Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Ni kweli mkuu unachosema, lakini pia "Kunguru mjanja hunaswa na tundu bovu."Nakwambia hivi yote yanawezekana anaweza asipatwe na lolote baya tena aishi vizuri tu. Dua la kuku ???
Kikubwa dogo asonge mbele....akiweka kwamba ipo siku atalipa au atarudi akilia na ikatokea hajapatwa na baya na hajalia basi ataishi na stress mda mrefu
Basi sawa upo sahihi.Sasa umeona ....5 katika 100 ni asilimia ngapi? Tena nakataa kwamba kwa kila couple 20 basi ya kweli ni 1??? Haipogo hiyo. Labda 1000 ndo kuna 5 za ukweli. Siku hizi ukipenda kidhati ni at ur own risk. Naongea kwa uzoefuu. Kuna mijitu mikatili hapa duniani isiyojali utu. Bora nipoe na uncle. Hatusumbuani kabisaa na wala hatuwekeani matarajio.
Very sad,of all people akachagua rafiki ya boyfriend wake????!!! Mtu wa hivi yuko soo heartless ....huyo muowaji ajiandae, kuwa na mtu wa hivi ni ngumu sana,hana moyo she can do anything.Hakuna unyonge
Hakuna unyonge
Hakuna unyonge
Hakuna unyonge
Hakuna unyonge
Nimerudia Mara tano "hkuna unyonge"
Mwambie mshkaji afanye kitu kitakachompa furaha hata kma ni kumkeketa huyo Malaya bila ganzi.
Iliwahi kunitokea hii nilihakikisha familia nzima inapata HEART ATTACK
Lazima tukiwa Kama binadamu wenye utashi wa kujua lipi baya na lipi zuri tuheshimu
i. Rasimali za watu wanaoamua kutusaidia hata kwa kivuli Cha mapenzi
ii. Tutimize ahadi "I will marry u after four years" then ndani ya miaka mi4 unaolewa na mshkji wangu?
iii. Tuheshimu TIME ya mtu she had a chance to ignore misaada yote kutoka kwa jamaa siku ya kwanza... Umaskini wake usitumike Kama JUSTIFICATION ya upumbavu alioufanya despite of all pple yy ameona aolewe na mtu wake wa kribu.
Narudia tena HAKUNA UNYONGE
Na kisingizio chao kikubwa "NIMELAZIMISHWA"Very sad,of all people akachagua rafiki ya boyfriend wake????!!! Mtu wa hivi yuko soo heartless ....huyo muowaji ajiandae, kuwa na mtu wa hivi ni ngumu sana,hana moyo she can do anything.
.
Mwambie dogo amshukuru MUNGU WA MBINGUNI aliyeziumba Mbingu na nchi.Ni jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke,
Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.
KWA KUANZIA,
Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili sote Ni wafanyabiasha wa bidhaa Aina Moja.
Ofisi zetu ziko jirani pia (mji ule ule), Mara kwa mara husafiri pamoja kufata Mzigo, husaidiana hapa na pale mmoja wapo anapokua amekwama n.k
Kiukweli, Kwa sasa wote Tumekua marafiki Tena zaidi ya ndugu maana ukaribu wetu una mwaka wa 10 na zaidi Sasa.
Mimi na brother (Namuitaga brother coz katupita wote kiumri) wote tumeoa .
Ila Dogo wetu uyu
(tunamwitaga dogo coz wote tunamzidi kiumri) hajaoa bado ila ana mchumba wake wakike wamedumu miaka 4 Sasa na alkua alkua anategemea mwakani afunge nae ndoa baada ya kumalizia ujenzi wa nyumba yake ya kuishi na familia.
Kama unavojua marafiki watatu tuloshibana miaka na miaka huamua kuziunganisha familia zetu pamoja na mwaka Jana mwezi Kama huu Tuliunganisha familia zote 3 (mimi na familia yangu, brother na familia yake, Dogo na mchumba wake) tukaendelea wote tukapanda gari Moja kwenda kutalii pamoja MIKUMI na kurudi pamoja.
Boxing day ya mwaka huu nayo tulipanga itukute wote SERENGETI tukaenjoy na familia zetu.
KILICHOTOKEA JANA,
Nikiwa njian asbh naelekea bank, nkapita ofsin Kwake nkaona pamefungwa.
Wakat wa mchana Tena narudi nkaona bado pamefungwa,
Ikabid nimpigie
"vipi dogo mbona ofsin ufungui leo ndugu yangu?"
Dogo akanambia anamatatizo makubwa , Kama naweza niende nyumban kwake,
Anamaongezi na Mimi na kuna kitu kinamchanganya Sana kichwani anajihisi anatamani TU aage dunia.
Nilipofika akaanza kinisimulia,
" kaka Mchumba wangu wa miaka yote J kanisaliti, wiki ijayo ni ndoa yake anaolewa na mtu mwingine, Na keshalipiwa mahali tayar".
Dah! Moyo ulienda mbio Sana sikuamini maneno Yale. [emoji848]
Nkamwambia
"Acha masihara wewe, iyo haiwezekan[emoji848]"
Akasema
"wee kama huamini mpigie rafiki yake wa karibu Mama P akwambie kila kitu maana mimi kila nikipiga simu yangu hapokei, nilipomtafuta shoga Ake mama p ndo kanieleza kila kitu"
Basi nikaendelea hewan kumcheki uyo mama p,
Kwa maelezo ya mama p
"Shemeji Mimi mwenyewe mwanzoni sikuamini nilichokiona, J.pili ilopita shoga angu J alinialika kua analipiwa mahali nihudhurie shughuli yake, nikajua rafiki ako ndo atakua anahusika.
Nilifika tukapika na kumpamba mwali kwa ajili ya ugeni wa washenga kuleta mahali nikastuka kuona mhusika Ni rafiki yenu B"
"Kwaiyo Mimi sijui Nini kinaendelea nikajua masihara, Ila baadae mashehe wakachoma ubani na Dua mbalimbali na Dua ikawa ni kuombea baraka uchumba wa B na J"
Dah! Wakuu ,
Kiukweli moyo ulistuka sana, nikawaza mambo mengi Sana tuloshea na Kaka etu uyu.
Inawezekanaje kaka B amuoe J wkt Ni shemeji yake kabisa Yule na wanaheshimiana Sana.
Inakuaje kuaje amfanyie mwenzetu ishu Kama hiyo.
Basi inabidi nimkatie uyu mdada simu nikampigia uyu brother etu Kama ni kweli hizi habar.
Jamaa bila hata hofu akanambia,
"Hizo habari Ni kweli, J namuoa mimi na amekubali kabisa kusilimu na atakua MKE wangu wa pili."
Nkamwambia,
"Brother Unakosea sana, uyo Ni mchumba wa Dogo uyo na wewe unalifahamu Hilo na Wana mwaka wa 4 huu Sasa"
Akasema,
"Kaka Mimi mambo yao hayanihusu, nnachojua washaachana nakwasasa nnachojua Mimi na J ndo tunapendana na mahali nishalipa tayar. Na ndoa Ni mwezi huu mwishoni. Kama mnaweza nisapoti sawa kama hamtapata nafasi haina shida ntalimaliza TU mwenyewe"
Nkamwambia,
"Brother Unakosea Sana, wee sio wa kumfanyia hivyo Dogo, ukzingatia Dogo ndo alkua anamtegemea uyo awe MKE wake wa Kwanza maishani mwake, na wewe Umeshaoa tayari na unajua kila kitu khs Hawa madogo tangu mwanzoni"
Akasema,
"Kaka , sahivi Mimi Sina MDA wa kulijadili hili, Kama Kuna malalamiko Basi amlaumu mwanamke wake maana yeye ndo anataka kuolewa na Mimi. Na Mimi Sina tatizo na Hilo. Mchana mwema Kaka, kuna mahali nawai."
Kisha akakata simu.
Dah!
Kiukweli Maneno Yale yaliniumiza Sana.
Dogo nahisi yalimuumiza zaidi mpaka akawa anabubujikwa na machozi pamoja na kamasi utadhani mtoto mdogo maana simu ilikua loudspeaker MDA ule.
Sahivi
Nmewaita jamaa zetu wengine wawili waje hapa kwa Dogo wamuweke sawa, maana Hali nnayomuona nayo asijekaa peke Ake akajidhuru.
Nmeaga naenda kufunga Ofisi narudi tukae nae kufikirie tunamshaur vipi kuhusiana na ili.....
USHAUR WENU kwenye hili Ni muhimu Sana wakuu,
Natanguliza shukran[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa 7NZURIHaya mambo sijui yataisha lini,anyway atafute mnyonge wake na yeye.Ila hilo lijamaa ingekuwa mimi saiv ningekuwa nakula bakuli moja na SABAYA.
Kuna kitu kikubwa Sana ambacho Mwenyezi Mungu amemuepusha huyo bwana mdogo. Mwambie afanye sherehe ya kumshukuru Mungu in advance
Screenshot comment yangu mwambie aitunze. Baada ya miaka miwili au mitatu atakuja kukushukuru.
Ushauri mwingine: kama ana Hela mwambie atafute Demu mwingine mkali WA kumliwaza, atamsahau ex wake very soon...
Mwanamke muongo huyo.Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.
Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.
Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."
Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"
Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.
Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.
Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."
Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"
Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."
Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"
Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"
Nikasema,
"Sawa"
Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.
Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.
Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.
Afu Sasa uyo B aje kwetu kulalamika kwetu katoroshewa MKE, na sisi tuje tumuoneshe kua upumbavu hatutaki.
SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH[emoji848]
ushauri wenu tafadhali
ni mbaya mno lakini inatupa fundisho na kuwa imara zaidi. Ubaya wa haya mavitu mtu akishaamua ameamua, utampigania lakini ndio tayari alishavuka hatua nyingine hata akirudi haitokuwa kama mwanzo. U know who u love but u don't knw who loves you.Kabisa mkuu, kila mtu ana maslahi yake mwenyewe anapoingia kwenye mahusiano anaona ata benefit nini , usiombee mtu uinvest emotion,time, attention kwake asifanye hivyo in return, maumivu yake hayapimiki and can last llifetime...
Sahihi kabisaHao ni wapenzi siku nyingi bila huyu dogo kujua sema sasa hivi wameamua kuhalalisha wamechoka kula gizani,Cha muhimu huyu dogo asonge mbele
Adanje tu pambaaf zake !!!Kingine Cha kujiuliza,...
Mama Ake binti mwaka huu kalazwa pale Ocean road mwezi na nusu-jamaa kagharamia
Katolewa pale,
Kahamishiwa Agha khani, wiki 3 jamaaa katoboka bill zote.
Ila bado mama uyu baada ya kupona kabisa kashindwa kuthamini mchango wa dogo hata mwaka haujaisha anafanyia hivi[emoji26]
Duniani watu wema hulipwa vibaya, uyu dogo kalipwa vibaya Sana.[emoji26]
Naandika hivi Hadi machozi yananilenga.
Wana uwezo gani hadi washindwe lipa bills wenyewe mwanao kufanya kazi shellHao wazazi wake wanakauwezo?
Kwa hapa huyo Dada hakumpenda huyo kaka sema kwa kua walikua mbali mbali ndo maana hakua anajaua tabia za msichana wake! Aachane nae itamkostiSijawahi kuandika nyuzi za ovyo mkuu,
Nnapokwambia alkua mchumba wake miaka minne namaanisha minne kweli.
Dogo tayar alkua na mtoto nje, alimzaa akisoma shule na ndo sababu ya dogo kuishia form 4 maana alikimbia miaka 30 jela ndo akaingia uko Kwenye kubangaiza.
Uyu mchumba wake amempata akiwa chuo mwaka wa 1.
Miaka 2 yote ya uchumba wao binti alkua anasoma chuo mkoa mwingine kabisa.
Mwaka 1 wote binti aliajiliwa Kama mtendaji wa tarafa mkoani uko vijijini,
Jamaa ndo kamtoa uko na kamuunganisha na kazi ya sheli kwa rafiki yake mmoja hapa mjini
Mwaka 1 tu ndo wamekua wote hapa mjini, yaani namaanisha mwaka huu 2021 unaoishia. (Yaani tangu mwezi octoba mwaka Jana mpaka leo Hii)
Na jamaa alompangia maksudi na hakutaka kuishi na kwake kwa maana jamaa yeye bado anaishi kwao (nyumba ya familia)
Ndo alipanga akishamaliza ujenzi wakahamie Kwenye nyumba yake anojenga sahvi.
Anaupiga mwingi sanaKama vile namuona Liverpool VPN anavyojichukulia point 3 kwa dogo.