Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Mtihani mzito sana. Apige moyo konde na azingatie biashara zake asiyumbe
Inaumiza Sana,
Dogo mwenyewe nikitembelea saiti kwake ananambia .

"Hili Ni bafu kubwa kabisa kwa ajili ya shemeji yako, si unajua mi nnavoogaga Kama kunguru.[emoji2]"

"Hapa vitawekwa vipodoz vya kila Aina shemej ako asiangaike uko masaluni"

Basi tunacheeeka mpaka basi[emoji4]

Sahivi jamaa amekua kamakapata msiba mzito, yaan Akili yake Naona haiko sawa kabisa.
 
Mwambie Dogo anywe maji yakutosha.



Kisha aseme 'Eeeh Bwana ahsante kwakuniondolea huyu kiroboto, mdudu, mbwa,pakaaa ,shetani ,chokoooo"



Kisha Dogo , Aendeleze upambanaji wake wa biashara .


ACHAGUE CHOMBO KIKALIIIII SANAAAA.




Kama Dogo wanaakili kama zangu, ajifanye kasahau, tu ,ahakikishe anapata namba za Mke mkubwa wa Jamaa.


Afanye awezavyo, MAANA wanawake hata kama ni waislaam ,huwa hawapendani.

Mke mkubwa hapo alipo Moyoni hayupo sawa...nayeye haamini kabisa.



Kisha naye amtombee, amtombee, na hakikisha Kaka yenu B kajua kua Dogo kamtombea Mke mkubwa.


Utakuja kunishukur [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hata sie wengine kdg tuna asili ya ukibaka kwa Aina flani kwenye mambo Aya mahusiano[emoji2]

Dogo mwenyewe uyu hakua na mambo hizo za wanawake sana,
Yeye alkua Ni mwanmke wake uyo TU. Sijawahi kuskia ata ana Dem wa kusingiziwa.

Yeye Akili,moyo wake, na mawazo yake yalkua kwa mwanamke Yule TU.
 
Ni jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke,

Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.

KWA KUANZIA,
Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili sote Ni wafanyabiasha wa bidhaa Aina Moja.
Ofisi zetu ziko jirani pia (mji ule ule), Mara kwa mara husafiri pamoja kufata Mzigo, husaidiana hapa na pale mmoja wapo anapokua amekwama n.k

Kiukweli, Kwa sasa wote Tumekua marafiki Tena zaidi ya ndugu maana ukaribu wetu una mwaka wa 10 na zaidi Sasa.

Mimi na brother (Namuitaga brother coz katupita wote kiumri) wote tumeoa .

Ila Dogo wetu uyu
(tunamwitaga dogo coz wote tunamzidi kiumri) hajaoa bado ila ana mchumba wake wakike wamedumu miaka 4 Sasa na alkua alkua anategemea mwakani afunge nae ndoa baada ya kumalizia ujenzi wa nyumba yake ya kuishi na familia.

Kama unavojua marafiki watatu tuloshibana miaka na miaka huamua kuziunganisha familia zetu pamoja na mwaka Jana mwezi Kama huu Tuliunganisha familia zote 3 (mimi na familia yangu, brother na familia yake, Dogo na mchumba wake) tukaendelea wote tukapanda gari Moja kwenda kutalii pamoja MIKUMI na kurudi pamoja.

Boxing day ya mwaka huu nayo tulipanga itukute wote SERENGETI tukaenjoy na familia zetu.

KILICHOTOKEA JANA,
Nikiwa njian asbh naelekea bank, nkapita ofsin Kwake nkaona pamefungwa.

Wakat wa mchana Tena narudi nkaona bado pamefungwa,

Ikabid nimpigie
"vipi dogo mbona ofsin ufungui leo ndugu yangu?"

Dogo akanambia anamatatizo makubwa , Kama naweza niende nyumban kwake,
Anamaongezi na Mimi na kuna kitu kinamchanganya Sana kichwani anajihisi anatamani TU aage dunia.

Nilipofika akaanza kinisimulia,
" kaka Mchumba wangu wa miaka yote J kanisaliti, wiki ijayo ni ndoa yake anaolewa na mtu mwingine, Na keshalipiwa mahali tayar".

Dah! Moyo ulienda mbio Sana sikuamini maneno Yale. [emoji848]

Nkamwambia
"Acha masihara wewe, iyo haiwezekan[emoji848]"

Akasema
"wee kama huamini mpigie rafiki yake wa karibu Mama P akwambie kila kitu maana mimi kila nikipiga simu yangu hapokei, nilipomtafuta shoga Ake mama p ndo kanieleza kila kitu"

Basi nikaendelea hewan kumcheki uyo mama p,
Kwa maelezo ya mama p

"Shemeji Mimi mwenyewe mwanzoni sikuamini nilichokiona, J.pili ilopita shoga angu J alinialika kua analipiwa mahali nihudhurie shughuli yake, nikajua rafiki ako ndo atakua anahusika.
Nilifika tukapika na kumpamba mwali kwa ajili ya ugeni wa washenga kuleta mahali nikastuka kuona mhusika Ni rafiki yenu B"

"Kwaiyo Mimi sijui Nini kinaendelea nikajua masihara, Ila baadae mashehe wakachoma ubani na Dua mbalimbali na Dua ikawa ni kuombea baraka uchumba wa B na J"

Dah! Wakuu ,
Kiukweli moyo ulistuka sana, nikawaza mambo mengi Sana tuloshea na Kaka etu uyu.
Inawezekanaje kaka B amuoe J wkt Ni shemeji yake kabisa Yule na wanaheshimiana Sana.

Inakuaje kuaje amfanyie mwenzetu ishu Kama hiyo.

Basi inabidi nimkatie uyu mdada simu nikampigia uyu brother etu Kama ni kweli hizi habar.

Jamaa bila hata hofu akanambia,
"Hizo habari Ni kweli, J namuoa mimi na amekubali kabisa kusilimu na atakua MKE wangu wa pili."

Nkamwambia,
"Brother Unakosea sana, uyo Ni mchumba wa Dogo uyo na wewe unalifahamu Hilo na Wana mwaka wa 4 huu Sasa"

Akasema,
"Kaka Mimi mambo yao hayanihusu, nnachojua washaachana nakwasasa nnachojua Mimi na J ndo tunapendana na mahali nishalipa tayar. Na ndoa Ni mwezi huu mwishoni. Kama mnaweza nisapoti sawa kama hamtapata nafasi haina shida ntalimaliza TU mwenyewe"

Nkamwambia,
"Brother Unakosea Sana, wee sio wa kumfanyia hivyo Dogo, ukzingatia Dogo ndo alkua anamtegemea uyo awe MKE wake wa Kwanza maishani mwake, na wewe Umeshaoa tayari na unajua kila kitu khs Hawa madogo tangu mwanzoni"

Akasema,
"Kaka , sahivi Mimi Sina MDA wa kulijadili hili, Kama Kuna malalamiko Basi amlaumu mwanamke wake maana yeye ndo anataka kuolewa na Mimi. Na Mimi Sina tatizo na Hilo. Mchana mwema Kaka, kuna mahali nawai."

Kisha akakata simu.

Dah!
Kiukweli Maneno Yale yaliniumiza Sana.

Dogo nahisi yalimuumiza zaidi mpaka akawa anabubujikwa na machozi pamoja na kamasi utadhani mtoto mdogo maana simu ilikua loudspeaker MDA ule.

Sahivi
Nmewaita jamaa zetu wengine wawili waje hapa kwa Dogo wamuweke sawa, maana Hali nnayomuona nayo asijekaa peke Ake akajidhuru.

Nmeaga naenda kufunga Ofisi narudi tukae nae kufikirie tunamshaur vipi kuhusiana na ili.....

USHAUR WENU kwenye hili Ni muhimu Sana wakuu,

Natanguliza shukran
Inaonesha jamaa alkua anakula shemeji yake ktambo sanaa
 
Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.

Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.

Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."

Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"

Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.

Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.

Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."

Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"

Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."

Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"

Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"

Nikasema,
"Sawa"

Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.

Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.

Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.

SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH[emoji848]

ushauri wenu tafadhali
Skhz kuna kulazmshana ndoa duuh mbn utoto huu
 
Ushauri wangu:
1
)Kuwa makini na mkeo na huyo B inawezekana kaishamtafuna
2)Mnunulie mkeo na huyo shemeji yako zile dildo ulizoziona Kariakoo
3)Mnunulie dogo zile chupi zenye uchi kwa wachina
4)Fanya Biashara,pata faida,nenda kwa mkeo na umpende sana la sivyo atat[]mbwa na B

Nakutakia biashara njema !
 
Bora hata sie wengine kdg tuna asili ya ukibaka kwa Aina flani kwenye mambo Aya mahusiano[emoji2]

Dogo mwenyewe uyu hakua na mambo hizo za wanawake sana,
Yeye alkua Ni mwanmke wake uyo TU. Sijawahi kuskia ata ana Dem wa kusingiziwa.

Yeye Akili,moyo wake, na mawazo yake yalkua kwa mwanamke Yule TU.
Hawa Vijana Nice guys ,huwa wanaumizwa sanaaa ,mapenzi sio yao kabisaaa .


Wao wanatakiwa wapate wanawake walikua kiumri na kiakili.


Ila hizi pisi kali , haziwafai.
 
Skhz kuna kulazmshana ndoa duuh mbn utoto huu
Akili yangu inakataa kua uyu mwanamke kweli kalazimishwa Ndoa,

Ndo maana najaribu akija nimpe Ito idea ya kutoroshwa kufichwa kisha nione kama kweli atakubali.

Akigoma ntajua anatufanyia maigizo kwa hizo sentence za kalazimishwa
 
Ni jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke,

Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.

KWA KUANZIA,
Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili sote Ni wafanyabiasha wa bidhaa Aina Moja.
Ofisi zetu ziko jirani pia (mji ule ule), Mara kwa mara husafiri pamoja kufata Mzigo, husaidiana hapa na pale mmoja wapo anapokua amekwama n.k

Kiukweli, Kwa sasa wote Tumekua marafiki Tena zaidi ya ndugu maana ukaribu wetu una mwaka wa 10 na zaidi Sasa.

Mimi na brother (Namuitaga brother coz katupita wote kiumri) wote tumeoa .

Ila Dogo wetu uyu
(tunamwitaga dogo coz wote tunamzidi kiumri) hajaoa bado ila ana mchumba wake wakike wamedumu miaka 4 Sasa na alkua alkua anategemea mwakani afunge nae ndoa baada ya kumalizia ujenzi wa nyumba yake ya kuishi na familia.

Kama unavojua marafiki watatu tuloshibana miaka na miaka huamua kuziunganisha familia zetu pamoja na mwaka Jana mwezi Kama huu Tuliunganisha familia zote 3 (mimi na familia yangu, brother na familia yake, Dogo na mchumba wake) tukaendelea wote tukapanda gari Moja kwenda kutalii pamoja MIKUMI na kurudi pamoja.

Boxing day ya mwaka huu nayo tulipanga itukute wote SERENGETI tukaenjoy na familia zetu.

KILICHOTOKEA JANA,
Nikiwa njian asbh naelekea bank, nkapita ofsin Kwake nkaona pamefungwa.

Wakat wa mchana Tena narudi nkaona bado pamefungwa,

Ikabid nimpigie
"vipi dogo mbona ofsin ufungui leo ndugu yangu?"

Dogo akanambia anamatatizo makubwa , Kama naweza niende nyumban kwake,
Anamaongezi na Mimi na kuna kitu kinamchanganya Sana kichwani anajihisi anatamani TU aage dunia.

Nilipofika akaanza kinisimulia,
" kaka Mchumba wangu wa miaka yote J kanisaliti, wiki ijayo ni ndoa yake anaolewa na mtu mwingine, Na keshalipiwa mahali tayar".

Dah! Moyo ulienda mbio Sana sikuamini maneno Yale. [emoji848]

Nkamwambia
"Acha masihara wewe, iyo haiwezekan[emoji848]"

Akasema
"wee kama huamini mpigie rafiki yake wa karibu Mama P akwambie kila kitu maana mimi kila nikipiga simu yangu hapokei, nilipomtafuta shoga Ake mama p ndo kanieleza kila kitu"

Basi nikaendelea hewan kumcheki uyo mama p,
Kwa maelezo ya mama p

"Shemeji Mimi mwenyewe mwanzoni sikuamini nilichokiona, J.pili ilopita shoga angu J alinialika kua analipiwa mahali nihudhurie shughuli yake, nikajua rafiki ako ndo atakua anahusika.
Nilifika tukapika na kumpamba mwali kwa ajili ya ugeni wa washenga kuleta mahali nikastuka kuona mhusika Ni rafiki yenu B"

"Kwaiyo Mimi sijui Nini kinaendelea nikajua masihara, Ila baadae mashehe wakachoma ubani na Dua mbalimbali na Dua ikawa ni kuombea baraka uchumba wa B na J"

Dah! Wakuu ,
Kiukweli moyo ulistuka sana, nikawaza mambo mengi Sana tuloshea na Kaka etu uyu.
Inawezekanaje kaka B amuoe J wkt Ni shemeji yake kabisa Yule na wanaheshimiana Sana.

Inakuaje kuaje amfanyie mwenzetu ishu Kama hiyo.

Basi inabidi nimkatie uyu mdada simu nikampigia uyu brother etu Kama ni kweli hizi habar.

Jamaa bila hata hofu akanambia,
"Hizo habari Ni kweli, J namuoa mimi na amekubali kabisa kusilimu na atakua MKE wangu wa pili."

Nkamwambia,
"Brother Unakosea sana, uyo Ni mchumba wa Dogo uyo na wewe unalifahamu Hilo na Wana mwaka wa 4 huu Sasa"

Akasema,
"Kaka Mimi mambo yao hayanihusu, nnachojua washaachana nakwasasa nnachojua Mimi na J ndo tunapendana na mahali nishalipa tayar. Na ndoa Ni mwezi huu mwishoni. Kama mnaweza nisapoti sawa kama hamtapata nafasi haina shida ntalimaliza TU mwenyewe"

Nkamwambia,
"Brother Unakosea Sana, wee sio wa kumfanyia hivyo Dogo, ukzingatia Dogo ndo alkua anamtegemea uyo awe MKE wake wa Kwanza maishani mwake, na wewe Umeshaoa tayari na unajua kila kitu khs Hawa madogo tangu mwanzoni"

Akasema,
"Kaka , sahivi Mimi Sina MDA wa kulijadili hili, Kama Kuna malalamiko Basi amlaumu mwanamke wake maana yeye ndo anataka kuolewa na Mimi. Na Mimi Sina tatizo na Hilo. Mchana mwema Kaka, kuna mahali nawai."

Kisha akakata simu.

Dah!
Kiukweli Maneno Yale yaliniumiza Sana.

Dogo nahisi yalimuumiza zaidi mpaka akawa anabubujikwa na machozi pamoja na kamasi utadhani mtoto mdogo maana simu ilikua loudspeaker MDA ule.

Sahivi
Nmewaita jamaa zetu wengine wawili waje hapa kwa Dogo wamuweke sawa, maana Hali nnayomuona nayo asijekaa peke Ake akajidhuru.

Nmeaga naenda kufunga Ofisi narudi tukae nae kufikirie tunamshaur vipi kuhusiana na ili.....

USHAUR WENU kwenye hili Ni muhimu Sana wakuu,

Natanguliza shukran[emoji120]
[emoji3516]
ADUI WA MAENDELEO YA MWALIMU NI MWALIMU.

OGOPA SANA KUNDI LA WATU WANAOKWAMBIA "Tuko Pamoja".
[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Ushauri wangu:
1
)Kuwa makini na mkeo na huyo B inawezekana kaishamtafuna
2)Mnunulie mkeo na huyo shemeji yako zile dildo ulizoziona Kariakoo
3)Mnunulie dogo zile chupi zenye uchi kwa wachina
4)Fanya Biashara,pata faida,nenda kwa mkeo na umpende sana la sivyo atat[]mbwa na B

Nakutakia biashara njema !
Aisee Uyu jamaa ile trust nae imepotea kabisa.

Sio kwa hizi tamaa za fisi.

na huenda amekua akimtamani shemej yake tangu zamani.
 
Hawa Vijana Nice guys ,huwa wanaumizwa sanaaa ,mapenzi sio yao kabisaaa .


Wao wanatakiwa wapate wanawake walikua kiumri na kiakili.


Ila hizi pisi kali , haziwafai.
Jamaa Ni mtu mmoja mkimya Sana,
Sisi wengine ndo tulkua tunaonekana tuna makando kando ya kufa mtu.

Sahivi,
Anaugulia ndani kwa ndani
 
Afu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,

Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.

Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.

Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.

Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
 
Sidhani Kwa familia za bongo et walazimishe binti yao aolewe tena na dini tofauti ,!!??Hapana ,wangekuwa dini Moja sawa ila hadi kufikia kusilimu amini huyo B yuko sahihi huyo demu ndio ametaka kuolewa nae TU. Kama binti anajitegemea hadi na gari ya kutembelea kama hivyo ache uongo wake
 
Ni jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke,

Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.

KWA KUANZIA,
Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili sote Ni wafanyabiasha wa bidhaa Aina Moja.
Ofisi zetu ziko jirani pia (mji ule ule), Mara kwa mara husafiri pamoja kufata Mzigo, husaidiana hapa na pale mmoja wapo anapokua amekwama n.k

Kiukweli, Kwa sasa wote Tumekua marafiki Tena zaidi ya ndugu maana ukaribu wetu una mwaka wa 10 na zaidi Sasa.

Mimi na brother (Namuitaga brother coz katupita wote kiumri) wote tumeoa .

Ila Dogo wetu uyu
(tunamwitaga dogo coz wote tunamzidi kiumri) hajaoa bado ila ana mchumba wake wakike wamedumu miaka 4 Sasa na alkua alkua anategemea mwakani afunge nae ndoa baada ya kumalizia ujenzi wa nyumba yake ya kuishi na familia.

Kama unavojua marafiki watatu tuloshibana miaka na miaka huamua kuziunganisha familia zetu pamoja na mwaka Jana mwezi Kama huu Tuliunganisha familia zote 3 (mimi na familia yangu, brother na familia yake, Dogo na mchumba wake) tukaendelea wote tukapanda gari Moja kwenda kutalii pamoja MIKUMI na kurudi pamoja.

Boxing day ya mwaka huu nayo tulipanga itukute wote SERENGETI tukaenjoy na familia zetu.

KILICHOTOKEA JANA,
Nikiwa njian asbh naelekea bank, nkapita ofsin Kwake nkaona pamefungwa.

Wakat wa mchana Tena narudi nkaona bado pamefungwa,

Ikabid nimpigie
"vipi dogo mbona ofsin ufungui leo ndugu yangu?"

Dogo akanambia anamatatizo makubwa , Kama naweza niende nyumban kwake,
Anamaongezi na Mimi na kuna kitu kinamchanganya Sana kichwani anajihisi anatamani TU aage dunia.

Nilipofika akaanza kinisimulia,
" kaka Mchumba wangu wa miaka yote J kanisaliti, wiki ijayo ni ndoa yake anaolewa na mtu mwingine, Na keshalipiwa mahali tayar".

Dah! Moyo ulienda mbio Sana sikuamini maneno Yale. [emoji848]

Nkamwambia
"Acha masihara wewe, iyo haiwezekan[emoji848]"

Akasema
"wee kama huamini mpigie rafiki yake wa karibu Mama P akwambie kila kitu maana mimi kila nikipiga simu yangu hapokei, nilipomtafuta shoga Ake mama p ndo kanieleza kila kitu"

Basi nikaendelea hewan kumcheki uyo mama p,
Kwa maelezo ya mama p

"Shemeji Mimi mwenyewe mwanzoni sikuamini nilichokiona, J.pili ilopita shoga angu J alinialika kua analipiwa mahali nihudhurie shughuli yake, nikajua rafiki ako ndo atakua anahusika.
Nilifika tukapika na kumpamba mwali kwa ajili ya ugeni wa washenga kuleta mahali nikastuka kuona mhusika Ni rafiki yenu B"

"Kwaiyo Mimi sijui Nini kinaendelea nikajua masihara, Ila baadae mashehe wakachoma ubani na Dua mbalimbali na Dua ikawa ni kuombea baraka uchumba wa B na J"

Dah! Wakuu ,
Kiukweli moyo ulistuka sana, nikawaza mambo mengi Sana tuloshea na Kaka etu uyu.
Inawezekanaje kaka B amuoe J wkt Ni shemeji yake kabisa Yule na wanaheshimiana Sana.

Inakuaje kuaje amfanyie mwenzetu ishu Kama hiyo.

Basi inabidi nimkatie uyu mdada simu nikampigia uyu brother etu Kama ni kweli hizi habar.

Jamaa bila hata hofu akanambia,
"Hizo habari Ni kweli, J namuoa mimi na amekubali kabisa kusilimu na atakua MKE wangu wa pili."

Nkamwambia,
"Brother Unakosea sana, uyo Ni mchumba wa Dogo uyo na wewe unalifahamu Hilo na Wana mwaka wa 4 huu Sasa"

Akasema,
"Kaka Mimi mambo yao hayanihusu, nnachojua washaachana nakwasasa nnachojua Mimi na J ndo tunapendana na mahali nishalipa tayar. Na ndoa Ni mwezi huu mwishoni. Kama mnaweza nisapoti sawa kama hamtapata nafasi haina shida ntalimaliza TU mwenyewe"

Nkamwambia,
"Brother Unakosea Sana, wee sio wa kumfanyia hivyo Dogo, ukzingatia Dogo ndo alkua anamtegemea uyo awe MKE wake wa Kwanza maishani mwake, na wewe Umeshaoa tayari na unajua kila kitu khs Hawa madogo tangu mwanzoni"

Akasema,
"Kaka , sahivi Mimi Sina MDA wa kulijadili hili, Kama Kuna malalamiko Basi amlaumu mwanamke wake maana yeye ndo anataka kuolewa na Mimi. Na Mimi Sina tatizo na Hilo. Mchana mwema Kaka, kuna mahali nawai."

Kisha akakata simu.

Dah!
Kiukweli Maneno Yale yaliniumiza Sana.

Dogo nahisi yalimuumiza zaidi mpaka akawa anabubujikwa na machozi pamoja na kamasi utadhani mtoto mdogo maana simu ilikua loudspeaker MDA ule.

Sahivi
Nmewaita jamaa zetu wengine wawili waje hapa kwa Dogo wamuweke sawa, maana Hali nnayomuona nayo asijekaa peke Ake akajidhuru.

Nmeaga naenda kufunga Ofisi narudi tukae nae kufikirie tunamshaur vipi kuhusiana na ili.....

USHAUR WENU kwenye hili Ni muhimu Sana wakuu,

Natanguliza shukran[emoji120]
Kidonge hicho
 
Afu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,

Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.

Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.

Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.

Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]

Tatizo wanatanguliza hisia mzee, hapo jamaa atakuwa kamuimbisha Kwa maeneno matamu , kama kawaida ya michepuko mwishowe kabeba mazima
 
Back
Top Bottom