Jamaa amtukana rais Uhuru kuwa ni 'mtoto wa mbwa' lakini yupo yupo tu

Jamaa amtukana rais Uhuru kuwa ni 'mtoto wa mbwa' lakini yupo yupo tu

Utakoma ubishi. Ogopo ulimi
2332298b167d349f7b355fb150f9bb76.jpg
 
Aisei urais ni uvumilivu, yaani binafsi hata nikibembelezwa siwezi kuthubutu kuusaka maana nitaishia kuua raia wangu. Mtu unitukane 'mtoto wa mbwa' halafu uendelee kupumua wakati nina mamlaka ya kukushughulkia, hata kama kikatiba sitakufikia, basi kuna vijana wa kazi nawatuma kwako kimya kimya unapokea mtiti wa SMG.

Hongera kwa marais mliopo, kweli muna karama ya uvumilivu, nyie mpo tofauti kabisa.
Unakuta hata huku kwenye mitandao ukitukanwa na mtu usiyemfahamu wala kumjua lakini hasira na mipovu inatiririka....

Uhuru Kenyatta‏Verified account @UKenyatta
Let us stop going around teaching our young men to insult their elders but rather focus on giving our children a quality education.




This young lad still has uncircumcised mind and immature he wasn't ready for public office.Don't bring disrepute and dishonour to public office Babu Owino hiyo kiti sio yako.
 
Haka kashoga kumbe ka Babu Owino nimemsikiliza Sonko vizuri haka kajamaa ni jamii ya Bashite wa Bongo
 
Uhuru wa kujieleza na Demokrasia Imara
Ujinga huo huwezi kumtukana kiongozi wa nchi mtoto wa mbwa halafu ukasema ni uhuru wa kujieleza. Sometimes naona Rais Magufuli yupo sahihi
 
Ila tunatofautiana uelewa. Demokrasia haimaanishi kutukana. Matusi ni kuvunja sheria. Chukulia wewe mtu anakutukana kama hivyo unaweza vumilia???
Hapo kunatofauti kubwa sana kati ya kukosoa na kutukana.
MK254
Wanadamu mnapambana kufuta msamiati "MATUSI"
Hata kama siyapendi, lakini hii ni vita ya kushindwa.
 
Ujinga huo huwezi kumtukana kiongozi wa nchi mtoto wa mbwa halafu ukasema ni uhuru wa kujieleza. Sometimes naona Rais Magufuli yupo sahihi
Ungejua kuwa binadamu na mbwa wanakitu kimoja kinafana na kina thamani sawa UHAI.

Afavyo mbwa ndivyo afavyo binadamu.

Msijipe thamani ya kufikirika kana kwamba mna ubora wa ziada.

Zaidi sana mnatengeneza ma nuclear bomb.
 
aiseee ingekua hapa kwetuwangemuokota coco
 
Ungejua kuwa binadamu na mbwa wanakitu kimoja kinafana na kina thamani sawa UHAI.

Afavyo mbwa ndivyo afavyo binadamu.

Msijipe thamani ya kufikirika kana kwamba mna ubora wa ziada.

Zaidi sana mnatengeneza ma nuclear bomb.

weweeeee kufa tunakufa sawa na viumbe vingine, lkn binadamu kaumbwa kwa mfano wa Mungu.
 
weweeeee kufa tunakufa sawa na viumbe vingine, lkn binadamu kaumbwa kwa mfano wa Mungu.
Binadamu kaumbwa kwa mfano wa binadam.
Ile lugha wanaielewa wataalam wa lugha, sio waumini.
 
Binadamu kaumbwa kwa mfano wa binadam.
Ile lugha wanaielewa wataalam wa lugha, sio waumini.
aisee nisije nikawa anaongea na mtu ambaye haiamini biblia. huyo binadamu alitoka wapi??
 
Back
Top Bottom