Jamaa amtukana rais Uhuru kuwa ni 'mtoto wa mbwa' lakini yupo yupo tu

Jamaa amtukana rais Uhuru kuwa ni 'mtoto wa mbwa' lakini yupo yupo tu

Aisei urais ni uvumilivu, yaani binafsi hata nikibembelezwa siwezi kuthubutu kuusaka maana nitaishia kuua raia wangu. Mtu unitukane 'mtoto wa mbwa' halafu uendelee kupumua wakati nina mamlaka ya kukushughulkia, hata kama kikatiba sitakufikia, basi kuna vijana wa kazi nawatuma kwako kimya kimya unapokea mtiti wa SMG.

Hongera kwa marais mliopo, kweli muna karama ya uvumilivu, nyie mpo tofauti kabisa.
Unakuta hata huku kwenye mitandao ukitukanwa na mtu usiyemfahamu wala kumjua lakini hasira na mipovu inatiririka....




Kwa hiyo shida hapo iko wapi, kwa aliyetukana, aliyetukanwa au wewe uliyeumia na kutukana na kutukunwa kwa mwingine?
 
Kwa hiyo shida hapo iko wapi, kwa aliyetukana, aliyetukanwa au wewe uliyeumia na kutukana na kutukunwa kwa mwingine?

Mimi niliyeumia pembeni maana hats wewe ukinitukana huku JF pamoja na kwamba sikufahamu lakini nitatokwa mipovu utakimbia.
 
Mimi niliyeumia pembeni maana hats wewe ukinitukana huku JF pamoja na kwamba sikufahamu lakini nitatokwa mipovu utakimbia.


Uhuru Kenya dont give a shit, he is billionaire, he owns the whole Kenya, you suckas can go to hell, mnaweza kumtukana mnavyotaka na kwenda kulala Mathare huko kwenye mbu, mwisho wa siku anapata whisky yake na kuenjoy maisha taratiibu!
 
Demokrasia ni kuruhusu matusi?
.

Sijasema demokrasia ni kuruhusu matusi. Amesema Matusi hayawezi kumbadilisha kitu. hiyo ndo nukuu katika mikutano yake. Kwa mukhutadha huo nina sababu ya kumuona mdemokrasia

Ni mtazamo wangu. Jikite na mtazamo wako
 
Bahati nzuri hajataja jina la mtu yeyote. Mambo haya hayahitaji hasira.
 
ni kweli yale ni matusi na ni makosa makubwa sana ila kwa rais mzima kuingilia mambo kama haya ni kujishusha hadhi...obama alipokuwa rais aliitwa maneno mengi sana tena mabaya ila hamna aliyejishugulisha kukamatana...as long as it does not fall under hate speech, hakuna kazi hapo...

Yule ni rais na ana watu wanaompenda ndugu jamaa na marafiki. Hao ndiyo watakao chukua hatua. wanaweza kumfanya lolote huyo jamaa mwenye matusi.

Halafu usilinganishe marekani na afrika. kule mtu kuongea mambo ya hovyo kwao siyo shida sana. lakini siyo huku. Uhuru anaweza hata asishughuluke na huyo jamaa mwenye matusi, lakini kuna watu watatoka kusikojulikana (wanaompenda uhuru) watamshughulikia.
 
Student jailed for insulting President Kenyatta

FRIDAY JANUARY 2 2015

A university student will spend two years in jail for insulting President Uhuru Kenyatta on social media for signing the new security laws.

Alan Wadi Okengo alias Lieutenant Wadi, a Political Science student at the Moi University, was handed the sentence on Friday after pleading guilty to charges of hate speech and undermining the authority of a public officer.

The Fourth Year student posted the two offensive messages, including unprintable insults, when Parliament passed the Security Laws (Amendment) Bill on December 18 and the following day when the president assented to it.

He was arrested as he attempted to sneak out of the country through the Busia border and brought to Nairobi for interrogation.

He was questioned by cyber crime detectives at the Directorate of Criminal Investigations.

Wadi, who looked composed in court, told Milimani Resident Magistrate Ann Kaguru that he was ready to apologise to President Kenyatta personally if he was spared the custodial sentence.

The accused’s plea was not considered when he was being sentenced after pleading guilty to the two charges.

In her judgment, Ms Kaguru said, “The offence is serious and a deterrent penalty is called for to serve as a warning to others abusing the social media forums.”

She proceeded to pronounce the sentence after saying that “he was convicted on his own plea of guilty”.

State counsel Mathew Karori urged the court to treat the remorseful student as a first offender.

However, he asked the magistrate to discourage abuse of the social media forums in the country.

Wadi was accused of stating on Facebook that if the judiciary was not going to intervene and reverse the alleged offending laws “the streets will salvage Kenyans if the opposition won’t lead us to the streets”.

The first indictment was that he posted a hate speech message intended to stir up ethnic hatred between various Kenyan communities by alleging that a particular tribe should be deported to their home county.

Student jailed for insulting Uhuru
Hehe, kama utatukana mheshimiwa afadhali usome Sheria kwanza.... Very thin line between freedom of speech and hate speech.

E.g if someone was to say, "This president is so stupid, like all the rest of stupid people in this country"
If the some else said, " This Kikuyu president is so stupid, like the rest of kikuyus in this county"


One of those guys will get away with it in a court of law by claiming freedom of speech, the other guy will be found guilty of hate speech
 
Yule ni rais na ana watu wanaompenda ndugu jamaa na marafiki. Hao ndiyo watakao chukua hatua. wanaweza kumfanya lolote huyo jamaa mwenye matusi.

Halafu usilinganishe marekani na afrika. kule mtu kuongea mambo ya hovyo kwao siyo shida sana. lakini siyo huku. Uhuru anaweza hata asishughuluke na huyo jamaa mwenye matusi, lakini kuna watu watatoka kusikojulikana (wanaompenda uhuru) watamshughulikia.
subiri uone...hakuna antakayejishugulisha...uhuru sio mtu wa kukamata kamata watu ovyo
puke.gif
puke.gif
puke.gif
 
Anapoelekea si kuzuri ina maana Mama Ngina ndo mbwa! I expect my lovely lady Passaris to see the kind of a boy she is trying to get involved with! An immature with milk teeth ready to suckle n grow...
 
Mdemokrasia sana huyu jamaa. Sikuwa nakubali hapo mwanzo lakini sasa ninamwelewa vilivyo.
Hivi wewe ukitukanwa mtoto wa mbwa maana yake mama yako ni mbwa, kwako wewe hiyo ndio democracy?


"Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import..[it] should develop according to a particular country"—Nyerere
 
Tunatakiwa tuiunde upya democracy tuliyoletewa na wazungu ili iendane na maadili ya kiafrika lakini pia tubadilishe baadhi ya vitu kwenye democracy tuchukue na ya kwenye mifumo ya uongozi wetu wa kiafrika sababu sio yote ya kishenzi.

Tukiendekeza udomo-krasia unavunja maadili Sidhani kama kuna mila ya kabila lolote la kiafrika linaruhusu kumtukana kiongozi wa nchi kisa tu unatofautiana nae mtazamo, huyo mimi lazima ningelala nae mbele.
 
subiri uone...hakuna antakayejishugulisha...uhuru sio mtu wa kukamata kamata watu ovyo
puke.gif
puke.gif
puke.gif

Lakini huo utovu wa nidhamu hauna uhusiano na demokrasia. Kwanza kavunja sheria ya kumtukana mtu hata asingekuwa rais. Huyo si wa kumfumbia macho.
 
Tunatakiwa tuiunde upya democracy tuliyoletewa na wazungu ili iendane na maadili ya kiafrika lakini pia tubadilishe baadhi ya vitu kwenye democracy tuchukue na ya kwenye mifumo ya uongozi wetu wa kiafrika sababu sio yote ya kishenzi.

Tukiendekeza udomo-krasia unavunja maadili Sidhani kama kuna mila ya kabila lolote la kiafrika linaruhusu kumtukana kiongozi wa nchi kisa tu unatofautiana nae mtazamo, huyo mimi lazima ningelala nae mbele.

Sikujua ipo siku nitakupa 'like'
Mtu akanitukana matusi kama hayo hata huku uraiani saint kajamba nitamfuata mpaka aikimbie nchi.
 
Mzee wa mitusi huyuu yupo cell,anyee ndoo huko tu,ila na mwenzake kuria huwa ansema atamyoa vuzi odinga alaf tunamchekea tu,I guess the puppy has matured[emoji191] [emoji191]
FB_IMG_1506356139425.jpg
 
Tunatakiwa tuiunde upya democracy tuliyoletewa na wazungu ili iendane na maadili ya kiafrika lakini pia tubadilishe baadhi ya vitu kwenye democracy tuchukue na ya kwenye mifumo ya uongozi wetu wa kiafrika sababu sio yote ya kishenzi.

Tukiendekeza udomo-krasia unavunja maadili Sidhani kama kuna mila ya kabila lolote la kiafrika linaruhusu kumtukana kiongozi wa nchi kisa tu unatofautiana nae mtazamo, huyo mimi lazima ningelala nae mbele.

in philosophy of law tunaambiwa kuwa kuna natural law halafu kuna legal positivism.

natural lawyers wanasema the law should comply to the norms and culture of the society. if you have a law that is contrary to what your society behaves then that is a bad law. again a law is not the only and only determinant of what is right or wrong. the culture can be the yard stick. something can be legally right but can be wrong as far as our norms, culture or customs is concerned. for example the former apartheid regime of South Africa was according to the law but contrary to our culture. the legal positivists try to make the world believe in written laws and abandon the natural law.
what huyo jamaa mwenye matusi alichofanya is contrary to our culture, kumtukana mtu mbaya zaidi kumtukana mfalme. huyo asiachwe asilani. kuna tofauti kubwa sana kati ya kukosoa na matusi.
 
in philosophy of law tunaambiwa kuwa kuna natural law halafu kuna legal positivism.

natural lawyers wanasema the law should comply to the norms and culture of the society. if you have a law that is contrary to what your society behaves then that is a bad law. again a law is not the only and only determinant of what is right or wrong. the culture can be the yard stick. something can be legally right but can be wrong as far as our norms, culture or customs is concerned. for example the former apartheid regime of South Africa was according to the law but contrary to our culture. the legal positivists try to make the world believe in written laws and abandon the natural law.
what huyo jamaa mwenye matusi alichofanya is contrary to our culture, kumtukana mtu mbaya zaidi kumtukana mfalme. huyo asiachwe asilani. kuna tofauti kubwa sana kati ya kukosoa na matusi.
You nailed it.

"Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import..[it] should develop according to a particular country" - Nyerere
 
Back
Top Bottom