DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ni jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke,
Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.
KWA KUANZIA,
Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili sote Ni wafanyabiasha wa bidhaa Aina Moja.
Ofisi zetu ziko jirani pia (mji ule ule), Mara kwa mara husafiri pamoja kufata Mzigo, husaidiana hapa na pale mmoja wapo anapokua amekwama n.k
Kiukweli, Kwa sasa wote Tumekua marafiki Tena zaidi ya ndugu maana ukaribu wetu una mwaka wa 10 na zaidi Sasa.
Mimi na brother (Namuitaga brother coz katupita wote kiumri) wote tumeoa .
Ila Dogo wetu uyu
(tunamwitaga dogo coz wote tunamzidi kiumri) hajaoa bado ila ana mchumba wake wakike wamedumu miaka 4 Sasa na alkua alkua anategemea mwakani afunge nae ndoa baada ya kumalizia ujenzi wa nyumba yake ya kuishi na familia.
Kama unavojua marafiki watatu tuloshibana miaka na miaka huamua kuziunganisha familia zetu pamoja na mwaka Jana mwezi Kama huu Tuliunganisha familia zote 3 (mimi na familia yangu, brother na familia yake, Dogo na mchumba wake) tukaendelea wote tukapanda gari Moja kwenda kutalii pamoja MIKUMI na kurudi pamoja.
Boxing day ya mwaka huu nayo tulipanga itukute wote SERENGETI tukaenjoy na familia zetu.
KILICHOTOKEA JANA,
Nikiwa njian asbh naelekea bank, nkapita ofsin Kwake nkaona pamefungwa.
Wakat wa mchana Tena narudi nkaona bado pamefungwa,
Ikabid nimpigie
"vipi dogo mbona ofsin ufungui leo ndugu yangu?"
Dogo akanambia anamatatizo makubwa , Kama naweza niende nyumban kwake,
Anamaongezi na Mimi na kuna kitu kinamchanganya Sana kichwani anajihisi anatamani TU aage dunia.
Nilipofika akaanza kinisimulia,
" kaka Mchumba wangu wa miaka yote J kanisaliti, wiki ijayo ni ndoa yake anaolewa na mtu mwingine, Na keshalipiwa mahali tayar".
Dah! Moyo ulienda mbio Sana sikuamini maneno Yale. [emoji848]
Nkamwambia
"Acha masihara wewe, iyo haiwezekan[emoji848]"
Akasema
"wee kama huamini mpigie rafiki yake wa karibu Mama P akwambie kila kitu maana mimi kila nikipiga simu yangu hapokei, nilipomtafuta shoga Ake mama p ndo kanieleza kila kitu"
Basi nikaendelea hewan kumcheki uyo mama p,
Kwa maelezo ya mama p
"Shemeji Mimi mwenyewe mwanzoni sikuamini nilichokiona, J.pili ilopita shoga angu J alinialika kua analipiwa mahali nihudhurie shughuli yake, nikajua rafiki ako ndo atakua anahusika.
Nilifika tukapika na kumpamba mwali kwa ajili ya ugeni wa washenga kuleta mahali nikastuka kuona mhusika Ni rafiki yenu B"
"Kwaiyo Mimi sijui Nini kinaendelea nikajua masihara, Ila baadae mashehe wakachoma ubani na Dua mbalimbali na Dua ikawa ni kuombea baraka uchumba wa B na J"
Dah! Wakuu ,
Kiukweli moyo ulistuka sana, nikawaza mambo mengi Sana tuloshea na Kaka etu uyu.
Inawezekanaje kaka B amuoe J wkt Ni shemeji yake kabisa Yule na wanaheshimiana Sana.
Inakuaje kuaje amfanyie mwenzetu ishu Kama hiyo.
Basi inabidi nimkatie uyu mdada simu nikampigia uyu brother etu Kama ni kweli hizi habar.
Jamaa bila hata hofu akanambia,
"Hizo habari Ni kweli, J namuoa mimi na amekubali kabisa kusilimu na atakua MKE wangu wa pili."
Nkamwambia,
"Brother Unakosea sana, uyo Ni mchumba wa Dogo uyo na wewe unalifahamu Hilo na Wana mwaka wa 4 huu Sasa"
Akasema,
"Kaka Mimi mambo yao hayanihusu, nnachojua washaachana nakwasasa nnachojua Mimi na J ndo tunapendana na mahali nishalipa tayar. Na ndoa Ni mwezi huu mwishoni. Kama mnaweza nisapoti sawa kama hamtapata nafasi haina shida ntalimaliza TU mwenyewe"
Nkamwambia,
"Brother Unakosea Sana, wee sio wa kumfanyia hivyo Dogo, ukzingatia Dogo ndo alkua anamtegemea uyo awe MKE wake wa Kwanza maishani mwake, na wewe Umeshaoa tayari na unajua kila kitu khs Hawa madogo tangu mwanzoni"
Akasema,
"Kaka , sahivi Mimi Sina MDA wa kulijadili hili, Kama Kuna malalamiko Basi amlaumu mwanamke wake maana yeye ndo anataka kuolewa na Mimi. Na Mimi Sina tatizo na Hilo. Mchana mwema Kaka, kuna mahali nawai."
Kisha akakata simu.
Dah!
Kiukweli Maneno Yale yaliniumiza Sana.
Dogo nahisi yalimuumiza zaidi mpaka akawa anabubujikwa na machozi pamoja na kamasi utadhani mtoto mdogo maana simu ilikua loudspeaker MDA ule.
Sahivi
Nmewaita jamaa zetu wengine wawili waje hapa kwa Dogo wamuweke sawa, maana Hali nnayomuona nayo asijekaa peke Ake akajidhuru.
Nmeaga naenda kufunga Ofisi narudi tukae nae kufikirie tunamshaur vipi kuhusiana na ili.....
USHAUR WENU kwenye hili Ni muhimu Sana wakuu,
Natanguliza shukran[emoji120]
Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.
KWA KUANZIA,
Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili sote Ni wafanyabiasha wa bidhaa Aina Moja.
Ofisi zetu ziko jirani pia (mji ule ule), Mara kwa mara husafiri pamoja kufata Mzigo, husaidiana hapa na pale mmoja wapo anapokua amekwama n.k
Kiukweli, Kwa sasa wote Tumekua marafiki Tena zaidi ya ndugu maana ukaribu wetu una mwaka wa 10 na zaidi Sasa.
Mimi na brother (Namuitaga brother coz katupita wote kiumri) wote tumeoa .
Ila Dogo wetu uyu
(tunamwitaga dogo coz wote tunamzidi kiumri) hajaoa bado ila ana mchumba wake wakike wamedumu miaka 4 Sasa na alkua alkua anategemea mwakani afunge nae ndoa baada ya kumalizia ujenzi wa nyumba yake ya kuishi na familia.
Kama unavojua marafiki watatu tuloshibana miaka na miaka huamua kuziunganisha familia zetu pamoja na mwaka Jana mwezi Kama huu Tuliunganisha familia zote 3 (mimi na familia yangu, brother na familia yake, Dogo na mchumba wake) tukaendelea wote tukapanda gari Moja kwenda kutalii pamoja MIKUMI na kurudi pamoja.
Boxing day ya mwaka huu nayo tulipanga itukute wote SERENGETI tukaenjoy na familia zetu.
KILICHOTOKEA JANA,
Nikiwa njian asbh naelekea bank, nkapita ofsin Kwake nkaona pamefungwa.
Wakat wa mchana Tena narudi nkaona bado pamefungwa,
Ikabid nimpigie
"vipi dogo mbona ofsin ufungui leo ndugu yangu?"
Dogo akanambia anamatatizo makubwa , Kama naweza niende nyumban kwake,
Anamaongezi na Mimi na kuna kitu kinamchanganya Sana kichwani anajihisi anatamani TU aage dunia.
Nilipofika akaanza kinisimulia,
" kaka Mchumba wangu wa miaka yote J kanisaliti, wiki ijayo ni ndoa yake anaolewa na mtu mwingine, Na keshalipiwa mahali tayar".
Dah! Moyo ulienda mbio Sana sikuamini maneno Yale. [emoji848]
Nkamwambia
"Acha masihara wewe, iyo haiwezekan[emoji848]"
Akasema
"wee kama huamini mpigie rafiki yake wa karibu Mama P akwambie kila kitu maana mimi kila nikipiga simu yangu hapokei, nilipomtafuta shoga Ake mama p ndo kanieleza kila kitu"
Basi nikaendelea hewan kumcheki uyo mama p,
Kwa maelezo ya mama p
"Shemeji Mimi mwenyewe mwanzoni sikuamini nilichokiona, J.pili ilopita shoga angu J alinialika kua analipiwa mahali nihudhurie shughuli yake, nikajua rafiki ako ndo atakua anahusika.
Nilifika tukapika na kumpamba mwali kwa ajili ya ugeni wa washenga kuleta mahali nikastuka kuona mhusika Ni rafiki yenu B"
"Kwaiyo Mimi sijui Nini kinaendelea nikajua masihara, Ila baadae mashehe wakachoma ubani na Dua mbalimbali na Dua ikawa ni kuombea baraka uchumba wa B na J"
Dah! Wakuu ,
Kiukweli moyo ulistuka sana, nikawaza mambo mengi Sana tuloshea na Kaka etu uyu.
Inawezekanaje kaka B amuoe J wkt Ni shemeji yake kabisa Yule na wanaheshimiana Sana.
Inakuaje kuaje amfanyie mwenzetu ishu Kama hiyo.
Basi inabidi nimkatie uyu mdada simu nikampigia uyu brother etu Kama ni kweli hizi habar.
Jamaa bila hata hofu akanambia,
"Hizo habari Ni kweli, J namuoa mimi na amekubali kabisa kusilimu na atakua MKE wangu wa pili."
Nkamwambia,
"Brother Unakosea sana, uyo Ni mchumba wa Dogo uyo na wewe unalifahamu Hilo na Wana mwaka wa 4 huu Sasa"
Akasema,
"Kaka Mimi mambo yao hayanihusu, nnachojua washaachana nakwasasa nnachojua Mimi na J ndo tunapendana na mahali nishalipa tayar. Na ndoa Ni mwezi huu mwishoni. Kama mnaweza nisapoti sawa kama hamtapata nafasi haina shida ntalimaliza TU mwenyewe"
Nkamwambia,
"Brother Unakosea Sana, wee sio wa kumfanyia hivyo Dogo, ukzingatia Dogo ndo alkua anamtegemea uyo awe MKE wake wa Kwanza maishani mwake, na wewe Umeshaoa tayari na unajua kila kitu khs Hawa madogo tangu mwanzoni"
Akasema,
"Kaka , sahivi Mimi Sina MDA wa kulijadili hili, Kama Kuna malalamiko Basi amlaumu mwanamke wake maana yeye ndo anataka kuolewa na Mimi. Na Mimi Sina tatizo na Hilo. Mchana mwema Kaka, kuna mahali nawai."
Kisha akakata simu.
Dah!
Kiukweli Maneno Yale yaliniumiza Sana.
Dogo nahisi yalimuumiza zaidi mpaka akawa anabubujikwa na machozi pamoja na kamasi utadhani mtoto mdogo maana simu ilikua loudspeaker MDA ule.
Sahivi
Nmewaita jamaa zetu wengine wawili waje hapa kwa Dogo wamuweke sawa, maana Hali nnayomuona nayo asijekaa peke Ake akajidhuru.
Nmeaga naenda kufunga Ofisi narudi tukae nae kufikirie tunamshaur vipi kuhusiana na ili.....
USHAUR WENU kwenye hili Ni muhimu Sana wakuu,
Natanguliza shukran[emoji120]