Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump na ubabe woote anatukanwa kama demu tu na anapotezea.Mwanaume kifua kipana,siyo kupaniki kwa vitu vidogo vidogo tu!ni kweli yale ni matusi na ni makosa makubwa sana ila kwa rais mzima kuingilia mambo kama haya ni kujishusha hadhi...obama alipokuwa rais aliitwa maneno mengi sana tena mabaya ila hamna aliyejishugulisha kukamatana...as long as it does not fall under hate speech, hakuna kazi hapo...
Ati Uhuru si mtu wa kukamatakamata ovyo.subiri uone...hakuna antakayejishugulisha...uhuru sio mtu wa kukamata kamata watu ovyo![]()
![]()
![]()
punguza hasira ...jamaa kashakamatwa na polisiAti Uhuru si mtu wa kukamatakamata ovyo.
Acha ujinga, don't entertain this.
Kila kitu kwa kiasi, kila kitu kina mipaka.
Sasa kwa sababu jamaa ameshakamatwa ina maana demokrasia imeisha Kenya?Mdemokrasia sana huyu jamaa. Sikuwa nakubali hapo mwanzo lakini sasa ninamwelewa vilivyo.
Hivi Bob Owino amekamatiwa wapi?, acheni mdomochai!!! angekuwa rwanda sai kagame angemtia ndani...ama Uganda ama tanzania ama ethiopia
Uhuru wa kujieleza na Demokrasia Imara
would be dead
Ha! ha! Just ha! ha!Kutukana ndio uhuru wa mtu wa kujielezea!!!![emoji35][emoji35][emoji35]
Wewe hukufunzwa adabu na wazazi wako au!!!
Wewe sasa ivi ukiitwa Fala utarusha Ngumi
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Nyambaaf!!!
Utajikomba komba hadi lini wewe?Sasa kwa sababu jamaa ameshakamatwa ina maana demokrasia imeisha Kenya?
Lete hoja, kama umeishiwa endelea kufuatilia mjadala uongeze maarifaUtajikomba komba hadi lini wewe?
Endelea kujikomba tu. Hamna cha hoja, mjadala wala nini.Lete hoja, kama umeishiwa endelea kufuatilia mjadala uongeze maarifa