Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
- Thread starter
- #101
hao wanaojifanay wazenji wote ni wanyamwezi tu walienda huko wakati wa utumwa. hawana chochote wanachomiliki hata hapo zenji. kwa kifupi, sultan alimiliki wao pamoja na wake zao hadi mashamba yote. mikarafuu inamilikiwa na nani leo hii?Amedai "ilikuwa mali ya Zanzibar " ni kweli kwa sababu hata wewe unakiri kwamba Sultani aliuza kwa wajerumani.Sasa atauzaje eneo ambalo halikuwa kwenye milki yake?Au kiswahili kimekuwa kama kiingereza.Lugha ngumu?