Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani

Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani

Mombasa si Kenya sababu Tanzania ina claim na si kwamba Mwarabu ana Claim.

Sultan yupo Zanzibar hadi 64 hakudai eneo lake, kwani Tanzania alivyo Pata Uhuru Sultan Alitaka eneo lake?

Waarabu ni wa fanya biashara hata kipindi huo ukanda ni wao hawakutumia kutawala watu bali local walitawala wenyewe na Waarabu walishirikiana nao kwenye biashara, Empire ya Zanzibar ilikuwa ni kama Mwamvuli kuprotect Empire ndogo ndogo za local. Kulikua na Equal status baina ya Zanzibar na hizo Empire za Makabila, waliamua kipi wauuze na kipi wasiuze.

Hata Ureno walipokuja kuvamia Local people walishirikiana na hao waarabu kupigana.

Hivyo waarabu popote penye Biashara wataenda ndio Maana sasa hivi kila bara utakuta matajiri Wakubwa Kuna waarabu wa kutosha.

Mombasa ilikuwepo hata kabla Tanzania haijabuniwa na mzungu, halafu nakwambia Mwarabu hana claim yoyote Afrika maana kawakuta mababu zetu, na kama aliuziwa jinsi anavyodai, yeye pia alimuuzia mzungu na kutia hela mfukoni, hana chake.
 
Kwa hiyo bara ni aridhi ya mjerumani sio?
ilikuwa ya mjerumani tukapewa sisi kuimiliki kama ilivyo, pamoja na ukanda wote wa pwani ambao sultan alipoishiwa pesa aliupiga bei.
 
Uzi huu utawagundua wenye mawazo ya kitumwa

Ova
 
Nenda Makumbusho ya kanisa KATOLIKI pale Bagamoyo, utakuta barua ya Sultani wa Zanzibar .ikionesha jinsi alivyoligawia Kanisa eneo na kusisitiza HAO NI WATU WAZURI NA RAFIKI ZAKE.
 
In 1890 Germany took control of Mafia as a result of a purchase agreement with the Sultan of Oman and established the main house on the island called the German Boma. The ruins are prominent on the foreshore of the island. The German colonial government created Kilindoni in 1910-13 and Chole gradually withered as an economic centre, so many buildings have fallen into ruin.
Utapeli huu hamna mkataba walikalia kimabavu kama kule Palestine..Sisi ukanda pwani ni zanzibar tunataka kurudi kwetu sio kukaa na wala ugali wa bara.
 
Utapeli huu hamna mkataba walikalia kimabavu kama kule Palestine..Sisi ukanda pwani ni zanzibar tunataka kurudi kwetu sio kukaa na wala ugali wa bara.
kwahiyo mimi niliyezaliwa na naishi dsm, ni mzanzibar? unaona msivyo na uelewa? umeshaingiza na palestina. kwanza aliyekuwa anamiliki ni mwarabu, sio ninyi. aje mwarabu tuongee kama na sisi ni wazanzibar au la.
 
Sasa waliuziwa wajerumani na sio nyinyi watanganyika.
wajerumani walipasisha kwa waingereza baada ya versailies treaties, waingereza walipotupatia uhuru wakatupatia sisi. imeisha hiyo.
 
kwahiyo mimi niliyezaliwa na naishi dsm, ni mzanzibar? unaona msivyo na uelewa? umeshaingiza na palestina. kwanza aliyekuwa anamiliki ni mwarabu, sio ninyi. aje mwarabu tuongee kama na sisi ni wazanzibar au la.
Mjuu wa yesu na zenji wapi na wapi? waambie wakimbzi wazazi wako wakupeleke bara kwenu.
 
Sultan ni mzanzibari kama wazanzibari wa sasa. Kwahiyo cha Sultan ndicho cha wazanzibari.
sasa mbona wakati wa revolution 1964 (3 years after sisi tumepata uhuru) hamkurevolt against us? sisi tulishamiliki miaka 3 hata kabla ninyi hamjajua maana ya uhuru.
 
Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.

Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Amedai "ilikuwa mali ya Zanzibar " ni kweli kwa sababu hata wewe unakiri kwamba Sultani aliuza kwa wajerumani.Sasa atauzaje eneo ambalo halikuwa kwenye milki yake?Au kiswahili kimekuwa kama kiingereza.Lugha ngumu?
 
Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.

Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Wajerumani na hao waarabu wote ni wageni watu asilia wa Zanzibar ni wamatumbi na wengineo toka Bara, wakianza ujinga tutarudi upya visiwani kuondoa masalia ya huyo Sultani wao
 
Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.

Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Kwanza huyo Sultan alipataje kumiliki pwani ya EA ya watu weusi ilihali yeye wakuja?
 
Mombasa ilikuwepo hata kabla Tanzania haijabuniwa na mzungu, halafu nakwambia Mwarabu hana claim yoyote Afrika maana kawakuta mababu zetu, na kama aliuziwa jinsi anavyodai, yeye pia alimuuzia mzungu na kutia hela mfukoni, hana chake.
Jifunze kwanza Kiswahili. Mombasa ilikuwepo kabla hata Tanzania haijabuniwa na Wazungu unaaminisha nini?Tanzania ilibuniwa na wazungu lini?Unajua maana ya neno kubuniwa?
 
Amedai "ilikuwa mali ya Zanzibar " ni kweli kwa sababu hata wewe unakiri kwamba Sultani aliuza kwa wajerumani.Sasa atauzaje eneo ambalo halikuwa kwenye milki yake?Au kiswahili kimekuwa kama kiingereza.Lugha ngumu?
Mali ya Sultan alipataje kulimiliki kama siyo alipora kwa Wazaramo na wengine wa pwani. Kuna haja ya mapinduzi mengine kuondoa kabisa masalia ya Sultan kama alivyoondolewa mzungu
 
Mali ya Sultan alipataje kulimiliki kama siyo alipora kwa Wazaramo na wengine wa pwani. Kuna haja ya mapinduzi mengine kuondoa kabisa masalia ya Sultan kama alivyoondolewa mzungu
Masalia ya sultan ndio akina nani?Usije kuwa unakurupuka tu hujui unaloandika?
Zanzibar ina wakazi wake na hakuna yeyote anayeweza kulibadilisha hilo.
 
sasa mbona wakati wa revolution 1964 (3 years after sisi tumepata uhuru) hamkurevolt against us? sisi tulishamiliki miaka 3 hata kabla ninyi hamjajua maana ya uhuru.
Unalazimisha hata tofauti huoni 😛 , ukanda pwani ndugu zetu ni zanzibar sio nyie wala ugali.
 
Masalia ya sultan ndio akina nani?Usije kuwa unakurupuka tu hujui unaloandika?
Zanzibar ina wakazi wake na hakuna yeyote anayeweza kulibadilisha hilo.
Wakaazi wa Zanzibar ni watu weusi kama ambavyo ccm wamekuwa wakisema. Machotara na Waarabu siyo wenyeji wa Zanzibar
CCM wenyewe wamekuwa wakisema hili wazi wazi. Hamuelewi nini?
images (1).jpeg
 
Kusema unaweza kusema na mabango ukabeba lakini haizuii kwamba wanzazibari wapo kila aina.Waarabu,washirazi,, wahindi wamakunduchi, wapemba ,wangoni, wanyamwezi.Ukipenda penda ukichukia chukia.
 
Back
Top Bottom