ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Mkuu kila mtu ana haki ya kusema yamfurahishayo. Yeye kasema yake ITV na wewe umesema yako Jamiiforum ngoma draw and thread closed.kuna mbuzi moja inaongea itv sasaivi anasema ukanda wa pwani ilikuwa mali ya zanzibar, bila kujua kuwa sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasaivi wazenji tu. jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi. kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.