mitandaoni.

Kwa tunaomjua tunafahamu fika, huyo mwizi ni wa kawaida sana mwenye uwezo duni wa kiutendaji na kitaaluma.
 
Wewe na huyo Magufuli wako siasa mmezianza juzi tu hamjui lolote kuhusu system ndio maana huwezi jua chochote kuhusu Kikwete ndio maana mlikuja kichwa kichwa mkadhani mtakuwa juu ya kila kitu.

Lakini amini Kikwete ndiye alikuwa Rais mwenye nguvu nchi hii na ni Rais mstaafu mwenye nguvu nchi hiií kuliko marais wote walio tangulia ukimtoa Mwl. Nyerere.

Na hata nyerere alilijua hilo fuatilia kwa kukusaidia speech ya Kikwete mwaka 1995 kama ulikuwa umezaliwa siku ya halmashauri kuu ya CCM inapigia kura jina la mgombea urais na Kikwete akishika nafasi ya pili kwa tofauti ya kura 50 tu tena za mchongo dhidi ya Benjamin Mkapa.

Hapo ndipo utajua Kikwete sio wa kispoti spoti kama unavyo mchukulia, ni mwana diplomasia tangu akiwa kijana alishakomaa kisiasa kabla hata hilo jiwe halijawaza kuwa mwanasiasa nadhani kipindi hicho jiwe ndo anafundisha Sengerema huko [emoji38][emoji38]
Hana diplomasia yoyote huyo mwizi KIKWETE.

Diplomasia anayoijua ni kuuza madawa ya kulevya na kuiba tembo wetu.

Miaka yake kumi madarakani tumeshuhudia jinsi KIBAKA KIKWETE alivyotuibia maliasili zetu yeye na genge lake la msoga.
 
Hata akibanduliwa kwani anatumia mattercall ya mtu?
The guy yuko vizuri upstairs....mtateseka sana, waziri bado tunaye sana.....uzima Tu.
Huyo makamba atakuwaje vizuri upstairs wakati analiwa puru? [emoji23][emoji23][emoji23]

Yule ni choko. Si ajabu anavaa nepi.
 
Kikwete ni kibaka wa kawaida sana. Hana ujasusi wowote.

Anawalaghai mandondocha wake tu mnaomtetea mitandaoni.

Kwa tunaomjua tunafahamu fika, huyo mwizi ni wa kawaida sana mwenye uwezo duni wa kiutendaji na kitaaluma.
Name of suspect: kikwete
Hatua zilizo chukuliwa?:.... Kubwabwaja mitandaoni na IDs mpya
 
Huyo makamba atakuwaje vizuri upstairs wakati analiwa puru? [emoji23][emoji23][emoji23]

Yule ni choko. Si ajabu anavaa nepi.
Kwa hiyo akiliwa puru wewe unaumia au?
Makamba anawatesa mnaanza kumtengenezea zengwe......tuna Imani na waziri wetu.....hata aliwe nini, avae Nepi avae sketi, hatujali......tuna Imani nae
 
Kwa hiyo akiliwa puru wewe unaumia au?
Makamba anawatesa mnaanza kumtengenezea zengwe......tuna Imani na waziri wetu.....hata aliwe nini, avae Nepi avae sketi, hatujali......tuna Imani nae
Ni kweli mabwabwa wenzake mna imani nae. Anawawakilisha kwenye mikutano ya mashoga.

Ole wenu mtuletee shirika la ushoga, tutawafurusha mashoga nyie.
 
Ni kweli mabwabwa wenzake mna imani nae. Anawawakilisha kwenye mikutano ya mashoga.

Ole wenu mtuletee shirika la ushoga, tutawafurusha mashoga nyie.
Huna hoja, Makamba anawalaza na viatu.....the next target🤣🤣🤣
Halafu inaonekana wewe rinda nehi, Kama unalo piga picha tuwekee hapa, mashoga tunajuana shoga etu🤣
 
Kwanza nicheke[emoji1787][emoji1787][emoji1787], Una ubavu WA kumshughulikia Kikwete? Kashindwa mwendazake[emoji1787]!
Eti anatulaghai[emoji1787][emoji1787][emoji1787], tumemuelewa Kwa uongozi wake.
Unajichekesha tu ila nimekubutua na huyo KIBAKA WAKO KIKWETE.

Yes indeed, nashughulika nae mtandaoni kwa kumbagaza na kumshushua. Na kumtusi pia.

INAKUCHOMA. Ati jasusi ... nyokoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda jasusi wa ufisadi na uporaji wa rasilimali zetu.

Mwizi wa kawaida sana yule. Hana ujasusi wowote.
 
Unajichekesha tu ila nimekubutua na huyo KIBAKA WAKO KIKWETE.

Yes indeed, nashughulika nae mtandaoni kwa kumbagaza na kumshushua. Na kumtusi pia.

INAKUCHOMA. Ati jasusi ... nyokoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda jasusi wa ufisadi na uporaji wa rasilimali zetu.

Mwizi wa kawaida sana yule. Hana ujasusi wowote.
Nakuona unatia huruma, wewe wa kumshushua Kikwete? Halafu 🤣🤣🤣
Tafuta Kazi ufanye!
 
Nakuona unatia huruma, wewe wa kumshushua Kikwete? Halafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta Kazi ufanye!
Leo weekend we shoga. Kazi tunafanya siku za wiki.

Leo ni siku ya burudani, na kazi niliyonayo ni ya KUMFOKEA KIBAKA KIKWETE.

Kama unaumia CHOMOA UJAMBE, lakini KIBAKA KIKWETE lazima NIMFOKEE kweli kweli pamoja na manyumbu yake yanayomuita JASUSI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kikwete ni kibaka wa kawaida sana. Hana ujasusi wowote.

Anawalaghai mandondocha wake tu mnaomtetea mitandaoni.

Kwa tunaomjua tunafahamu fika, huyo mwizi ni wa kawaida sana mwenye uwezo duni wa kiutendaji na kitaaluma.
Huna ulijualo ingawa unajifanya unajua wakati huna lolote kichwa boksi.

wewe mwenye uwezo wa kiutendaji na kitaaluma umewahi hata kuwa monitress wa primary school darasa la pili "B" !? Maana huyo una muongelea hapo asha wahi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka 10

Amesha kuwa rais wa JMT miaka 10 hapo sijaongelea nafasi zake ndani ya CCM na ndaji ya JESHI , na bado ni mshauri wa amani wa kimataifa hadi sasa, sasa wewe mnuka mavi wa mchamba wima huko unasemaje!!? Hivi huoni hata aibu? Au unajifurahisha tu kuongea.?

Na bado ndiye mshauri mkuu wa rais wa sasa anaye kutawala hadi wewe maana ndiye rais mstaafu pekee aliye baki ambaye bado yuko stable
 
Back
Top Bottom