MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Aisei urais ni uvumilivu, yaani binafsi hata nikibembelezwa siwezi kuthubutu kuusaka maana nitaishia kuua raia wangu. Mtu unitukane 'mtoto wa mbwa' halafu uendelee kupumua wakati nina mamlaka ya kukushughulkia, hata kama kikatiba sitakufikia, basi kuna vijana wa kazi nawatuma kwako kimya kimya unapokea mtiti wa SMG.
Hongera kwa marais mliopo, kweli muna karama ya uvumilivu, nyie mpo tofauti kabisa.
Unakuta hata huku kwenye mitandao ukitukanwa na mtu usiyemfahamu wala kumjua lakini hasira na mipovu inatiririka....
Uhuru KenyattaVerified account @UKenyatta
Let us stop going around teaching our young men to insult their elders but rather focus on giving our children a quality education.
Hongera kwa marais mliopo, kweli muna karama ya uvumilivu, nyie mpo tofauti kabisa.
Unakuta hata huku kwenye mitandao ukitukanwa na mtu usiyemfahamu wala kumjua lakini hasira na mipovu inatiririka....
Uhuru KenyattaVerified account @UKenyatta
Let us stop going around teaching our young men to insult their elders but rather focus on giving our children a quality education.