Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Sidhani Kwa familia za bongo et walazimishe binti yao aolewe tena na dini tofauti ,!!??Hapana ,wangekuwa dini Moja sawa ila hadi kufikia kusilimu amini huyo B yuko sahihi huyo demu ndio ametaka kuolewa nae TU. Kama binti anajitegemea hadi na gari ya kutembelea kama hivyo ache uongo wake
Akili yangu inanambia anajiliza uwongo kua kalazimishwa.

Afu kingine nnavojua,
Mpaka aolewe na jamaa sio kwei kwamba jamaa hajawai hata kumuonja.

Uyu brother Hana roho iyo eti akaoe mwanamke hajamuonja.

Na Kama kamuonja hatuwezi kusema eti na Hilo nalo kamlazimisha au alimbaka
 
Tatizo wanatanguliza hisia mzee, hapo jamaa atakuwa kamuimbisha Kwa maeneno matamu , kama kawaida ya michepuko mwishowe kabeba mazima
Aisee Kuna Watu wana ujasili Sana.

Sijui huo ujasili wa kumuimbisha shemeji yako wa miaka mingi unaupata wapi[emoji848]
 
Akili yangu inanambia anajiliza uwongo kua kalazimishwa.

Afu kingine nnavojua,
Mpaka aolewe na jamaa sio kwei kwamba jamaa hajawai hata kumuonja.

Uyu brother Hana roho iyo eti akaoe mwanamke hajamuonja.

Na Kama kamuonja hatuwezi kusema eti na Hilo nalo kamlazimisha au alimbaka

Huyo mwanamke ana uongo wa kitoto sana ila , huyo mwamba waachane tu aheshimu maamuzi ya binti ila liwe funzo kwake next time.
 
1. Tunakwenda mbinguni, Makao ya milele
Hapa si nyumbani, kwa kweli tunapita.

Tukaonane mbinguni.🎶🎼🎻

Ni nchi takatifu,
Ni nchi ya Amani,
Mji wenye furaha, wateka wenye nguvu.

2. Kuvikwa miili miili mipya
Isiyoharibika
Usiku na mchana wanasifu..
"WASTAHILI MUNGU"

Tukaonane mbinguni.🎶🎼🎻
unafikiri nakupinga?
 
Huyo mwanamke ana uongo wa kitoto sana ila , huyo mwamba waachane tu aheshimu maamuzi ya binti ila liwe funzo kwake next time.
Ngoja jion tuonane na tuone msimamo wake utakuaje kwenye hili
 
Dah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.

Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.

Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.

Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.

Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.

Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)

mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.

Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.

Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]
[emoji3516]
THIS PRIVILEGE GIVEN THAT YOU HAVE EXPRESSED HERE SEEMS LIKE "TATEPA".

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Wanawake si wa kuwaamini hata kidogo brother..Mwambie dogo asikaze sana ubongo...achukulie kama imetokea aendelee na maisha...Ingawa ni ngumu sana,inaweza mchukua hata mwaka kuwa stable but ana vingi vya kufanya ukizingatia biashara inaenda vizuri na nyumba inaisha..

He was too good for her,Na uzuri ni kuwa ukitenda sana wema lazima ubaya utakuja ili ukulinde kudhurika na kuumia huko mbeleni zaidi..So hii imekuja kumsave na visanga ambavyo vingeweza mkuta huko mbele..Huyo mwanamke anayeendeshwa na familia na watu wanaomzunguka anaweza fanya lolote ili mradi awa impress familia tuu..

So mwambie ajikaze na apambane kumsahau na kwa ushauri wenu msaidieni kwelikweli...wazo la kumtorosha na kutaka kuwafanya wawe pamoja kilazima si sahihi...What if akatokea mtu katikati yao akatangaza something else inayomvutia huyo mwanamke na kupelekea hata kumtorosha kwenye ndoa si jamaa atakuwa kwenye balaa zaidi..She is ungrateful so muacheni apate wanaendana..
 
Akili yangu inakataa kua uyu mwanamke kweli kalazimishwa Ndoa,

Ndo maana najaribu akija nimpe Ito idea ya kutoroshwa kufichwa kisha nione kama kweli atakubali.

Akigoma ntajua anatufanyia maigizo kwa hizo sentence za kalazimishwa
Usimletee mwenzako balaa zaidi wakati Mungu kasha fanya yake.... Aache umayai... awe na moyo mgumu akubali hali halisi...Angekufa je? Sembuse mtu anatoka na rafiki yako kabisa na mshajua kummiliki ina raha gani tena!!!?
[emoji3591]Kwanza atakuja msumbua badae...
[emoji3591]Anaonekana ana tamaa
[emoji3591]Hata akimrudia atachepuka.
[emoji3591]Mke wa kwanza tu ataenda kuwa fimbo yake...mwacheni
 
Afu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,

Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.

Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.

Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.

Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
Kwa mujibu wake wazazi wanamuelewa huyo mume wa mtu. Ila kama ni wazazi njaa njaa wakitupiwa tu vi senti kidogo hata bila mahari wapo tayari.
 
Haupo Sahihi
Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.

Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.

Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."

Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"

Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.

Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.

Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."

Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"

Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."

Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"

Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"

Nikasema,
"Sawa"

Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.

Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.

Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.

SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH
emoji848.png


ushauri wenu tafadhali

KIVIPI mkuu[emoji848]
Kuoa mwanamke asokuwa na msimamo ni bonge la hasara.Huwa naamini kwamba kila jambo linapotokea lina sababu na huyo bwana mdogo kuna jambo kubwa sana anaepushwa nalo.Ila si mbaya akivunja hio ndoa kisha na yeye akaenda kwao kwa lengo la kufunga ndoa na demu kisha ikikaribia tena anasepa halafu abaki katikati ya niia.Maana sio kwa dharau hio
 
Haupo Sahihi



Kuoa mwanamke asokuwa na msimamo ni bonge la hasara.Huwa naamini kwamba kila jambo linapotokea lina sababu na huyo bwana mdogo kuna jambo kubwa sana anaepushwa nalo.Ila si mbaya akivunja hio ndoa kisha na yeye akaenda kwao kwa lengo la kufunga ndoa na demu kisha ikikaribia tena anasepa halafu abaki katikati ya niia.Maana sio kwa dharau hio
Afanyeje Sasa mkuu[emoji848]
 
Kwa mujibu wake wazazi wanamuelewa huyo mume wa mtu. Ila kama ni wazazi njaa njaa wakitupiwa tu vi senti kidogo hata bila mahari wapo tayari.
Jamaa anachojua tangu awali ni kwamba yeye Ndo anatambulika atakuja kumuoa binti yao.

Sidhan kama aliwai kua na ugomvi wowote na wakwe zake maana mwezi wa sita alkua akigharamia matibabu ya mama ake binti pale Ocean road.
Inashangaza sana[emoji848]

Kingine pia
Yupo na dada ake binti Ni mtu wangu wa karibu Sana, na tuna heshimiana sana.

Na juzi nmeonana nae ofsin kwangu.

sema nmeshangaa sana kwanini na yeye kanificha hili suala na inasemekana sikU jamaa anatoa mahali uyo dada mtu alikuepo na ndo alkua mpishi mkuu kwenye shughuli nzima[emoji848].
 
Dogo alichelewa nini na yeye huyo dada pressure zakuolewa zilimfanya aende kwa mwanaume anayetaka kumuoa, ila atajutra ndoa za wake wengi ni jehanum ya duniani atamkumbuka huyo kaka
 
Back
Top Bottom