Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu haawaminiki,ashauri hapa hapa.Ingekua vema USHAUR Hapa Hapa tu mkuu[emoji120]
USHAUR wako Unaweza wasaidia hata wengine pia[emoji120]
Usemalo Lina ukweli kabisa, Hawa hawakuanza hivi karibun..
Huenda kulkua namahusiano ya Siri yanaendlea hapa katkat
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]nimewaza lakini kwa MTU unaempenda ni jambo dogo sana!Vipi kuhusu kusimamia shoo? Labda brother big kamfunika dogo kwenye shoo??
39 hajaoa!?heew!baasi huyo best yenu kamtia chumvi mshichana nyingii,binti akajaa akaona umri huu wa jamaa na miye sitaolewa!ndo maanaDogo Yuko na 39 sahv
Yaani hapo kwenye uke wenza sijamuelewa kabisa huyo dada, kumuacha kaka wa watu kwenda kuolewa mke wa pili mmh. Si kwa wivu huu nilionao mke wa pili ni big no bora kubaki single tu. Ila siku atalia machozi ya damu , malipo soon tuMpuuzi mpuuzi TU,
sijajua uko kwenye uke wenza kafuata nini.
Na sijui Ni Nani alimshaur kua uke wenza atafurahia maisha
Mimi hata sioni kama huyo binti anampenda huyo jamaa kiukweli naona alikuwa anapenda tu pesa zake.Dah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.
Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.
Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.
Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.
Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.
Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)
mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.
Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.
Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]
Kwenye miti hapana wajenziDah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.
Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.
Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.
Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.
Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.
Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)
mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.
Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.
Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]
Unaweza kukuta anaridhishwa kwenye ile sekta nyeti Mana kuna watu wazima sio haba wanajua anatakiwa afanye nini plus maexperience kibao kampagawisha bidada.Afu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,
Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.
Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.
Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.
Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
Hana mameno yupo kajaa teleKwan mjomba anasemaje???[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Haupo sahihi! Acheni aolewe na huyo jamaa aliyetoa helaa. Hilo mnalotaka kufanya sio njia sahihi, na si dawa ya hilo tatizo.Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.
Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.
Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."
Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"
Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.
Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.
Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."
Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"
Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."
Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"
Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"
Nikasema,
"Sawa"
Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.
Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.
Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.
Afu Sasa uyo B aje kwetu kulalamika kwetu katoroshewa MKE, na sisi tuje tumuoneshe kua upumbavu hatutaki.
SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH[emoji848]
ushauri wenu tafadhali
Uncle ni mkubwa kwangu sana tu....hatuna malengo makubwa zaidi ya kupeana rahaBasi sawa upo sahihi.
Ila huyo uncle naye awe na msimamo kama wako, azisome haraka alama zako za nyakati aelewe kwamba unampenda!
Maana wewe ulivyoandika umeonekana mjanja, unajali mahusiano na utamfaa.
Iwe pingamizi kwake tu uncle sasa, ukichukulia maisha ya ujana ni mafupi sana hayazidi miaka20.
Huko mbele ya safari ni ubibi na ubabu na furaha zenu zinageukia kutaniana na kucheza na wajukuu, hamjazeeka hapo?
Uncle afanye maamuzi magumu, wakati wenu ni sasa.
NakaziaaaaaaaKwani michepuko hawafanyiwagi hayo?
Lakini naona harufu ya chumvi kidogo.
Umpangishie nyumba, umnunulie na gari, halafu usioe kisa unasubiri nyumba iishe....thubutuuu
Na hakuna binti wa hivyo akubali kuolewa mke wa pili, kisa ndoa tu?
Nina mashaka.
Sema pamoja na kumpa pole jamaa etu,lkn na yeye alizidi mbwembwe nadhan hadi bint akawa na waswas nae,yaan umpangie dem nyumba nzima alaf usiishi nae kweli???Sijawahi kuandika nyuzi za ovyo mkuu,
Nnapokwambia alkua mchumba wake miaka minne namaanisha minne kweli.
Dogo tayar alkua na mtoto nje, alimzaa akisoma shule na ndo sababu ya dogo kuishia form 4 maana alikimbia miaka 30 jela ndo akaingia uko Kwenye kubangaiza.
Uyu mchumba wake amempata akiwa chuo mwaka wa 1.
Miaka 2 yote ya uchumba wao binti alkua anasoma chuo mkoa mwingine kabisa.
Mwaka 1 wote binti aliajiliwa Kama mtendaji wa tarafa mkoani uko vijijini,
Jamaa ndo kamtoa uko na kamuunganisha na kazi ya sheli kwa rafiki yake mmoja hapa mjini
Mwaka 1 tu ndo wamekua wote hapa mjini, yaani namaanisha mwaka huu 2021 unaoishia. (Yaani tangu mwezi octoba mwaka Jana mpaka leo Hii)
Na jamaa alompangia maksudi na hakutaka kuishi na kwake kwa maana jamaa yeye bado anaishi kwao (nyumba ya familia)
Ndo alipanga akishamaliza ujenzi wakahamie Kwenye nyumba yake anojenga sahvi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anasubiri nini kujifunza kuroga!