Hapa ndo utajua vile wanaume wako na umoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitumie namba ya huyo dogo inbox nimshauri direct maana asije akaaga dunia please mkuu Kama ishu iko serious
Utoto unawasumbua.....mwambie \dogo atafute hela......manake akitafuta mchumba mwingine kama hana hela jamaa atamuwowa tena mke wa tatuNi jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke,
Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.
Great thinkers never lose.Kuna haja ya kuangalia yumba(familia) unayo enda kuposa au kuanzisha mahusiano nayo.
Angalau iwe na hofu ya Mungu ata kido au iwe familia ye heshima kidogo, utaepuka mambo mengi.
ukabaki unateseka moyoni miaka yote.
Mwisho kabisa Nina swali. Yule binti aliye zaa nae utotoni hadi wakaacha shule,hakufaa kuwa mke wake?. Mtoto aliye zaliwa anamtunza kama inavyo stahili?.
Umeongea point sana mkuu.Mara nyingi mwanamke hudate na mwanaume anayempenda lakin huolewa na mwanaume aliye tayar kuoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaa mbali na huyo bloo atakutombeaa mkeo,sio mtu mzuri huyo
Hata mimi nimehisi jamaa kaanza muda sana wameona tu wahalalishe.. ila all in all ni mtihani mzito sana kwa dogo, tuishi nao kwa akili Bible imetukanyaHao ni wapenzi siku nyingi bila huyu dogo kujua sema sasa hivi wameamua kuhalalisha wamechoka kula gizani, cha muhimu huyu dogo asonge mbele
Jamaa kaanza mahusiano na huyu dada muda mrefu sana na hiki cha kumuoa nadhani ndio gia aliyomuingiliaAfu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,
Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.
Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.
Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.
Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
Sauti imesikikaCode 1 kwa gentleman: usidate na msichana wa rafiki yako hata kama wameachana
Sahii kabisa mkuu AiznaPole kwake.. niliacha kuwa na marafiki mda sana na mpaka sasa sijapata lawama yeyote.. kama hatuna jambo la muhimu la kufanya uenda biashara au inshu yeyote ya kuingiza pesa unakaa pembeni .urafiki tupu faida yake ndogo sana
Tupe update mambo yanaendaje dogo Yu Hali Gani?
Yaani hata wewe akijakisikia yule mchepuko wake kuwa unamkula mdogo wake maumivu yake siyo ya dunia hiiKiukweli nmejihisi kumchukia Sana jamaa.
Mwanamke ndiyo aliyemuanzaAisee Uyu jamaa ile trust nae imepotea kabisa.
Sio kwa hizi tamaa za fisi.
na huenda amekua akimtamani shemej yake tangu zamani.
Wewe umesahau kuwa unatembea na dada na mdogo mtu huo ujasili uliupata wapi mpaka unaanza kumlaum mzee babaAisee Kuna Watu wana ujasili Sana.
Sijui huo ujasili wa kumuimbisha shemeji yako wa miaka mingi unaupata wapi[emoji848]
Nakuambia mwambie dogo afurahie tena sana ni mzigo mzito kautua , kama nyumbani kwao na binti walijua ashachumbia, ilikuwa shart wangeuvunja uchumba ndo akachumbiw tena na kuolewa, hili ni kweli lipo nyumbani kwao na binti .Jamaa anachojua tangu awali ni kwamba yeye Ndo anatambulika atakuja kumuoa binti yao.
Sidhan kama aliwai kua na ugomvi wowote na wakwe zake maana mwezi wa sita alkua akigharamia matibabu ya mama ake binti pale Ocean road.
Inashangaza sana[emoji848]
Kingine pia
Yupo na dada ake binti Ni mtu wangu wa karibu Sana, na tuna heshimiana sana.
Na juzi nmeonana nae ofsin kwangu.
sema nmeshangaa sana kwanini na yeye kanificha hili suala na inasemekana sikU jamaa anatoa mahali uyo dada mtu alikuepo na ndo alkua mpishi mkuu kwenye shughuli nzima[emoji848].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa anataka yeye ndo asameheweWewe umesahau kuwa unatembea na dada na mdogo mtu huo ujasili uliupata wapi mpaka unaanza kumlaum mzee baba
Wahuni mmeanza zenu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa anataka yeye ndo asamehewe
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app