Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ndoto.United Nations Secretary General
========
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa...
========
Itakuwa poa na itakuwa heshima kubwa kwa nchi yetu!
Umeona mbali sana kaka me pia nimewala hivyoMark my words and predictions.
I have made my searching and researching and my conclusions are all pinpointing at this gentleman from Msoga.
Cyo kweli Kwan bankmoon,thank Mbeki,guterez wana umri mkubwa kuliko kikweteUmri ushamtoa kwenye deal
Duh[emoji23] mkubwa wewe ujuek yako
Hao wote walichaguliwa wakiwa chini ya miaka 70. Uchaguzi unao kuja JK atakuwa na miaka 75/76.Cyo kweli Kwan bankmoon,thank Mbeki,guterez wana umri mkubwa kuliko kikwete
UN hawakai wajinga Kama weweHizi hoja ndio utapeleka UN. Una akili kichwani???
Yani utanlendq UN uwaambie tumchague Kikwete kuwa Secretary General ila tupuuze aliyoyafanya kisa waliofanyiwa hivyo walistahili. Umesoma uzi kwanza?
We endelea kuinama tu uko kwa mabwana zako na kuwa chawaUN hawakai wajinga Kama wewe
Ndo michezo yako!?..huwa wanakusukumia wangapi!?We endelea kuinama tu uko kwa mabwana zako na kuwa chawa
Akili za MbayuwayuMark my words and predictions.
I have made my searching and researching and my conclusions are all pinpointing at this gentleman from Msoga.