Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katumwa kupima upepoKuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.
Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
mimi ni simba. ila wewe nahisi ni kuku.halafu unaona fahari kuita mwenzako mbuzi, wewe uitwe mnyama gani?
Hata ustaarabu huna, kama hujui historia si utulie tu ujifunze kwa ustaarabu.
Technically na wao Waliuziwa, historia ipo ila watu wanai ignore na kufuata tu Utashi wao.
Ukisoma Historia ya Kilwa utaelewa mengi tu.
Zamani maeneo mengi haya yalikua Mapori tu, Kuna watu wakaanzisha Empire zao mfano Mzuri ni Kilwa ambayo ilikuwepo ukanda wa Pwani kiongozi wake akiwa ni Almuli,
Wakati huo huko Persia (Iran ya sasa) kulikua na mwana Mfalme ambaye mama yake alikua mtumwa toka Africa Alishindwa kinyang'anyiro cha kua Mfalme akaja Kilwa akainunua kwa Almuli,
Utawala ukadumu miaka kadhaa baadae akaja akauziwa Mu oman, nae Utawala ukadumu mpaka Portugal alipovamia huu Ukanda, Portugal akakaa kwa muda baadae Oman akampiga Portugal na kuendelea kumiliki hadi mambo ya Ukoloni yalipokuja.
Hivyo ilikua kawaida watu kuuziana ardhi na hao Wanaopondwa ndio walionyanyua makabila mengi Tanzania, makabila yanayosifika sasa hivi kama Wachaga, Wahaya, matajiri Wa pwani etc Historia yao ina link na historia hii.
Brief history ya kilwa
![]()
Kilwa Sultanate - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Technically na wao Waliuziwa, historia ipo ila watu wanai ignore na kufuata tu Utashi wao.
Ukisoma Historia ya Kilwa utaelewa mengi tu.
Zamani maeneo mengi haya yalikua Mapori tu, Kuna watu wakaanzisha Empire zao mfano Mzuri ni Kilwa ambayo ilikuwepo ukanda wa Pwani kiongozi wake akiwa ni Almuli,
Wakati huo huko Persia (Iran ya sasa) kulikua na mwana Mfalme ambaye mama yake alikua mtumwa toka Africa Alishindwa kinyang'anyiro cha kua Mfalme akaja Kilwa akainunua kwa Almuli,
Utawala ukadumu miaka kadhaa baadae akaja akauziwa Mu oman, nae Utawala ukadumu mpaka Portugal alipovamia huu Ukanda, Portugal akakaa kwa muda baadae Oman akampiga Portugal na kuendelea kumiliki hadi mambo ya Ukoloni yalipokuja.
Hivyo ilikua kawaida watu kuuziana ardhi na hao Wanaopondwa ndio walionyanyua makabila mengi Tanzania, makabila yanayosifika sasa hivi kama Wachaga, Wahaya, matajiri Wa pwani etc Historia yao ina link na historia hii.
Brief history ya kilwa
![]()
Kilwa Sultanate - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Jitahidini kusoma, msikubaki kuondoka/kumaliza shule kama ujinga haujawatoka.Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.
Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Kwani mada inasemaje? Yani Nyie jamaa mna chuki mpaka zina Cloud judgement zenu, mada ipo clear inazungumzia past Tense,Kwa hivyo tukifuata nadharia yako ya kuuziana, basi huyo mwarabu hana chake, alishauza na kutia hela mfukoni.
Iliyogawanywa Ujerumani ilifanywa na wakoloni, iliyopokelewa kwenye uhuru ilifanywa na wakoloni vilevile. Hivyo sheria au amendment inayofuata ndio hutumika badala ya iliyotumika previous. Ukiwa unaitwa Michael kisheria, kisha ukabadili jina na kuitwa Rashid kisheria, jina litakalotumika kisheria ni Rashid.Sio iliyogawiwa Berlin 1984?
Halafu ikawaje?Sio Pwani ya kwetu tu ni kuanzia pemba mozambique mpaka huko somalia ilikuwa inaitwa zanzibar kwa ujumla
Kwani mada inasemaje? Yani Nyie jamaa mna chuki mpaka zina Cloud judgement zenu, mada ipo clear inazungumzia past Tense,
"
Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani"
Anazungumzia Historia kwamba Zanzibar ilikua ni Ukanda wote wa Pwani kuanzia Msumbiji hadi Somalia, mpaka Mombasa ilikua ni zanzibar.
Tayari wewe na michuki chuki yako umeshatafsiri zanzibar wanaitaka Pwani ya Africa Mashariki.
Hao waoman sasa hivi Wana pesa Chafu hata hawana time na Hio pwani yenu.
Ooh kumbe una ujamaa na mbuzi?Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.
Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Kwani huyo sultan alikuwa mzanzibar au Oman.Sasa waliuziwa wajerumani na sio nyinyi watanganyika.
Kuna mbuzi mmoja anaongea hivi ndio sawa.Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.
Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Sisi watu wa bara kiswahili sio lugha yetu alipo sema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa pwani tatizo liko wapi?(ilikuwa inamiliki)au chuki tu ya kuwachukia wazazibar inakusumbuaKuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.
Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Kwa hiyo bara ni aridhi ya mjerumani sio?In 1890 Germany took control of Mafia as a result of a purchase agreement with the Sultan of Oman and established the main house on the island called the German Boma. The ruins are prominent on the foreshore of the island. The German colonial government created Kilindoni in 1910-13 and Chole gradually withered as an economic centre, so many buildings have fallen into ruin.
Kumiliki aridhi ni hela yako tu mbona wazungu wanamiliki wewe unsmiliki aridhi uwezo wa kuitumia hunaYani Mwarabu aje kumiliki Ardhi Africa na wewe upuuzi huu una kuingia akili ni?
Waarabu mpaka sasa mbona ndio wanao miliki uchumi wa nchii wewe unacho miliki chuki tuwe unaongea nini, mbona huna akili? mwarabu aje afanye nini sasa hapa?