Jakaya Mrisho Kikwete-The upcoming UNSG

Jakaya Mrisho Kikwete-The upcoming UNSG

Kikwete kwa demokrasia na uwazi alijitahidi sana mkuu, alianzisha mchakato wa katiba mpya ila CCM wakaua
Ukitaka kujua hilo tafuta rekodi kisha linganisha rank ya Tanzania kwenye haki za binadamu na uhuru wa habari kipindi cha Kikwete na sasa hivi
Mchakato wa katiba aliuua yeye mwenyewe alipozindua bunge la katiba.
 
Mark my words and predictions.
I have made my searching and researching and my conclusions are all pinpointing at this gentleman from Msoga.
What I have to say to you is,you need to perish the thought because the old man Kikwete will never be the UN General secretary the one who had that chance from Tanzania was S.A.S only.
 
Kikwete kwa demokrasia na uwazi alijitahidi sana mkuu, alianzisha mchakato wa katiba mpya ila CCM wakaua
Ukitaka kujua hilo tafuta rekodi kisha linganisha rank ya Tanzania kwenye haki za binadamu na uhuru wa habari kipindi cha Kikwete na sasa hivi
Mkuu qcha kujitoa ufaham. Unakumbuka ni kikwete aliratibu Jecha.

Acha tu dhamira izidi kumsuta yeye na "gernerby"
 
Kikwete kwa demokrasia na uwazi alijitahidi sana mkuu, alianzisha mchakato wa katiba mpya ila CCM wakaua
Ukitaka kujua hilo tafuta rekodi kisha linganisha rank ya Tanzania kwenye haki za binadamu na uhuru wa habari kipindi cha Kikwete na sasa hivi
Kujitahidi hakutoshi kumpa nafasi. Yani Kikwete umuweke ligi za kina Louis Moreno Ocampo?

Bado hatujazungumzia ubadhirifu serikalini kwake, alichofanya alijitahidi ila hakubadilisha mifumo
 
Marekani ndio inamuweka mtu inayemtaka kwenye hiyo nafasi na siyo prediction za mtu yeyote.

Halafu sidhani kama ni zamu ya Afrika kutowa Secretary General, Koffi Annan bado tunamkumbuka ametoka hapo si miaka mingi sana.
Kofi Annan alikuwa kaoa mzungu
Pia alikuwa anaweza kuongea lugha zote za kimataifa kwa ufasaha, English, french spanish etc.
 
Jakaya ni mmoja yuleyule ambaye serikali yake ilimuua Daudi Mwangosi na kung'oa kucha za Dokta Ulimboka. Ndio hiyo serikali alikufa Alphonse Mawazo. Ndio hiyo hiyo ya Escrow
Kesi ya mwangosi ndiyo useme hapakua na Uhuru wa habari!?..ulimboka alisababisha watu kufa muhimbili,kilichompata alistahiki,muulize baba yako Uhuru wa habari ulikuwaje awamu ya kwanza,tatu na tano...uliza pia lini Uhuru wa habari ulikua mkubwa
 
Kesi ya mwangosi ndiyo useme hapakua na Uhuru wa habari!?..ulimboka alisababisha watu kufa muhimbili,kilichompata alistahiki,muulize baba yako Uhuru wa habari ulikuwaje awamu ya kwanza,tatu na tano...uliza pia lini Uhuru wa habari ulikua mkubwa
Hizi hoja ndio utapeleka UN. Una akili kichwani???

Yani utanlenda UN uwaambie tumchague Kikwete kuwa Secretary General ila tupuuze aliyoyafanya kisa waliofanyiwa hivyo walistahili. Umesoma uzi kwanza?
 
Mark my words and predictions.
I have made my searching and researching and my conclusions are all pinpointing at this gentleman from Msoga.
Kwa demokrasia ipi itakayombeba ?? Wazungu wanajua kila kitu kinachofanyika duniani !! Hata ukijificha wapi wanajua tu !!
 
Mark my words and predictions.
I have made my searching and researching and my conclusions are all pinpointing at this gentleman from Msoga.
Mwizi na fisadi mkubwa hawezi kuchaguliwa
 
Hakuna kitu.

Mchakato aliouanzisha halafu akauua mwenyewe huko sio kujitahidi, ni kupoteza pesa za walipa kodi bure, kama alijua yeye ni dhaifu angezidiwa nguvu na wenzake CCM hakutakiwa kuanzisha uke mchakato.

Wapinzani kupewa vijimbo viwili au vitatu wakati alichakachua kuingia ikulu 2010 hakuna demokrasia yoyote aliyoipigania.
Hakuna kuzidiwa na mtu au watu wowote wale !! Rais katika katiba hii azidiwe na mtu yeyote !!! Duh! Itakuwa ni maajabu !! Akikubali kuzidiwa ujue yeye mwenyewe ametaka iwe hivyo ! Tusidanganyane bandugu. !!
 
Back
Top Bottom