Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Acha huo upuuzi we mwanao utakubali akae miaka minne yote uchumba tuh kuolewa ni heshima na baraka mwache mtoto wa watu aolewe huyo muuni alikua anampotezea muda tuh kwan tunayo mifano mingi mtaan uchumba miaka kumi afu mtu haji kuoa huyo mtu
 
Eti utoke kufanya kazi ua utendaji tarafa kama anavyosema japo ni afisa tarafa, kwenda kufanya kazi sheli ..... daaaaa hatari sana. Kwa usawa huu utoke serikalini uende sheli? Ambayo siku 2 tatu unafukuzwa.

Anyway tumetofautiana
Yaan mie napatwa na mashaka kwa maelezo ya OP, dogo anahudumia familia ya mwanamke ipasavyo, anamuhudzmia mkewe kwa gharama za juu na kiwango, sasa inakuaje ke na wazaz wake wamkubali huyo jamaa mwingne? Hapa km sio ushirikina bas kna namna ipo.

Mie nimewaza kitu flan ila ngoja nitazame tyuuh hii ngoma lol. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji2][emoji2][emoji2]ndege mjanja....!!!!pale kati patamu!!![emoji851][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wapiii wee
 
Sijajua.,
Ila Ndo alkua alituambia sisi watu wake wa karibu katika stori maana Kuna kipind watu walimtania Sana mazingira ya ukwen kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmh kiukweli wee muulize vizuri dogo kuna jambo lipo katkat ya huyo mwanamke na huyo dogo ambalo nyie wengine hamlijui, ndo lililozua haya yote. Serious yaan
 
Duuuuh kwa style hii Dunia haitaishiwa maajabu lol.
Vipi au huyo rafiki yenu B ndo ana mkwanja kumzidi dogo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maan inashangaza mno hii situation lol
 
Acha huo upuuzi we mwanao utakubali akae miaka minne yote uchumba tuh kuolewa ni heshima na baraka mwache mtoto wa watu aolewe huyo muuni alikua anampotezea muda tuh kwan tunayo mifano mingi mtaan uchumba miaka kumi afu mtu haji kuoa huyo mtu
Pia hili lipo sana.
 

DeepPond

Acha kujisumbua mkuu, inaonekanwa hujawaelewa wanawake bado.
Wanawake hawana mapenzi na mwanamme, wanawake hujiegeza kwa mwanaume kwa ajili ya maslahi ya malengo yake tu, nayo ni either
Pesa
Kuolewa
Kugongwa
Show of
kupata Msaada wa aina yoyote ule ukiwa wa kwenye masomo au kazi au hata kusaidiwa kushonewa nguo kwa haraka bila ya kusumbuliwa na mshoni.

Anapokosa kutimiza malengo yake kwako lazima atatafuta plan B na kukukimbia. Na siku zote yeye atakaua na thousand words ya kujitetea kujifanya hayupo hatiani.

Mwamabie mskaji wako a move on, na wale huyo mshkaji mwengine msitengeneze nae bifu kwa ishu za hawa viumbe.

KIla unapozidi kukua ndipo unapoanza kuwaelewa hawa viumbe.
 
Mara nyingi mwanamke hudate na mwanaume anayempenda lakin huolewa na mwanaume aliye tayar kuoa.
 
Nawe ilikuaje mkuu? Tupe kidogo
 
Ajidhuru kwa kipi sasa?yaani mwanamke kaondoka mwenyewe katoa chupi huko kanogewa kaamua kuhamia kabisa halafu dogo ajidhuru kweli??atakua mpumbavu Nambari moja kumtia hasara mamake kwa nyege za mtu mwingine
 
Uwezekano wa kuendelea kimapenzi kati ya dogo na huyo mwanamke ni mkubwa sana baada yakusoma UPDATE. Hayo ndio madhala ya uchumba wa muda mrefu mmoja kuachwa nakubaki na maumivu.
Chamsingi dogo a move on tu, atampata mwengine watakayeishi kwa raha mustarehe.
 
Miaka 4 mingi unakaa na mtu husomeki wacha akaolewe zake, oooh sijui amalizie nyumba sijui nini kwani angemuoa asingeishi huko aliko, mwanamke aliona upepo hausomeki akaona ajiongeze. Ushauri kama mwanaume uko na mdada unaona kabisa anafaa kuoa basi muoe haraka sio kumpotezea miaka 4 ilihali kuna watu wanakutana 6 months na wanaoana. Amuache
Mwenzie alowe
 
Kwa namna huyo bint alivyo kujibu, kuwa uyo B sijuh tangu Zaman sijuh nini nini. Ukitazama ni kwamba walikuwa kwenye penzi muda tuu hao watu.

Hapo usikute tayari sijuh Wame peana ad mimba so Wana oana ili mambo Yao yaende..

Mwambie dogo aaachane na uyo bint akilazimisha uyo bint ndio itakuwa mlango wake wa kifo
 
Kaa mbali na huyo bloo atakutombeaa mkeo,sio mtu mzuri huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…