Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Kuna maisha nje na baada ya, mapenzi, asonge mbele na lazima maisha yaendelee.

Ila huyo nae Dogo 4yrs uchumba tyuuh why hakumuoa kabisa? Huenda binti alichoka kusubiri lol.

Nwei poleeeh yake.
 
Duuuuuh usisahau mrejesho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabisaaa yaan.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Km aliweza kuganya yote haya, alishindwa vipi kumuoa? Kuna kitu hakipo sawaa hapa.
 
Huku mbele sasa nahisi kuna chai.

Mafuta ya 350,000 kwa gari gani?

Semi tella?

Na kama ana gharamia hivyo, kwanini familia ya binti haimtaki na inamtaka huyo mwingine? Tena si wa dini yao? Na walianzaje kumtaka? Aliwatambulisha?
Yaan maswali mengi ni fikirishi mno, nashindwa hata kuwazua.
 
Yaan hata mie nashangaa hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hiyo gari au lori ?! Gari gabi inaingia mafuta ya laki 2 na nusu mie tu inaingia 180000 full na ni gari kubwaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh hii ngoma nzito.
 
Eeeeeh mbna unatuchanganya sasa, yaan had wadogo zake wanaishi ktk nyumba anayolipa kod dogo, afu wazazi hawamtaki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh hii kali. Sasa
 
Duuuuh mbna hii ngoma n nzito kuicheza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakwe walikua wanajua hayo mambo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno makali haya jaman, ila ndo ukweli.
 
Mmmmmmh hapa pagumu sasa, kwani alishindwa kupanga? Yaan unazidi kutuchanganya wachangiaji wenyewe. Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…