Mungu awatie nguvu kwakweli tena mfanye maamuzi ya busara ambayo hayatawapotezea mda na rasilimali zenu,kwenye maisha haya mambo yapo sana tuAcha kabisa,
Dogo anajuta miaka mingi kapoteza, fedha nyingi kapoteza
Afu mtu anakuja mtendea hivi.
Ni vitu ambavyo sikwahi tarajia vinaweza mpata mtu
Kina watu humu wanafanya masihara, ila najua wanafanya masihara coz hayajawakuta au kuwakuta wao wa karibu.
Binafsi shughuli zangu nyingi Leo zimesimama kwasababu ya hili suala, na hiyo nafanya sababu uyu dogo ni mtu wangu wa karibu Sana.
Siwezi mtenga katika hili
Kuna mda mchana nilitamani niwakutanishe, tuongee kiume yaishe..Warudishe urafiki kivipi?
Umewahi kuwa hata kwenye mahusiano mkuu?
Unaujua uchungu wa kuachwa na mwanamke uliyejitolea kila ulicho nacho afurahi?
Yaani mtu amemchukua mwanamke wako halafu urudishe urafiki naye?
Unadhani utajisikiaje kumuona rafiki yako wa karibu akiwa na mpenzi wako wa zamani aliyemrubuni akuache?!
Maneno mazito hayaa jamani narudi zangu afrkaaMwambie dogo aache uzembe atafute binti mwingine apige mzigo huku akimpeleleza huyo aliyemsaliti na kwenda kuolewa atakuwa anajipigia tu yeye avute Subra waoane atakuja kufurahi mwenyewe wanawake wa sasa hawawezi kuhimili uke wenza we utaona tu
Mkuu so rahisi kihivyo atamove on ila itachukua muda sanaMwambie dogo aache uzembe atafute binti mwingine apige mzigo huku akimpeleleza huyo aliyemsaliti na kwenda kuolewa atakuwa anajipigia tu yeye avute Subra waoane atakuja kufurahi mwenyewe wanawake wa sasa hawawezi kuhimili uke wenza we utaona tu
Usifanye ovyo wanaweza kuwekana mikononi🤣🤣Kuna mda mchana nilitamani niwakutanishe, tuongee kiume yaishe..
Ila Kuna wazo likanijia kua Hii Ni bad idea, wanaweza kutoana roho Hawa watu.
Hili suala Ni jepesi ukilichukulia juu juu TU, ila ukilipima kwa mizani yake halisia ni zito Sana mkuu kukaa kifuani mwa mwanaume[emoji848]
Sidhan Kama ungevaa viatu- vya dogo ungepata ujasili wa kuyasema haya mkuu[emoji17]Ukimpenda mwanamke toa mahari na kufunga ndoa muda ukiwa tayari
Lakini mwanamke unaetembea nae miaka yote kama hawara tu akipata wa kumuoa anaangalia maslahi yake
Huyo wa kukusubiri na miaka 4 sidhani kama ana nia ya kuolewa na wewe bali ni girlfriend tu
Hongera zake huyo jamaa kwa kutoa mahari
Ukipata mwanamke wa kuoa ni kuoa tu sio unaishi nae kama kimada halafu akuolewa unalialia
Huyo ni wa wote mpaka uoe period
Jamaa hajui kuna mwana sema sikuwa na mazoea naye chuo alikuja kupokonya demu aisee namchukia mpaka kesho coz alikuwa na fedha mwaka wa pili alikuwa kashapata ajira so anahonga sana demu pesa ni nilikuwa kabwelaWarudishe urafiki kivipi?
Umewahi kuwa hata kwenye mahusiano mkuu?
Unaujua uchungu wa kuachwa na mwanamke uliyejitolea kila ulicho nacho afurahi?
Yaani mtu amemchukua mwanamke wako halafu urudishe urafiki naye?
Unadhani utajisikiaje kumuona rafiki yako wa karibu akiwa na mpenzi wako wa zamani aliyemrubuni akuache?!
Mwambie dogo amshukuru sana MUNGU Ninahuakika kabisa what was coming baada ya kumuoa huyo mwanamke was horrible very horrible kabisa maana ambacho angemfanyia angejuta for the lest of his life. Mke yupo tu and she Is out there waiting for him awe na subra apige moyo konde it will take time but hili pia litapita. Huyo mwanamke she is a harlot for sure, msisitize tu Amshukuru MUNGU kwa kilochotokea amuombe MUNGU amoe ujasiri wa kusonga mbele. Kama kunachochote ambacho yule the so called mchumba anamiki kilichokua registered kwa jina la dogo mwambie dogo achukue. But kama vyote ameregister kwa jina la huyo aliyekua mchumba wake please let tell him to forgive and forget completely.Kuna mda mchana nilitamani niwakutanishe, tuongee kiume yaishe..
Ila Kuna wazo likanijia kua Hii Ni bad idea, wanaweza kutoana roho Hawa watu.
Hili suala Ni jepesi ukilichukulia juu juu TU, ila ukilipima kwa mizani yake halisia ni zito Sana mkuu kukaa kifuani mwa mwanaume[emoji848]
We muongo aiseee, gari gani ya kutembelea ina uwezo wa kuwa na tenki la mafuta ya kiasi cha 350k? Sawa na Lita 135? MuongoDah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.
Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.
Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.
Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.
Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.
Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)
mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.
Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.
Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]
Shukran mkuu,….injili ya Luka na Yohana [emoji1](joke)
ila aisee huyo dogo amepata jaribu la kiume hasa, kuweni nae karibu tu msimuache peke yake….akijisikia kulia muacheni alie tu maumivu yatapungua.
huo ndio mwanzo wake wakutokuja kuwaamini wanawake tena.
poleni sana chief.
Kwamweli nmemchukulia kana ibilisi flani, mtu mwenye moyo wenye nyama lazima ukitafakari kabla ya kutanya aloyafanya uyu binti.Huyo mwanamke hana lolote,waacheni wafunge hiyo ndoa
Huyo dogo kaepushwa na balaa hilo,mwanamke hafai ni muongo.
Sidhan Kama ungevaa viatu- vya dogo ungepata ujasili wa kuyasema haya mkuu[emoji17]
Hakika mkuu, msipoteze muda kumtafuta huyo mwanamke, mnazidi kumpa kichwa tu anazidi kujiona yeye wa dhahabu.Kuna mda mchana nilitamani niwakutanishe, tuongee kiume yaishe..
Ila Kuna wazo likanijia kua Hii Ni bad idea, wanaweza kutoana roho Hawa watu.
Hili suala Ni jepesi ukilichukulia juu juu TU, ila ukilipima kwa mizani yake halisia ni zito Sana mkuu kukaa kifuani mwa mwanaume[emoji848]
Mwambie asijiue aje nimpe raha za dunia hadi asahau kama aliwah kukutana na mwanamke mwingine. Ila atanilipa kwa kazi ya kumfanya amsahau huyu manzi wa awali.Dah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.
Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.
Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.
Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.
Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.
Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)
mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.
Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.
Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]
Madam naona umeiona fursa. 😅😅Mwambie asijiue aje nimpe raha za dunia hadi asahau kama aliwah kukutana na mwanamke mwingine. Ila atanilipa kwa kazi ya kumfanya amsahau huyu manzi wa awali.
Na yeye ni fala ilikuwaje akaweka mayai yake yote kwenye kapu moja?Bora hata sie wengine kdg tuna asili ya ukibaka kwa Aina flani kwenye mambo Aya mahusiano[emoji2]
Dogo mwenyewe uyu hakua na mambo hizo za wanawake sana,
Yeye alkua Ni mwanmke wake uyo TU. Sijawahi kuskia ata ana Dem wa kusingiziwa.
Yeye Akili,moyo wake, na mawazo yake yalkua kwa mwanamke Yule TU.
Hivi vitu mkuu vinatokana na exposure,malezi na mazingira yanayokuzunguka.Na yeye ni fala ilikuwaje akaweka mayai yake yote kwenye kapu moja?